Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake

Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake

Her Excellency President Samia Suluhu Hassan..."It takes two to play tangles"

Malengo bora ya kumlea mtoto wa kike yarandane pia na malezi bora kwa mtoto wa KIUME.

#Maadili kwanza [emoji7]
#Nchi Kwanza[emoji7]
 
Uliwaona Hao wanawake waliouliwa? Au umekuwa msemaji wa wanawake wa Afghanistan? mwenye akili ni yule aliyekamatwa na kijana akiwa uchi kule kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane huku chupi kaiweka begani
Inaonekana wewe ni kichwa maji bogus ambaye hata hujui yanayo endelea Afghanistan.

Hizo fikra zenu mmeshapumbazwa kutetea hekaya zenu zinazo halalisha Ujinga.
 
Namba Moja anatokea kwa wenye Akili Marekani
Namba Mbili anatokea kwa wenye Akili Algeria
Namba Tatu anatokea kwa wenye Akili Jordan
Namba Nne asiye na Akili anatokea Tanzania

Itifaki yake ingekuwa na Watu makini kamwe wasingemwandaa Yeye kwenda bali wangemtuma Waziri Mkuu tu.
 
Namba Moja anatokea kwa wenye Akili Marekani
Namba Mbili anatokea kwa wenye Akili Algeria
Namba Tatu anatokea kwa wenye Akili Jordan
Namba Nne asiye na Akili anatokea Tanzania

Itifaki yake ingekuwa na Watu makini kamwe wasingemwandaa Yeye kwenda bali wangemtuma Waziri Mkuu tu.
Lakini ni Mashindano ya Kimataifa,kama wewe popoma umeshindwa na hao wageni usilaumu Rais na wapanga ratiba,jalaumu Kwa kukosa akili.
 
TBC1 jikiteni zaidi katika Kutuonyesha na Kutuibulia Watanzania matukio ya maana na siyo huu Upuuzi wa leo kwa Mkapa.
 
Abu Talha alifata nini kaburini?
Abu Talha aliingia kaburini ili amzike mtoto wa Mtume. Kwani ni taratibu ya uislam ikiwa marehemu anazikwa anatolewa kwenye jeneza na anaingizwa mwana ndani.

Turudi kwenye mada yetu! Umesema kuwa Mtume Muhammad amesema na kuyafanya haya!

“I (Muhammad) put on her my shirt that she may wear the clothes of heaven, and I SLEPT with her, in her coffin (grave) that I may lessen the pressure of the grave. She was the best of Allah’s creatures to me after Abu Talib”… The prophet was referring to Fatima, the mother of Ali."

Ninachohitaji kutoka kwako ni ushahidi ili nami niongeze elimu na kujifunza kupitia wewe!

Nipatie ushahidi tafadhali ili tuweke mambo sawa!
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=dt5CakYo9AA
Leo kutakuwa na mashindano makubwa ya kuhifadhi Quran kwa wanawake katika uwanja wa Mkapa.
Mgeni rasmi atakuwa ni Rasi wa Tanzania - Dr Samia
Mashindano yataonyeshwa Live kupitia channel mbali duniani
Wanawake wameuhifadhi msahafu mzima wakiwemo watoto wadogo
Yaanza saa 12:00 asubuhi mpka saa 7:00 mchana

FAIDA YA KUHIFADHI QURAN
Kuhifadhi Qur'an kuna faida nyingi za kiroho, kijamii, na kimaisha, ikiwemo:

  1. Thawabu za Kiakhera: Kuhifadhi Qur'an ni ibada kubwa ambayo inampatia mhifadhi wake thawabu nyingi kutoka kwa Allah, ikiwa ni pamoja na daraja za juu katika Pepo.
  2. Ulinzi na Baraka: Kuhifadhi Qur'an husaidia kupata ulinzi wa Allah na baraka katika maisha, kwani Qur'an ni chanzo cha nuru na mwongozo.
  3. Kuhifadhi Dini: Kuhifadhi Qur'an ni njia ya kulinda dini na kuhakikisha kuwa maneno ya Allah yanabaki sahihi na safi bila mabadiliko.
  4. Kiongozi wa Maisha: Qur'an ni mwongozo wa maisha ya kila siku. Mtu anayehifadhi Qur'an ana uwezo wa kuzingatia na kutekeleza mafundisho yake kwa urahisi zaidi.
  5. Heshima na Hadhi: Watu wanaohifadhi Qur'an wanapata heshima kubwa katika jamii, kwani wanachukuliwa kama watu wa dini na kiongozi wa kiroho.
  6. Ukaribu na Allah: Mtu anayehifadhi Qur'an anajenga ukaribu na Allah kupitia kujifunza, kuzingatia, na kutafakari maneno Yake.
  7. Faida za Akili: Kuhifadhi Qur'an kunaboresha kumbukumbu, uwezo wa kuelewa mambo, na umakini, kwani inahitaji bidii na uvumilivu.
  8. Mafanikio ya Kijamii: Wanaohifadhi Qur'an mara nyingi wanapata fursa nzuri katika jamii, kama vile kuwa viongozi wa maombi, walimu, na washauri wa kiroho.

Upumbavu mtupu.kuhifadhi Ku ran ah kukariri kiarabu?
 
Katika Biblia, ndevu zinaonekana kama sehemu muhimu ya tamaduni na taratibu za kijamii. Hapa kuna baadhi ya maeneo ambapo ndevu zinatajwa:

  1. Maagizo ya Mungu kwa Waisraeli: Katika Agano la Kale, hasa katika Kitabu cha Walawi, kuna maagizo maalum kuhusu kutokukata ndevu. Katika Walawi 19:27, inasema: "Msiendelee kukata ndevu zenu, wala msivichane vichwa vyenu." Hii ilikuwa sehemu ya sheria za Waisraeli kuhusu jinsi ya kujitambulisha na kutofautiana na mataifa mengine.
  2. Ndevu na Utukufu wa Mungu: Katika baadhi ya matukio, ndevu zinahusishwa na heshima na utukufu. Kwa mfano, ndevu za Mfalme Daudi zinatajwa kwa heshima.
  3. Mifano ya Watu wa Biblia: Mifano kama ya Samson, ambaye alikuwa na nguvu kubwa na alikuwa na ndevu ndefu, zinatoa picha ya umuhimu wa ndevu katika tamaduni za wakati huo.
someni Biblia
Key point ni tamaduni za jamii ile.
Haina uhusiano wowote na allegedly "Ahera"
 
Back
Top Bottom