Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake

Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake

Usipokariri au kuihifadhi hiyo biblia utaihifadhi vipi hiyo biblia ibakie kwenye msingi wake uleule?
Kukariri hakusaidii kuelewa mfano kuna tofauti ya uelewa kuhusu kuandama kwa mwezi kipindi cha Ramadhani waliokariri wanaamini mwezi ukionekana popote basi hiyo ndio siku ya Idd bila kujali tofauti ya masaaa zilizopo dunuani

Wakati waliosoma Kurani na kuelewa hutaka mwezi uonekane katika eneo husika kama Tanzania mfano ukionekana ukanda wa Afrika mashariki ndio wanafungua

Kwa hiyo kukariri kuliko kuelewa kuna shida yake
 
Kwa Imani ya kiislamu mnaamini Musa na Suleimani walikuwa manabii

Ukristo hauamini hivyo

Wale walikuwa viongozi wa taifa ambalo lilikuwa na dini moja tu ya kiyahudi ambayo kila myahudi alikuwa mfuasi wa hiyo dini ndio maana dini na siasa zilikuwa hazitenganishwi
Sawa!
 
Kukariri hakusaidii kuelewa mfano kuna tofauti ya uelewa kuhusu kuandama kwa mwezi kipindi cha Ramadhani waliokariri wanaamini mwezi ukionekana popote basi hiyo ndio siku ya Idd bila kujali tofauti ya masaaa zilizopo dunuani

Wakati waliosoma Kurani na kuelewa hutaka mwezi uonekane katika eneo husika kama Tanzania mfano ukionekana ukanda wa Afrika mashariki ndio wanafungua

Kwa hiyo kukariri kuliko kuelewa kuna shida yake
Sawa!
 
Badala watu tujenge mahospitali na vyioo vikuu vya kwetu ss tunakwenda kushindana kusoma bibilia, tukiwaambia mnakasirika,
Kwanza unashinda a vipi kusoma bibilia,

Mm nimewahi kuwa mwalimu ktk shule moja hapo mjini moshi vitoto haina akili na hawazingatii masomo kbsa katk Mia unamkuta mmoja ndio mwenye nafuu na hapo ukute baba anamkazania kusoma na tuition za hapa na pale

Mwisho nasema

Vijana walio tekwa na kumshikiliwa na jeshi la police waachie haraka sana bila mashart yoyote, kutekana ni ushamba na uoga
Mbna ndugu zetu waislamu hawana mamb ya mashindano ya kusoma quruan 😂

Hili
 
Badala watu tujenge mahospitali na vyioo vikuu vya kwetu ss tunakwenda kushindana kusoma bibilia, tukiwaambia mnakasirika,
Kwanza unashinda a vipi kusoma bibilia,

Mm nimewahi kuwa mwalimu ktk shule moja hapo mjini moshi vitoto haina akili na hawazingatii masomo kbsa katk Mia unamkuta mmoja ndio mwenye nafuu na hapo ukute baba anamkazania kusoma na tuition za hapa na pale

Mwisho nasema

Vijana walio tekwa na kumshikiliwa na jeshi la police waachie haraka sana bila mashart yoyote, kutekana ni ushamba na uoga
Mbna ndugu zetu waislamu hawana mamb ya mashindano ya kusoma quruan [emoji23]

Hili
Hizo ni chuki mind your bussiness dude, hayo ndo furaha na maisha yetu, nyie endeleeni na upinde wenu hamna anae wasame.
 
Tija inayopatikana pale uwanja wa Taifa kwenye mashindano ya kusoma Kurani ndio tija hiyo hiyo inapatikana kwenye mashindano ya kusoma Biblia.
 
Back
Top Bottom