Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Quran inaposomwa majini hujongea .Umejuaje kuwa wanawaita majini?
Hilo limethibitishwa kwenye Quran
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Quran inaposomwa majini hujongea .Umejuaje kuwa wanawaita majini?
Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wenye kuijua kweli yake tangu mwanzoni?MUNGU ATUJALIE TUIJUE KWELI YAKE.
Kuna sehemu nimendika kua sijaelewa anacho maanisha?Ukisoma kutoka kulia kwenda kushoto utaelewa anamaanisha nini.
Taliban kule Afghanistan wameua maelfu ya wanawake na watoto na kukandamiza haki zao za kiraia, Halafu unakuja kuleta Faida uchwara za kijinga ati, Quran inapinga dhuluma!!!Faida nyingine Quran inapinga Dhuluma katika kudhulumu Uhai wa Watu, kwa njia ya kuzuia Utekaji, Mauaji na kwa namna zingine
Allah alisimamie hili, Amin
Hivi hao wanawake wa kiislam wakifika huko mbinguni wanapewa nini??? Maana wanaume wanatunukiwa nguvu za kushughulikia mabikra 72 na mito ya pombe,,,,au hawa wakienda huko ndo wanakua hao ma bikra wanaopewa wanaume
Nipe aya!Quran inaposomwa majini hujongea .
Hilo limethibitishwa kwenye Quran
Uliwaona Hao wanawake waliouliwa? Au umekuwa msemaji wa wanawake wa Afghanistan? mwenye akili ni yule aliyekamatwa na kijana akiwa uchi kule kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane huku chupi kaiweka beganiTaliban kule Afghanistan wameua maelfu ya wanawake na watoto na kukandamiza haki zao za kiraia, Halafu unakuja kuleta Faida uchwara za kijinga ati, Quran inapinga dhuluma!!!
Ninyi pamoja na huyo Allah Mungu wenu mna wazimu na upumbavu.
Michezo ya kiarabu yakheee salimia ankali jumaUlitaka wawe Kama wakristo wataopewa mabasha 100
Sahih al-Bukhari 1285 Narrated By Anas bin Malik.Ni nukuu nzuri na inastaajabisha pia.
Tafadhali nisaidie ushahidi juu ya hili ili nami iwe sehemu yangu ya kuongeza elimu.
Unampenda kinyama au unaoenda kinyama chake😅Siwezi kugombana nae yule nampenda kinyama
You’re not everyone's cup of tea.Nilikuwa nakuchukulia kama ni mtu aliyestaarabika na pengine unatafuta namna ya jinsi ya kuielewa jamii na utofauti wake lakini imenisikitisha kuona unaandika kitu cha namna hiyo!
Unajisumbua kuandika gazeti. Hiyo quote niliyoweka umeona nimeambatanisha na maneno yoyote kuelezea kuwa alikusudia hivi??Mtume Muhammad s.a.w anasema: "Allah will not take away knowledge from His servants, but knowledge will be taken away as the men of knowledge are taken away until there is not a single man of knowledge left. Then people will take ignorant men for their leaders who will be asked something and will give a fatwa (decision) without any knowledge. They will go astray and lead others astray."
Akasema pia Mtume Muhammad s.a.w: "Allah revealed to one of the Prophets, 'Say unto those who study fiqh for a purpose other than the deen and to those who acquire knowledge for a purpose other than that of acting according to it, that they appear before people in sheep's clothing but inwardly are ravening wolves. Their tongues are sweeter than honey, but their hearts are more bitter than colocynth. They act deceitfully against Me and scorn Me. I will confront them with temptations which would confound even the wise."
Swahaba wa Mtume Ibn Mas-oud kasema pia: "The Qur'an was revealed in order that men may direct their lives according to its teaching. But instead you have made it your life work."
Kwa msingi huo, Abou Allah ibn Atta akasema pia: "Knowledge is dependent upon acting on it".
Na kwa msingi huo Imam Shafii akasema: "Knowledge is not what is memorized. Knowledge is what benefits".
Kwa tafsiri nyepesi, umuhimu wa elimu ni manufaa yake, wala siyo vyeti ulivyokusanya. Kwenye kila kauli inayotolewa na maimam ina asili yaani chanzo. Hivyo, ukiona nukuu ya imam yeyote ni vizuri kufuatilia asili ya yeye kutamka hivyo ni nini!
Hicho ndicho kilichokusudiwa kwa nukuu uliyoikoti.
Sahih al-Bukhari 1285 Narrated By Anas bin Malik.
Mkuu, kwenye uislamu ikiwa mhusika ananukuu aya na anataka kuitolea ufafanuzi inamlazimu arejee kwenye sababu ya hiyo aya kushuka ilikuwa ipi!Unajisumbua kuandika gazeti. Hiyo quote niliyoweka umeona nimeambatanisha na maneno yoyote kuelezea kuwa alikusudia hivi??
Soma kuelewa usisome kujibu.
Nipe tafsiri tu ya hii quote bila maelezo marefu. UmeelewajeMkuu, kwenye uislamu ikiwa mhusika ananukuu aya na anataka kuitolea ufafanuzi inamlazimu arejee kwenye sababu ya hiyo aya kushuka ilikuwa ipi!
Na ikiwa mtu ananukuu hadithi ni lazima arudi kwenye asili mazingira yapi yalikuwa mpaka Mtume alitoa hadithi ya namna hiyo!
Hivyo ndivyo msingi ulivyo!
Halikadhalika na kwenye kauli za maimam kila kauli ya Imam ina sababu kwa nini hitimisho limekuwa hivyo! Yaani hiyo kauli haikutokea tu yeye kuitamka.
Ikiwa kama unachukua tu kauli kwa msingi wa elimu unaoutetea wewe basi utakuwa msingi wako wa elimu hauna tofauti na wale wanaoitwa magaidi. Kwa sababu kauli wanaibeba pasipk kujua msingi wake ni upi!
Abu Talha alifata nini kaburini?Ulichonielekeza Sahih Al Bukhari 1285 narrated by Anas bin Malik pameandikwa hivi!
كتاب الجنائز Funerals (Al-Janaa'iz)
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ مُحَمَّدٍ، حَدَّثَنَا أَبُو عَامِرٍ، حَدَّثَنَا فُلَيْحُ بْنُ سُلَيْمَانَ، عَنْ هِلاَلِ بْنِ عَلِيٍّ، عَنْ أَنَسِ بْنِ مَالِكٍ ـ رضى الله عنه ـ قَالَ شَهِدْنَا بِنْتًا لِرَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ وَرَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم جَالِسٌ عَلَى الْقَبْرِ ـ قَالَ فَرَأَيْتُ عَيْنَيْهِ تَدْمَعَانِ قَالَ ـ فَقَالَ " هَلْ مِنْكُمْ رَجُلٌ لَمْ يُقَارِفِ اللَّيْلَةَ ". فَقَالَ أَبُو طَلْحَةَ أَنَا. قَالَ " فَانْزِلْ ". قَالَ فَنَزَلَ فِي قَبْرِهَا
Narrated Anas bin Malik:
We were (in the funeral procession) of one of the daughters of the Prophet (ﷺ) and he was sitting by the side of the grave. I saw his eyes shedding tears. He said, "Is there anyone among you who did not have sexual relations with his wife last night?" Abu Talha replied in the affirmative. And so the Prophet told him to get down in the grave. And so he got down in her grave.
------------------------
Ulichokiandika wewe ni hiki:
Muhammad Had Sex with the Dead Body of His Aunt.
“I (Muhammad) put on her my shirt that she may wear the clothes of heaven, and I SLEPT with her, in her coffin (grave) that I may lessen the pressure of the grave. She was the best of Allah’s creatures to me after Abu Talib”… The prophet was referring to Fatima, the mother of Ali.
Mbona mambo ni tofauti?
Kuchota mchanga wa kaburi aite maruhaniAbu Talha alifata nini kaburini?
Kudadeki😁😁Kuchota mchanga wa kaburi aite maruhani