Rais Samia akiwa Arusha ameshindwa kujibu swali la mbunge wa Arusha mjini kuhusu mgao wa umeme

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Akijibu suala la kukatika kwa umeme, Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato aliwataka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kufanya ushirikishaji wa viongozi waliopo katika maeneo ili kukubaliana ni maeneo gani ya muhimu kwa ajili ya kupeleka umeme ikiwemo yale ya uzalishaji.

Ninajiuliza sipati jibu: Mbunge anauliza swali la Swali la mdngibna muhimu kwa wananchi wa Jimbo lake jibu linatolewa na naibu waziri.

Je, Naibu waziri alikuwa hajui kuna hilo tatizo kabla ya ziara ya Rais?

Je, Rais kwanini hakuongelea hiyo kero ?
Kulikuwa na haja gani mbunge kuuliza Rais hilo swali iwapo Naibu waziri alikuwa na jibu lake?
 
Samia ni mweupe sana kwenye Creatuve Interrogation!
Sio mjenga hoja!
Sio mtoa Sera!
Ni Rais muandikiwa hotuba!
Hana vision ya kuweza kushawishi watu live!
Samia!
anapwaya kwenye Ziara,sababu watu walikwisha zoea Amsha-Amsha ziara za hayati JPM!

Mama sio
"Live Material"
bali ni
"Recorded Material"

....Nikimaanisha kwamba,Samia bila kukaa na washika Remote na kupewa Program,yeye binafsi hajiwezi.

Labda kwenye vikao vya kina Mama wenzie kujenga hoja za kutetea GENDER EQUALITY!
 
Huyo Mbunge kuna kitu anakitafuta.

Tutakutana naye kwenye kura za maoni 2025.
 
Andika kwa kutumia maneno ya heshima unapomzungumzia mkuu wa nchi. #Usigeuze uhuru wa maoni kuwa jinai.
 
Hiyo ndo maana ya delegation of power. Ndo maana kwenye ziara yake anatembea na mawaziri, wakiulizwa maswali wanajibu wao, MH. Rais anakazia tu majibu pale inapobidi kufanya hvo.
 
Hivi hukoje wewe, Mkuu? Unajua unamuongelea Rais wetu wa Nchi ya Tanzania. Onyesha staha kwa Taifa kwa kumuheshimu Rais wetu tafadhali.
Ni wapi amekosea katika hoja yake?

Ni ukweli usiopingika kuwa this president is not creative. She is incompetent and in a span of two years she's has proved failure.
 
Andika kwa kutumia maneno ya heshima unapomzungumzia mkuu wa nchi. #Usigeuze uhuru wa maoni kuwa jinai.
Wewe ni mitala wa Nani huko kwa walamba asali.

Sijawahi kuona mtu mwenye wake wengi au kaolewa mke wa pili akawa na akili timamu
 
Acha chuki ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…