voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,935
SAWA!Yule mlilaumu kuwa haandikiwi hotuba kuwa anaropoka.sasa huyu anaandikiwa Tena lawama. Yaani bianadamu hatujui tunachotaka jamani. Tunataka hasi zero or positive
Ukiandikiwa isome lakini,baadae kuna Session unapaswa kuiweka Pembeni ya kuandikiwa na kisha kuingia Live,kuongelea kile kilichoko Mezani na Umati ulioko mbele yako!