SAWA!Yule mlilaumu kuwa haandikiwi hotuba kuwa anaropoka.sasa huyu anaandikiwa Tena lawama. Yaani bianadamu hatujui tunachotaka jamani. Tunataka hasi zero or positive
Akijibu suala la kukatika kwa umeme, Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato aliwataka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kufanya ushirikishaji wa viongozi waliopo katika maeneo ili kukubaliana ni maeneo gani ya muhimu kwa ajili ya kupeleka umeme ikiwemo yale ya uzalishaji.
Ninajiuliza sipati jibu: Mbunge anauliza swali la Swali la mdngibna muhimu kwa wananchi wa Jimbo lake jibu linatolewa na naibu waziri.
Je, Naibu waziri alikuwa hajui kuna hilo tatizo kabla ya ziara ya Rais?
Je, Rais kwanini hakuongelea hiyo kero ?
Kulikuwa na haja gani mbunge kuuliza Rais hilo swali iwapo Naibu waziri alikuwa na jibu lake?
UnakatwaAndika kwa kutumia maneno ya heshima unapomzungumzia mkuu wa nchi. #Usigeuze uhuru wa maoni kuwa jinai.
Tumezoea sana vya bure ndiyo mana tunahangaika sasa tunapoambiwa tulipe.Je yeye anapotuambia Watanzania Rumezowea vya Bure!
Hiyo sio Dharau kwetu?
Ni kipi cha Bure,na Lini kilitolewa na ni nani alikuwa akikitoa???¿¿¿
Mshazoea kunijibiwa kibabe kama,, "baki na mavi yako nyumbani kwako","sigawi chakula, asiefanya kazi afe kabisa'😂,naunga mkono comment 🤝🤝🤝
kuna mtu aliniuliza why kawarudisha wakina wazee wa zamani kwenye system.
nikamjibu bi mkubwa bado mwepesi sana anaitaji watu kama wale wamlinde kwenye kila idara
Rais ajibu wakati wahusika wapo? Ili iwaje? Rais anawafanyia kazi Mawaziri?Akijibu suala la kukatika kwa umeme, Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato aliwataka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kufanya ushirikishaji wa viongozi waliopo katika maeneo ili kukubaliana ni maeneo gani ya muhimu kwa ajili ya kupeleka umeme ikiwemo yale ya uzalishaji.
Ninajiuliza sipati jibu: Mbunge anauliza swali la Swali la mdngibna muhimu kwa wananchi wa Jimbo lake jibu linatolewa na naibu waziri.
Je, Naibu waziri alikuwa hajui kuna hilo tatizo kabla ya ziara ya Rais?
Je, Rais kwanini hakuongelea hiyo kero ?
Kulikuwa na haja gani mbunge kuuliza Rais hilo swali iwapo Naibu waziri alikuwa na jibu lake?
Mtasema anaropoka ama anajitungiaSAWA!
Ukiandikiwa isome lakini,baadae kuna Session unapaswa kuiweka Pembeni ya kuandikiwa na kisha kuingia Live,kuongelea kile kilichoko Mezani na Umati ulioko mbele yako!
Angela Kairuki ni mama mwenye uwezo tunaweza kuondoka naye 2025 kupitia ccm akawa Rais
Tutawabadilisha akina Mama wote wa Tanzania lakini ukweli ni kwamba hili ni Taifa la wezi.Angela Kairuki ni mama mwenye uwezo tunaweza kuondoka naye 2025 kupitia ccm akawa Rais
Angela Kairuki ni mama mwenye uwezo tunaweza kuondoka naye 2025 kupitia ccm akawa Rais
Mkuu umeadimika sana ukumbini hapa, kwema lakini?!Hivi hukoje wewe, Mkuu? Unajua unamuongelea Rais wetu wa Nchi ya Tanzania. Onyesha staha kwa Taifa kwa kumuheshimu Rais wetu tafadhali.
Akijibu suala la kukatika kwa umeme, Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato aliwataka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kufanya ushirikishaji wa viongozi waliopo katika maeneo ili kukubaliana ni maeneo gani ya muhimu kwa ajili ya kupeleka umeme ikiwemo yale ya uzalishaji.
Ninajiuliza sipati jibu: Mbunge anauliza swali la Swali la mdngibna muhimu kwa wananchi wa Jimbo lake jibu linatolewa na naibu waziri.
Je, Naibu waziri alikuwa hajui kuna hilo tatizo kabla ya ziara ya Rais?
Je, Rais kwanini hakuongelea hiyo kero ?
Kulikuwa na haja gani mbunge kuuliza Rais hilo swali iwapo Naibu waziri alikuwa na jibu lake?
Mkuu, nipo. Kwa desturi yetu waswahili nasema, ' kwema Mkuu'. Kwa Sasa nasoma zaidi maoni ya wenzetu hapa. NalaZimika kuja front pale ninapohisi Kuna jambo la kuongezea. Ha ha haaaa!Mkuu umeadimika sana ukumbini hapa, kwema lakini?!
Imaki kidogo uvuenguo sasa ulitaka ajibu kilicho jibiwa kifupi mh rais hakuleta ukame tulia umeme utapataAkijibu suala la kukatika kwa umeme, Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato aliwataka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kufanya ushirikishaji wa viongozi waliopo katika maeneo ili kukubaliana ni maeneo gani ya muhimu kwa ajili ya kupeleka umeme ikiwemo yale ya uzalishaji.
Ninajiuliza sipati jibu: Mbunge anauliza swali la Swali la mdngibna muhimu kwa wananchi wa Jimbo lake jibu linatolewa na naibu waziri.
Je, Naibu waziri alikuwa hajui kuna hilo tatizo kabla ya ziara ya Rais?
Je, Rais kwanini hakuongelea hiyo kero ?
Kulikuwa na haja gani mbunge kuuliza Rais hilo swali iwapo Naibu waziri alikuwa na jibu lake?
tumezoea na tulikuwa tunaenjoy balaa chief sana sana kile ambacho tunaambiwa tunakiona kinafanyikaMshazoea kunijibiwa kibabe kama,, "baki na mavi yako nyumbani kwako","sigawi chakula, asiefanya kazi afe kabisa'😂,
You cant treat a bushman in a civilized way, it wont understand,, 🤷🏻♀️