Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akubali ongezeko la 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma.

20220514_144608.jpg
20220514_144622.jpg
 
Rais Samia kwenye masuala mengine anajitahidi, yupo fast to act, which is good.

Ila kwenye mambo ya siasa anakuwa mgumu sana kuelewa mpaka pawepo na vikao vya maridhiano, tena hata kwenye masuala yaliyo wazi kisheria, ajabu sana; sijui wakina nani wanamdanganya, hajiamini.
 
Naomba nieleweshwe; 23% imeongezeka kwa kile kima cha chini tu au wote?

TUCTA walisema wanataka tzs 1,050,000 kama kima cha chini, hii ingekuwa ni ongezeko la asilimia ngapi?

Kima cha chini ni tzs ngapi?

Mwinyi aliongeA 15% kwa wote au kima cha chini?

Asanteni
 
W
Naomba nieleweshwe; 23% imeongezeka kwa kile kima cha chini tu au wote?

TUCTA walisema wanataka tzs 1,050,000 kama kima cha chini, hii ingekuwa ni ongezeko la asilimia ngapi?

Kima cha chini ni tzs ngapi?

Mwinyi aliongeA 15% kwa wote au kima cha chini?

Asanteni
Waje watu wa z -score na T -score
 
Back
Top Bottom