mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akubali ongezeko la 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama anaupiga mwingi.Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akubali ongezeko la 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma.
View attachment 2224213View attachment 2224214
Kweli kabisa hapo inahitaji ufafanuzi..Hii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Tusubiri wajuzi zaidi waje ila nachojua 23.3% sio ya woteHii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
mimi mwenyewe hapa nahisi kuna mtego mkubwa sanaHii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Kwani kwa sasa kima cha chini ni sh ngapi?Mama anaupiga mwingi.
Waje watu wa z -score na T -scoreNaomba nieleweshwe; 23% imeongezeka kwa kile kima cha chini tu au wote?
TUCTA walisema wanataka tzs 1,050,000 kama kima cha chini, hii ingekuwa ni ongezeko la asilimia ngapi?
Kima cha chini ni tzs ngapi?
Mwinyi aliongeA 15% kwa wote au kima cha chini?
Asanteni