hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Samia kwenye masuala mengine anajitahidi, yupo fast to act, which is good.
Ila kwenye mambo ya siasa anakuwa mgumu sana kuelewa mpaka pawepo na vikao vya maridhiano, tena hata kwenye masuala yaliyo wazi kisheria, ajabu sana, sijui wakina nani wanamdanganya.
Bosi Achana na wanawake wale, ukishindana na wanawake uwezi kufanikiwa, Acha chuki tafuta ela Jenga Maisha yako