Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo kichwa fanyia kazi kitu kingineUna elimu gani mkuu?? Kwahiyo aliyekuwa analipwa 330000 mwanzoni ataendelea kulipwa hivyo kwa akili yako?
Nyongeza ya mishahara inasetiwa kwa kima cha chini ili kubalance kule juu, hivyo nyongeza ya kima cha chini maana yake unawasogeza wengine juu zaidi.
Watumishi chukueni makapu ya kubebea helaSawa.
Shut Up!Sukuma Gang hutawaona hapa.. samia anafanya ambayo mungu wao alishindwa kwa miaka 6 halafu bado Yanamuabudu kama Wafuasi wa nabii Zumarid
Nitakujibu nn tena wakati uliniambia sina akiliNipo
Ila umeelewa vizuri hapo kilichoandikwa? Maana najua walimu wengi upeo ni mdogo
Sibishani na wapumbavu mimi. Kaa na mavi yako kichwani.Hiko kichwa fanyia kazi nyingine.
Kaka maridhiano ya kweli na katiba mpya itaitoa CCM MadarakaniSamia kwenye masuala mengine anajitahidi, yupo fast to act, which is good.
Ila kwenye mambo ya siasa anakuwa mgumu sana kuelewa mpaka pawepo na vikao vya maridhiano, tena hata kwenye masuala yaliyo wazi kisheria, ajabu sana; sijui wakina nani wanamdanganya.
AiseeeHiyo ni wa watu walio kima Cha chini, waliokua wakilipwa 270000, Sasa watalipwa 330000
Huyo hajaelewa! Hapo hawajaongeza mshahara kwa asilimia 23.3%! Serikali imekubali ongezeko la mshahara kwa 23.3% kwa kila cha chini! Maana yake kwamba kama kila cha chini kilikuwa lakini mbili(200,00) inamaa itaongeza 23.3% kwa kimya hicho cha chini na kuwa kama 238,000/,=kwa maana hiyo 38,000/= ndo ongezeko kwa nagzi hiyo ya chini si kwa ngazi nyingine! Sio kuwa mshahara umepanda kwa asilimia 23.3% kwa wafanya kazi wote hapana!Hiko kichwa fanyia kazi nyingine.
Ni kwa wafanyakazi wenye mshahara wa kima cha chini tu.23.3% Kwa kima cha chini maana yake ni NYONGEZA KWA LEVEL ZOTE, KUANZIA CHINI.
kima cha chini FUMBO limefumbuliwa..... wengine je, hesabu za MAFUMBO zinaendelea?Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akubali ongezeko la 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma.
View attachment 2224213View attachment 2224214
Mkuu kabla hujahukumu ungekaa kimya kwanza uone implications za niongeza ya kima cha chini. Sio mara ya kwanza kuongeza mshahara kwa kima cha chini.Una elimu gani mkuu?? Kwahiyo aliyekuwa analipwa 330000 mwanzoni ataendelea kulipwa hivyo kwa akili yako?
Nyongeza ya mishahara inasetiwa kwa kima cha chini ili kubalance kule juu, hivyo nyongeza ya kima cha chini maana yake unawasogeza wengine juu zaidi.
... hayuko tayari kuiweka rehani nafasi yake kama ambavyo ingekuwa kwa wengi.Samia kwenye masuala mengine anajitahidi, yupo fast to act, which is good.
Ila kwenye mambo ya siasa anakuwa mgumu sana kuelewa mpaka pawepo na vikao vya maridhiano, tena hata kwenye masuala yaliyo wazi kisheria, ajabu sana; sijui wakina nani wanamdanganya.