Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Unatoa wapi uhalali na ujasiri wa kudharau, kukejeli na kutweza waalimu au watu mnaopishana nao uelewa?

Mie nilichoelewa kwenye hiyo taarifa, kama kichwa Cha habari kilivyo na paragraph ya kwanza, ni kwamba, Rais ameridhia ongezeko la mishahara Kwa wafanyakazi wote wa umma ( hajataja asilimia ngapi), ameweka wazi kwamba wale wa kima Cha chini ndio ongezeko lao la mshahara ni asilimia 23.3%.

Mbona na wewe unasema nyongeza ni Kwa kima Cha chini pekee lakini haujaitwa hauna akili?

Kutokuelewa jambo inaweza kuwa ujinga Kwa Mara Moja lakini sio kukosa akili.
Mm nilipitia pia twitter kuona ikulu walichopost ndio nikawaelewa vizuri
Screenshot_20220514-154241_1.jpg
 
Tafsiri yake ni kwamba Rais ameongeza 23.3% kwenye kima cha chini cha mshahara Kama kilikuwa (mathalan) 100,000 23.3% ni 23,300 i.e 123,300/-
Walio nje ya Kima cha chini itakuwaje na ni wengi sana.
Na kwanini wasifahamu hatima yao ?

Ni haki yao kujulishwa.
Utakuta watumishi mko mshahara sawa sio wa kima cha chini mwenzako anaongezewa asilimia 30 we anaongezewa asilimia 6 utakuwa na haki gani ya kuona kuwa umeonewa?

Bila kutaja uhalari wa nyongeza yako kuna uwezekano wa watu kuongezewa mishahara kiholela tu wakupata na apate.
Tuelezane tunaongezewa kiasi gani kama walivyoelezana Kenya na Zanzibar.
 
Kwani hizo pesa zitakutosha sasa ?
Mkianza kuzipokea na kodi za nyumba na bidhaa zinapanda mnabaki kuomba omba mitaani na kukopa mkiweka dhamana ya vi subwoofer vyenu.
Si ndio nyie asipopandisha mnaponda, alipandisha mnaponda
 
Hapa kwa kima cha chini ni 23. Ila kwa waliovuka kima cha chini wamepugiwa hesabu zingine.
Yaani 1.9 trillion iwe imeongezwa kwa waliokuwa wanalipwa laki 3 kamili tu inakuja?
Naam, maana barua imesema ongezeko la 19.7% sio? Hii inamaana hiyo kuwa kima cha chini ndo kitapaa kwa hiyo 23%, hizo nyinginge zitakuwa zimepandaje?

Pia nilimsikia akisema mwaka jana hakutangaza kwakuwa ukifanya hivyo wafanyabiashara nao wanapandisha bei bila sababu, safari hii kuna kitu amewafanya hao wakubwa au ndo amesahau hilo?
 
Watanzania walivyo WAPUMBAVU wapo ambao watapinga na kutoka kejeli hata kwa hili la kuongeza mishahara kwa 23.3% tena TZ ikiongoza kwa nyongeza kubwa zaidi ya Mishahara EAC.
Hilo ongezeko unalielewa vizuri? Fuatilia
 
Wewe kwenye elimu tuelimishe sisi! Umesoma vizuri nilichoandika? Mna vyeti vingi akili kidogo!
Sioni kama una akili ya kusomwa kwa ugoro ulioandika pale, elewa tu sio kila mada ni ya kujadili Wewe.
Kuna jambo unakuta liko wazi kabisa kwa wenye taaluma husika Halafu Wewe unajifanya unajua kinyume chake, unaonekana punguani
 
Zaidi zaidi ni kuongeza payroll cost tu. Unakuta mtu ana gross pay ya 650K, take home ikibakia 550K lakini payroll cost yake ni zaidi ya 850 huko [emoji2379][emoji2379]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kama mshahara wa mwalimu ni degree ni 756,000/= kwa mwezi ...

Kama mama kaongeze asilimia 23.3% maana yake kwa mwezi mwalimu huyo atakuwa anapata ngapi ...?

23.3/100 ×756,000=176,148


Kwa hivyo basi baada ya kuongeza mshahara maana yake mwalimu wa degree anaenda kupata ...

756,000+176,148= 932,148 kwa mwezi ....


Au Mimi nawaza tofauti wadau ?????
 
Hiyo ni post ya ikulu, naamini umeielewa
Wewe ndio huelewi mzee, soma kwa makini na uelewe.

Nyongeza ya mshahara haichagui kundi la watu, hutoka kwa wote, utakachoona wewe ni utofauti katika TAKE HOME yako tu. Na hapo utaona utofauti sana kutokana na kodi kuwa na utofauti kulingana na mshahara mmoja na mwingine.

Kuna makundi manne ya viwango vya kodi vya P.A.Y.E kwahiyo wewe utaona umeongezeka kidogo kutokana na makato ya kodi.
 
Kama mshahara wa mwalimu ni degree ni 756,000/= kwa mwezi ...

Kama mama kaongeze asilimia 23.3% maana yake kwa mwezi mwalimu huyo atakuwa anapata ngapi ...?

23.3/100 ×756,000=176,148


Kwa hivyo basi baada ya kuongeza mshahara maana yake mwalimu wa degree anaenda kupata ...

756,000+176,148= 932,148 kwa mwezi ....


Au Mimi nawaza tofauti wadau ?????
Bado makato mfano PSSSf, Income tax etc
 
Waajiriwa 1,000,000 v/s watanzania 59mil waliopo katika mfumo usio rasmi,na ambao kilio chao hawafahamu pa kukipeleka.
•Magu aliangalia sana hapa!
Wewe ni mjinga kama Malaika wenu wa Chato. Hizo hela za mishahara ya watumishi mwisho wa siku zinaenda wapi? Wale machinga wanataka vitu vinunuliwe na nani? Wakulima je? Wafanyabiashara wamuuzie nani? Magu aliacha kuongeza mishahara kwa kidingizio cha miradi, je kuna mradi wowote umesimama? Fly over za Chang'ombe, Uhasibu ziliachwa asilimia ngapi na sasa ipo ngapi? Reli ya SGR iliachwa asilimia ngapi na sasa ngapi? Mji wa Mtumba je? Kumbe iliwezekana ila roho mbaya yake tu.
 
Kama mshahara wa mwalimu ni degree ni 756,000/= kwa mwezi ...

Kama mama kaongeze asilimia 23.3% maana yake kwa mwezi mwalimu huyo atakuwa anapata ngapi ...?

23.3/100 ×756,000=176,148


Kwa hivyo basi baada ya kuongeza mshahara maana yake mwalimu wa degree anaenda kupata ...

756,000+176,148= 932,148 kwa mwezi ....


Au Mimi nawaza tofauti wadau ?????
Ni kweli kabisa nimeamini wengi hatujui kusoma
 
ni haki yao, wewe na mimi tusio watumishi wa umma pia tutafaidika kupitia shughuli tunazofanya! Hata hivyo katika hiyo mishahara watumishi wanalipa kodi inayotumika kwenye hiyo miradi ya maendeleo! Acha roho mbaya mkuu
Hapo zinatumika almost trilioni 10 kwa ajili ya watu milioni moja tu katika population ya watu milioni 60.

Meaning only less than 5% ya population ndio wanaotumia pato la Taifa.

That is quite unfair.

Hizo faida unazosema wewe ni indirect ambazo zina very minor impact.

Sasa kwanini tusifanye miradi ambayo itamnufaisha kila mtu??

Ubinafsi tu umewazidi na serikali nayo kama vile imekuwa hijacked na kelele za watu wachache.

Maisha ni magumu sana huku mtaani na hili ongezeko will do nothing to solve that.
 
Back
Top Bottom