nyamwingi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 944
- 872
Mbona yy ametolea ufafanuzi mzuri tu we ndo hujamjelewa ambapo hujasema kuwa nawe umetumia Elimu gani kumuelewa!Una elimu gani mkuu?? Kwahiyo aliyekuwa analipwa 330000 mwanzoni ataendelea kulipwa hivyo kwa akili yako?
Nyongeza ya mishahara inasetiwa kwa kima cha chini ili kubalance kule juu, hivyo nyongeza ya kima cha chini maana yake unawasogeza wengine juu zaidi.