Mnaacha kujiajiri mnahangaika kuwa watumwa serilalini. Halafu mnashangilia nyongeza ya kimshahara wakati maisha nayo yanapanda. Min
Jifunze kuandika Kwanza ndo uje hapa.Mnaacha kujiajiri mnahangaika kuwa watumwa serilalini. Halafu mnashangilia nyongeza ya kimshahara wakati maisha nayo yanapanda. Mindless
Kwani hiyo 56000 ni kidogo?Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi:
Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/=
23/100x300,000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69,000=12,420/=
Sasa 69,000-12,420=56,580/=
Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa kila mtumishi.
Hivyo tegemeeni nyongeza ya 56,000/= kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai ni tofauti kabisa.
Ficha upuuzi na roho mbaya ngosha...Sasa hivi low class wanaumia zaidi, trust me. Lakini pia hata wafanyabiashara wanaumia kwa sababu uwezo wa kununua wa watu umepungua hivyo biashara nyingi hazifanyi vizuri.
Tuombe hili ongezeko liwe chanya kwa kila mtu, hata asiye mwajiriwa wa serikali, kwa maana ya mfanyabiashara.
Kila mwezi wanachukua asilimia mbili ya mshahara wa mfanyakazi ( gross income) halafu wanamsaliti mfanyakazii huyohuyo.TUCTA ni tawi la CCM usitarajie hata siku moja wakafanya hivyo, katika awamu ya 5 ndo hawakusikika kabisa wamekuja kuibuka awamu hii wakiwa na hayo mapendekezo mkononi
Hiyo 18% umeitoa wapi?Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi:
Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/=
23/100x300,000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69,000=12,420/=
Sasa 69,000-12,420=56,580/=
Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa kila mtumishi.
Hivyo tegemeeni nyongeza ya 56,000/= kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai ni tofauti kabisa.
Na hiyo 56000 imetokana na 23.3% increase isingekua hivyo isingekuepo. Tanzanians tujifunze kupongeza panapostahili ni ninyi juzi hapo mlikua mnamsifia Uhuru kwa 15% raise.Kwani hiyo 56000 ni kidogo?
Rudia kusoma
18 per cent ni VAT au?Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi:
Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/=
23/100x300,000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69,000=12,420/=
Sasa 69,000-12,420=56,580/=
Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa kila mtumishi.
Hivyo tegemeeni nyongeza ya 56,000/= kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai ni tofauti kabisa.
Kima cha chini cha kila sekta ni 300,000 ?Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi:
Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/=
23/100x300,000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69,000=12,420/=
Sasa 69,000-12,420=56,580/=
Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa kila mtumishi.
Hivyo tegemeeni nyongeza ya 56,000/= kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai ni tofauti kabisa.
Maisha ya utumishi kwa sasa ni kaziFomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi:
Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/=
23/100x300,000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69,000=12,420/=
Sasa 69,000-12,420=56,580/=
Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa kila mtumishi.
Hivyo tegemeeni nyongeza ya 56,000/= kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai ni tofauti kabisa.
Inatosha mkuuUpo sahihi, lakini hiyo 56000 kwenye kukopea si haba
Hii 23.3% bado ndogo acha kusifia upuuzi.Na hiyo 56000 imetokana na 23.3% increase isingekua hivyo isingekuepo. Tanzanians tujifunze kupongeza panapostahili ni ninyi juzi hapo mlikua mnamsifia Uhuru kwa 15% raise.
Mkubwaa...Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi:
Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/=
23/100x300,000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69,000=12,420/=
Sasa 69,000-12,420=56,580/=
Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa kila mtumishi.
Hivyo tegemeeni nyongeza ya 56,000/= kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai ni tofauti kabisa.
250,000kima cha chini ni sh ngapi ? ngoja tupige hesabu tuone
Kima cha chini hakatwi 18[Rudia kusoma
Kima cha chini ni kimoja tu, hakuna kima cha chini cha kila sektaKima cha chini cha kila sekta ni 300,000 ?
Au ni kiks cha chini cha sekta au kada husika ?
Kunw kada kima cha chini ni 600,000.
Kuna kada kima cha chini ni 500,000.
Sas akima cha chini cha lski tatu kimekuwaje naomba ufafanuzi mkuu