Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Duh mbona unatutisha watumishi [emoji3064][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi:
Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/=
23/100x300,000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69,000=12,420/=
Sasa 69,000-12,420=56,580/=
Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa kila mtumishi.
Hivyo tegemeeni nyongeza ya 56,000/= kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai ni tofauti kabisa.
Kwani hiyo 56000 ni kidogo?
 
Sasa hivi low class wanaumia zaidi, trust me. Lakini pia hata wafanyabiashara wanaumia kwa sababu uwezo wa kununua wa watu umepungua hivyo biashara nyingi hazifanyi vizuri.

Tuombe hili ongezeko liwe chanya kwa kila mtu, hata asiye mwajiriwa wa serikali, kwa maana ya mfanyabiashara.
Ficha upuuzi na roho mbaya ngosha...
 
TUCTA ni tawi la CCM usitarajie hata siku moja wakafanya hivyo, katika awamu ya 5 ndo hawakusikika kabisa wamekuja kuibuka awamu hii wakiwa na hayo mapendekezo mkononi
Kila mwezi wanachukua asilimia mbili ya mshahara wa mfanyakazi ( gross income) halafu wanamsaliti mfanyakazii huyohuyo.
 
Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi:
Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/=
23/100x300,000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69,000=12,420/=
Sasa 69,000-12,420=56,580/=
Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa kila mtumishi.
Hivyo tegemeeni nyongeza ya 56,000/= kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai ni tofauti kabisa.
Hiyo 18% umeitoa wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi:
Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/=
23/100x300,000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69,000=12,420/=
Sasa 69,000-12,420=56,580/=
Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa kila mtumishi.
Hivyo tegemeeni nyongeza ya 56,000/= kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai ni tofauti kabisa.
18 per cent ni VAT au?
 
Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi:
Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/=
23/100x300,000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69,000=12,420/=
Sasa 69,000-12,420=56,580/=
Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa kila mtumishi.
Hivyo tegemeeni nyongeza ya 56,000/= kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai ni tofauti kabisa.
Kima cha chini cha kila sekta ni 300,000 ?


Au ni kiks cha chini cha sekta au kada husika ?

Kunw kada kima cha chini ni 600,000.
Kuna kada kima cha chini ni 500,000.

Sas akima cha chini cha lski tatu kimekuwaje naomba ufafanuzi mkuu
 
Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi:
Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/=
23/100x300,000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69,000=12,420/=
Sasa 69,000-12,420=56,580/=
Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa kila mtumishi.
Hivyo tegemeeni nyongeza ya 56,000/= kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai ni tofauti kabisa.
Maisha ya utumishi kwa sasa ni kazi
 
Na hiyo 56000 imetokana na 23.3% increase isingekua hivyo isingekuepo. Tanzanians tujifunze kupongeza panapostahili ni ninyi juzi hapo mlikua mnamsifia Uhuru kwa 15% raise.
Hii 23.3% bado ndogo acha kusifia upuuzi.
 
Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi:
Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/=
23/100x300,000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69,000=12,420/=
Sasa 69,000-12,420=56,580/=
Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa kila mtumishi.
Hivyo tegemeeni nyongeza ya 56,000/= kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai ni tofauti kabisa.
Mkubwaa...

Hatujui hesabu ila jua kuwa hicho kima ni kwa mtu anae lipwa laki tatu pekee...
Na je...??? Anae lipwa laki nane na nusu...???
Nae anaongezewa 56k...??

Au ndo unavyo fikiri...?
 
Kima cha chini cha kila sekta ni 300,000 ?


Au ni kiks cha chini cha sekta au kada husika ?

Kunw kada kima cha chini ni 600,000.
Kuna kada kima cha chini ni 500,000.

Sas akima cha chini cha lski tatu kimekuwaje naomba ufafanuzi mkuu
Kima cha chini ni kimoja tu, hakuna kima cha chini cha kila sekta
 
Back
Top Bottom