Rais Samia akutana na baba yake mzazi Rihanna katika uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour

Rais Samia akutana na baba yake mzazi Rihanna katika uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Ronald Fenty ambaye ni Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna Fenty alipofika katika Ukumbi wa Paramount Pictures kwa ajili ya kuangalia Filamu ya Tanzania Royal Tour, leo Aprili 22, 2022.

Filamu hiyo inafanyiwa uzinduzi Los Angeles, Marekani ikiwa ni mara ya pili kufanyiwa kuzinduliwa Nchini humo baada ya awali kuzinduliwa Aprili 28, 2022 Jijini New York

Uzinduzi huo umefanyika usiku wa Aprili 21 kwa Marekani lakini kwa Tanzania tayari ni tarehe 22 Aprili 2022.

IMG_20220422_071101_251.png
 
Tunataka kujua reviews za ambao wamekwisha itizama. Hilo la msingi zaidi kama wakireview bad ujue kama taifa litakuwa limekula hasara
 
Kwahiyo hii inasaidia nini katika maisha mabovu ya mtanzania? Watu hata mlo mmoja shida, mafuta ya kula balaa, mafuta ya magari ndio kabisaaaaaaa, kimsingi tumepigwa na kitu kizito sana kichwani. Naona na snich mfungia magazeti wa zamani naye yupo ukimwangalia utadhani mtu kumbe hamna kitu, hawa ndio wale team sifia ambao walitakiwa kuwa out kama yule mwenzie wa kolomije.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Ronald Fenty ambaye ni Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna Fenty alipofika katika Ukumbi wa Paramount Pictures kwa ajili ya kuangalia Filamu ya Tanzania Royal Tour, leo Aprili 22, 2022.

Filamu hiyo inafanyiwa uzinduzi Los Angeles, Marekani ikiwa ni mara ya pili kufanyiwa kuzinduliwa Nchini humo baada ya awali kuzinduliwa Aprili 28, 2022 Jijini New York

Uzinduzi huo umefanyika usiku wa Aprili 21 kwa Marekani lakini kwa Tanzania tayari ni tarehe 22 Aprili 2022.View attachment 2196024
Badala ya kukutana na Biden yupo busy na wasanii utadhani ni Alikiba
 
Kanyaga twende Mama, ukisikiliza maneno ya wakosaji humu wanaomuabudu yule mungu wa malaika, utavuna mabua....
very GUUD, KANYAGA TWENDE MAMA JUST KEEP ON FOCUS FOR THE BENEFIT OF OUR COUNTRY usipoteze muda kuwasikiliza waathirika wa kuabudu minus brain
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Ronald Fenty ambaye ni Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna Fenty alipofika katika Ukumbi wa Paramount Pictures kwa ajili ya kuangalia Filamu ya Tanzania Royal Tour, leo Aprili 22, 2022.

Filamu hiyo inafanyiwa uzinduzi Los Angeles, Marekani ikiwa ni mara ya pili kufanyiwa kuzinduliwa Nchini humo baada ya awali kuzinduliwa Aprili 28, 2022 Jijini New York

Uzinduzi huo umefanyika usiku wa Aprili 21 kwa Marekani lakini kwa Tanzania tayari ni tarehe 22 Aprili 2022.View attachment 2196024
What value does he add as Rihanna's father to our country?
 
Kwahiyo hii inasaidia nini ,katika maisha mabovu ya mtanzania? watu hata mlo mmoja shida, mafuta ya kula balaa, mafuta ya magari ndio kabisaaaaaaa, kimsingi tumepigwa na kitu kizito sana kichwani. naona na snich mfungia magazeti wa zamani naye yupo ukimwangalia utadhani mtu kumbe hamna kitu, hawa ndio wale team sifia ambao walitakiwa kuwa out kama yule mwenzie wa kolomije
Hakuna aliyekulazimisha kuupitia uzi huu. Hasira zako ni shughuli yako binafsi.
 
Tunafanya Mambo ya Kipumbavu Moja Wapo ni Hili la Royal Tour. Nchi Haina Mafuta ya Kula.. Nchi haina Umeme wa Uhakika.. Nchi haina Barabara .

Tourism ndio Itatuletea Haya Kweli. Hivi tunajivunia Wanyama Badala ya Nchi KUJITEGEMEA kwa ya Kwake Kabla ya Kwenda Kujipendekeza pendekeza
 
Back
Top Bottom