peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
very GUUD, KANYAGA TWENDE MAMA JUST KEEP ON FOCUS FOR THE BENEFIT OF OUR COUNTRY usipoteze muda kuwasikiliza waathirika wa kuabudu minus brain
Kanyaga twende Mama, ukisikiliza maneno ya wakosaji humu wanaomuabudu yule mungu wa malaika, utavuna mabua....
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Ronald Fenty ambaye ni Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna Fenty alipofika katika Ukumbi wa Paramount Pictures kwa ajili ya kuangalia Filamu ya Tanzania Royal Tour, leo Aprili 22, 2022.
Filamu hiyo inafanyiwa uzinduzi Los Angeles, Marekani ikiwa ni mara ya pili kufanyiwa kuzinduliwa Nchini humo baada ya awali kuzinduliwa Aprili 28, 2022 Jijini New York
Uzinduzi huo umefanyika usiku wa Aprili 21 kwa Marekani lakini kwa Tanzania tayari ni tarehe 22 Aprili 2022.View attachment 2196024
HahahaNapendekeza akaonane pia na baba mlezi wa wiz khalifa, Mr Snopp Dogg.
nani asiependa raha ata kama ingekuwa ndo mimi. marekan sio mchezo.
mimi na wewe nani mwenye hasira? thats fact kubali kataaHakuna aliyekulazimisha kuupitia uzi huu. Hasira zako ni shughuli yako binafsi.
Napendekeza akaonane pia na baba mlezi wa wiz khalifa, Mr
Wee unataka mama yetu avutishwe bange?Napendekeza akaonane pia na baba mlezi wa wiz khalifa, Mr Snopp Dogg.
Kwaiyo ungekuwa wewe ungekaa mwezi mzima unashanga mataa ya usiku [emoji23][emoji16][emoji16][emoji1][emoji1787]nani asiependa raha ata kama ingekuwa ndo mimi. marekan sio mchezo.
Hivi hii nayo ni story kweli?? Ccm mna shida sana.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Ronald Fenty ambaye ni Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna Fenty alipofika katika Ukumbi wa Paramount Pictures kwa ajili ya kuangalia Filamu ya Tanzania Royal Tour, leo Aprili 22, 2022.
Filamu hiyo inafanyiwa uzinduzi Los Angeles, Marekani ikiwa ni mara ya pili kufanyiwa kuzinduliwa Nchini humo baada ya awali kuzinduliwa Aprili 28, 2022 Jijini New York
Uzinduzi huo umefanyika usiku wa Aprili 21 kwa Marekani lakini kwa Tanzania tayari ni tarehe 22 Aprili 2022.
Kwa akili yako rais ndio anakuletea milo mezani kwako?Kwahiyo hii inasaidia nini ,katika maisha mabovu ya mtanzania? watu hata mlo mmoja shida, mafuta ya kula balaa, mafuta ya magari ndio kabisaaaaaaa, kimsingi tumepigwa na kitu kizito sana kichwani. naona na snich mfungia magazeti wa zamani naye yupo ukimwangalia utadhani mtu kumbe hamna kitu, hawa ndio wale team sifia ambao walitakiwa kuwa out kama yule mwenzie wa kolomije
Watanzania tuna shida sanaKwahiyo hii inasaidia nini ,katika maisha mabovu ya mtanzania? watu hata mlo mmoja shida, mafuta ya kula balaa, mafuta ya magari ndio kabisaaaaaaa, kimsingi tumepigwa na kitu kizito sana kichwani. naona na snich mfungia magazeti wa zamani naye yupo ukimwangalia utadhani mtu kumbe hamna kitu, hawa ndio wale team sifia ambao walitakiwa kuwa out kama yule mwenzie wa kolomije
Bado anatafuna kodi zetu huko kwa Biden, Mungu atunusuru na viongozi wa aina hii.Bado hajarudigi tu ahaha
Si ndio kikichomoeleka jamani au huku kaagaje?Uhuru akienda yeye huwa yupo serious anaenda kuonana na Rais wa Marekani yeye yupo busy na waigizaji wenzake
wasanii ndio watu wenye ushawishi zaid marekaniBadala ya kukutana na Biden yupo busy na wasanii utadhani ni Alikiba
Bado hujajifungua till now.Kanyaga twende Mama, ukisikiliza maneno ya wakosaji humu wanaomuabudu yule mungu wa malaika, utavuna mabua....