Rais Samia akutana na baba yake mzazi Rihanna katika uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour

Rais Samia akutana na baba yake mzazi Rihanna katika uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour

Ahsante sana, natumae waziri wa utalii na maliasili nae alikuwepo...
 
That was a Non State Affair. Haina tija kwa Taifa. Naanza kuona kuwa safari ya the U.S was neither a state visit nor official visit. It was just a trip.

Nashauri, vingine akaushie tu is not necessary to hit headlines for useless stuffs.
Baba Rihanna karibu kitaa baada ya kutoka sober house.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Ronald Fenty ambaye ni Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna Fenty alipofika katika Ukumbi wa Paramount Pictures kwa ajili ya kuangalia Filamu ya Tanzania Royal Tour, leo Aprili 22, 2022.

Filamu hiyo inafanyiwa uzinduzi Los Angeles, Marekani ikiwa ni mara ya pili kufanyiwa kuzinduliwa Nchini humo baada ya awali kuzinduliwa Aprili 28, 2022 Jijini New York

Uzinduzi huo umefanyika usiku wa Aprili 21 kwa Marekani lakini kwa Tanzania tayari ni tarehe 22 Aprili 2022.
Yaleyale ya Vasco Da Gama
 
That was a Non State Affair. Haina tija kwa Taifa. Naanza kuona kuwa safari ya the U.S was neither a state visit nor official visit. It was just a trip.

Nashauri, vingine akaushie tu is not necessary to hit headlines for useless stuffs.
Baba Rihanna karibu kitaa baada ya kutoka sober house.
Mama anafuta nyayo za Vasco Da Gama wetu ambaye alienda Jamaika kubembea, mambo mengine hayafai hata kuyatangaza hayana tija kwa taifa mbali ya kujidharirisha tu.
 
Hii nchi yetu sijui tumelaniwa, yani huyu mama tangu aingie madarakani anapwipwitwa tu kupanda ndege akashangae wazungu.

Mbona hajaonana hata na Joe Biden?. Inamana Rais wa marekani hana taarifa ya ugeni mzito wa mkuu wa nchi?. Je siku Joe Biden akitua bongo akapokelewa na Philip mpango bila kuonana na huyu mama mpaka atakaporudi kwao marekani atajiskiaje?

Mama punguza anasa tamaa za mwili sio nzuri maana mwishowe ni umauti, usione kitu basi hutaki kikupite bado unataka ukaonane na Justin biber [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ha ha ha ha wazungu wanamuenjoy tu[emoji2]
Anaishushia hadhi nchi yetu kwakweli hivi hao viongozi wengine hawamshauri? Au ndio wanamuacha aende ili wapate nafasi yakuupiga mwingi zaidi
 
Back
Top Bottom