Rais Samia akutana na kufanya mazungumzo mfanyabiashara Alhaj Aliko Dangote

Afadhali,, cement itashuka bei, maana walimfanyia figisu mwanzoni, wakati ule cement ya dangote imeshamili mtaani, tulinunua mfuko wa saruji hadi Tsh 10,000 kutoka 15000.

Dikteta alimfanyia figisu za kutisha.
never
 
Kodi pia ziangaliwe upya unakuta product moja inalipiwa kodi mpaka mara tatu au Nne

Katika hotuba za Raisi Samia ameongelea sana jinsi ya utitiri wa Kodi na Urasimu ulivyojaa
Kwa sisi Watu wa kawaida tunachoomba ni Ajira ili twende Choo kwa amani
Hakika mkuu, bila ajira au mazingira mazuri ya kujiajiri maisha yanakuwa magumu sana
 
"Mabeberuuu"..... Mwangwi unatokomea. Mataga mpo???!
 
Angemsaidia dangote asingelalamika CBS kwamba serikali yake inachukua 16% undiluted share kwenye kampuni zao
 
Yeye ndio chanzo cha Dangote kupunguza uwekezaji Nchini,,
Never kivipi Sasa???? Eti binti
 
Soo far She seem to be strategic and serious in revamping the current business and economical situation.
Let's hope for the better.
 
Kuna uwezekano mkubwa, Ikulu ya Chamwino haitaendelea kutumika.
Ikulu ni popote ... Halafu sasa Ikulu ambayo ilikuwa imepoteza matumizi angalau itapata matumizi na hakuna haja kusumbua watu kwenda Dodoma, biashara ya mahoteli itaanza kufufuka .. Kazi iendelee.
 



Tushukuru tumepata wafanyabiashara kama hawa hawana skendo za rushwa na wanaamini Waafrica.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…