Chamwino kuna makafara mchanganyiko. Yapo ya John Malecela yapo na ya Mwendazake. Hakukaliki wala hakukaliki.Kuna uwezekano mkubwa, Ikulu ya Chamwino haitaendelea kutumika.
Unajua gharama ya kuwa na nyumba ndogo? Gharama ya kuendesha serikali yenye shughuli dar na dom?... we don't care Ikulu iko wapi; tunachohitaji ni UPENDO, FURAHA, HAKI, na AMANI vitamalaki nchini; that's priority #1. Mengine yanafuata.
Hutaki unaacha, hujalazimishwa kukubali, chuki tu imekujaaWaandikie watoto wako ujinga huu!
Mkuu, upo kazini (kulinda legacy na upotoshaji) au hujui? Bomba lake mwenyewe la gesi ni plan ya msoga boy iliyokuwepo. Jiwe akaja kubadilisha hayo kwa kuamua eneo lililoelekezwa bomba liwe ni eneo la viwanda na serikali yenyewe ndiyo izalishe nishati na kumuuzia Dangote kama mteja tu (wa nishati) sambamba na wateja wengine watakaowekeza eneo hilo. Hii ingeongeza gharama kwasababu angepaswa kununua nishati kutoka kwa "middle man". Ndicho hicho alicholalamika kutotekelezwa walichokubaliana. Sasa unaposema jiwe ndiye aliyepush ajengewe bomba lake ni upotoshaji wa hali ya juu.Huyu Dangote wakati anapigania kupata gas ya Mtwara, ni Magufuli aliyempigania mpaka kuagiza ajengewe bomba lake mpaka kiwandani,
alipoona vile vile wanamzingua kuhusu makaa ya mawe alimruhusu mpaka awe na eneo lake mwenyewe achimbe,
leo mnamsema kwamba alikuwa anamfanyie mizengwe,?!
kweli kama umemchoka mbwa mpe jina baya.
nyie watu man roho mbaya sana.
Asante kwa taarifa hii, huu ni muendelezo wa mwanzo mzuri wa Mama Samia, to restore confidence kwa investors ni hatua muhimu sana kwa investiment climate yetu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani amekutana na kufanya mazungumzo na Mfanyabiashara maarufu kutokea Nigeria Alhaji Aliko Dangote
Mazungumzo hayo muhimu yalifanyika leo Mei 24, 2021 Ikulu Jijini Dar es salaam
Alhaji Dangote ni mfanyabiashara mkubwa duniani aliyewekeza nchini Tanzania kwenye sekta mbalimbali ikiwemo Kiwanda cha kuzalisha Saruji Mkoani Mtwara
Alhaji Dangote amemshukuru sana Rais Samia kws kuboresha mazingira ya Uwekezaji nchini na ameahidi kuwa ataendelea kuwekeza Tanzania kwenye maeneo tofauti ikiwamo ujenzi wa Kiwanda cha Mbolea
Rais Samia aliahidi kuwa Serikali yake itaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini kwa faida ya pande zote na alwaagiza Mawaziri husika kushughulikia changamoto zinazoikabili Kampuni ya Dangote
Taarifa zaidi kutolewa na Mamlaka husika
Kazi Iendelee
Yes nachukia up.upu!Hutaki unaacha, hujalazimishwa kukubali, chuki tu imekujaa
Ila nyumba tatu haikuwa shida, si ndivyo? Maana mtangulizi wake alikuwa na nyumba ndogo 2 na hivyo kufanya awe na nyumba 3; Magogoni, Dodoma na Chalton.Unajua gharama ya kuwa na nyumba ndogo? Gharama ya kuendesha serikali yenye shughuli dar na dom?
Naomba media zote leo Wahariri mtoe habari ya Dangote vizuri. Mtangazeni mama kwa mazuri na makubwa anafanya kwa nchi kwa muda mfupi mno mwanga umerudi kwa speed ya radi. Mungu mlinde Rais wetu, #The Madam President#HerExcellency
Nchi yoyote makini, uhusiano wa sekta binfasi na serikali uko kwenye taratibu sahihi za kufanyabiashara, siyo kudekezwa ambako ndo naona sasa kunatafutwa kwa kisingizio cha ajira.Sema Dangote naye ni mtu asiweza kabisa figisu. Biashara zake nyingi ustawi wake unategemea sana kulelewa na serikali. Hata Nigeria iko hivyo.
Ingawa ndio kazi ya serikali kulea sekta binafsi lakini ukipata mtawala roho mbaya kama Magu mambo yanayumba sana.
Pls if possible Tupe SABABU ZA MSINGI,KWA NINI ALISITISHA UZALISHAJI HAPA TANZANIA.Huyu Dangote wakati anapigania kupata gas ya Mtwara, ni Magufuli aliyempigania mpaka kuagiza ajengewe bomba lake mpaka kiwandani,
alipoona vile vile wanamzingua kuhusu makaa ya mawe alimruhusu mpaka awe na eneo lake mwenyewe achimbe,
leo mnamsema kwamba alikuwa anamfanyie mizengwe,?!
kweli kama umemchoka mbwa mpe jina baya.
nyie watu man roho mbaya sana.
Hakuna cha PR! Ameitoa wapi wakati hajawahi interact na dunia? Hapa sisi tunajua kinachotafutwa. Marais wa kiafrika wanazuzuliwa na vitu vya kishenzi tu! Hata kuambiwa wewe ni zaidi ya wote, inampa kichwa kikubwa. Iliwahi sikika JK alipewa suti na ikatosha kutoa upendeleo. Sasa endeleeni kuamini huyu anajua mambo kumbe wao wameshajua udhaifu wake. Ndo kazi ya ofisi za ubalozi zilizoko hapa nchini, kujua udhaifu wa viongozi wetu.... huyu Mama PR iko juu sana kuliko mtangulizi! Chama kingekuwa makini, kama ilikuwa ni lazima wawili hawa washike madaraka ya juu, basi mtangulizi aliitakiwa awe msaidizi wa Mama toka mwanzo kabisa.
Huyo ni kutoka Nigeria boss! Lini ulisikia muwekezaji mwaminifu toka Nigeria? Tangu rais hadi mwananchi ni utapeli mtindo mmoja.Pls if possible Tupe SABABU ZA MSINGI,KWA NINI ALISITISHA UZALISHAJI HAPA TANZANIA.
ILI NDUGUZO TUFAHAMU.
Asee kweli FURAHA... we don't care Ikulu iko wapi; tunachohitaji ni UPENDO, FURAHA, HAKI, na AMANI vitamalaki nchini; that's priority #1. Mengine yanafuata.
Hujui chochote kuhusu hill Dogo. Katika mambo ambayo JPM alikuwa smart lilikuwa ni jinsi alivyo deal na Dangote. Utanielewa kesho!
Imagine ndani ya miezi miwili positive changes kibaooo[emoji122][emoji122][emoji122]Mama anachapa kazi aise.
Sijui anapumzikaga siku gani
Haijapata tokeaMaamuz ya kuhamia Dodoma yalikuwa ni moja ya maamuz ya hovyo mno kuwah kufanywa ......!!!
Magufuli alikuwa mwongo na msahaulifuHuyu Dangote wakati anapigania kupata gas ya Mtwara, ni Magufuli aliyempigania mpaka kuagiza ajengewe bomba lake mpaka kiwandani,
alipoona vile vile wanamzingua kuhusu makaa ya mawe alimruhusu mpaka awe na eneo lake mwenyewe achimbe,
leo mnamsema kwamba alikuwa anamfanyie mizengwe,?!
kweli kama umemchoka mbwa mpe jina baya.
nyie watu man roho mbaya sana.
Kwani inalipiwa Kodi?Kuna uwezekano mkubwa, Ikulu ya Chamwino haitaendelea kutumika.