Rais Samia akutana na mjomba wake ambaye ni Mwarabu

Mbona ni kawaida tu kwa Wazanzibari kwani wengi wao wana ndugu wa damu huko Oman hata huku bara nawajua watu kadhaa wana ndugu wengine hadi baba zao wapo huko Oman ni raia kabisa na wao ni Watanzania.
Ni kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…