Rais Samia akutana na Mwalimu Wake aliyemfundisha Chuo kikuu cha Mzumbe Mwaka 1983-1986

Huyo mwalimu wake anaitwa nani?

Mnastage matukio mnafikiri kila mtu nu mjinga ?
 
Wewe una kipaji cha uandishi wa habari za burudani, yaani unakipoteza hivi hivi kwenye uchawa, amka ukitumie vyema.
 
Waalimu wangu wa chuo sitaki hata kuwaona wajinga wale.

Walikua wanagawa maksi kwa machawa wao na wanafunzi wa kike waliokuwa wanatembea nao.
😁🤣🤣😂😂😁😁😂
 
Waalimu wangu wa chuo sitaki hata kuwaona wajinga wale.

Walikua wanagawa maksi kwa machawa wao na wanafunzi wa kike waliokuwa wanatembea nao.
hivi ulimaliza chuo kweli gentleman kwa Sup zile? dah 🐒

au hata ulivyoenda kusapua ukakamatwa tena?

ila Tatizo haiku walimu gentleman, ni wewe mwenyewe ndio ulikua issue 🐒
 
Sio kwamba imepangwa waje wakutane hapo ili ya uandikwa na kusifu patikane, na haswa ku proof wrong wanaosema aliunga unga shule.
Lazima kuwa kapangwa, hata hizo pamba alizotupia ni mpya kabisa.

NB: Hakuna mtu yeyote anayekutana na Rais bila crew ya Ulinzi kujua na kumjua anayetaka kukutana na Rais
 
Sio kwamba imepangwa waje wakutane hapo ili ya uandikwa na kusifu patikane, na haswa ku proof wrong wanaosema aliunga unga shule.
Kuunga shule sio mbaya alimuradi umalize
 
Msenge wewe.
Narudia tena kusema tena kuwa hakuna chuo kinachodahili nakupokea watu wajinga wajinga .wewe hakuna chuo cha kukupokea.tena koma kabisa kuchafua vyuo kwa kusema ulifika chuo.
 
Lazima kuwa kapangwa, hata hizo pamba alizotupia ni mpya kabisa.

NB: Hakuna mtu yeyote anayekutana na Rais bila crew ya Ulinzi kujua na kumjua anayetaka kukutana na Rais
Acha utoto ndugu yangu.au wewe umezoea kuvaa nguo za hovyo hovyo na ndio maana unashangaa mtu kuvaa nguo nzuri na kupendeza.
 
Kwanza hakuna mwanafunzi aliyefika chuo mwenye akili kama zako.wewe huwezi ukawa na akili za kudahiliwa chuo kikuu. Au unafikiri chuo wanakwenda na kuzoa hata wajinga wajinga? Wewe huwezi kamwe na katu kusoma chuo au kupokelewa chuo chochote kile.
😆🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…