Rais Samia akutana na Mwalimu Wake aliyemfundisha Chuo kikuu cha Mzumbe Mwaka 1983-1986

Rais Samia akutana na Mwalimu Wake aliyemfundisha Chuo kikuu cha Mzumbe Mwaka 1983-1986

Rais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na Sabrina Geleja (kulia) ambaye ni mwalimu wake aliyemfundisha wakati akisoma Chuo cha IDM Mzumbe kuanzia mwaka 1983-1986, ambacho sasa ni Chuo Kikuu cha Mzumbe.

Sabrina Geleja.jpg

Amekutana naye chuoni hapo leo Agosti 4, 2024 katika hafla ya uwekeji wa jiwe la msingi wa la ujenzi wa Chuo Kikuu Mzumbe, kampasi ya Morogoro eneo la Maekani. Rais alitoa fursa ya kupiga picha ya ukumbusho na mwalimu huyo pamoja na wanafunzi aliosoma nao darasa moja.

Chanzo: azamtvtz

Kwani hiyo Kozi aliyoisomea hapo Kitaaluma haina Heshima hadi mkaamua Kuificha wakati wenye Akili wanaijua tu?
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na Sabrina Geleja (kulia) ambaye ni mwalimu wake aliyemfundisha wakati akisoma Chuo cha IDM Mzumbe kuanzia mwaka 1983-1986, ambacho sasa ni Chuo Kikuu cha Mzumbe.

Amekutana naye chuoni hapo leo Agosti 4, 2024 katika hafla ya uwekeji wa jiwe la msingi wa la ujenzi wa Chuo Kikuu Mzumbe, kampasi ya Morogoro eneo la Maekani. Rais alitoa fursa ya kupiga picha ya ukumbusho na mwalimu huyo pamoja na wanafunzi aliosoma nao darasa moja.

Chanzo: azamtvtz

Kwani hiyo Kozi aliyoisomea hapo Kitaaluma haina Heshima hadi mkaamua Kuificha wakati wenye Akili wanaijua tu?
Mbona unaweweseka sana na kutapa tapa kila siku ewe mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo na chuki binafsi.
 
Mkuuu Lucas mwashambwa
Tunaomba ushushe full CV ya mama na zile degree zake za heshima….
 
Kuonesha ulimwengu elimu ya hali ya juuu ya kipenzi cha waTz.
Siyo hitaji la watanzania kwa sasa. Mahitaji ya watanzania yanaendelea kutekelezwa vyema sana na Rais Samia na ndio maana wanaendelea kumuunga mkono kwa kishindo kikuu
 
Back
Top Bottom