Rais Samia akutana na Mwalimu Wake aliyemfundisha Chuo kikuu cha Mzumbe Mwaka 1983-1986

Rais Samia akutana na Mwalimu Wake aliyemfundisha Chuo kikuu cha Mzumbe Mwaka 1983-1986

Mama Samia asingetoboa kimaisha akaishia kuwa mama nitilie huyo mwalimu asingejitokeza kumkumbatia

Mleta mada jitahidi utoboe kimaisha utakumbatiwa hadi na walimu wako wa chekechea na watatembea kutwa barabara nzima wakitamba kuwa walikufundisha

Lakini kwa huo uchawa tu ulionao sioni kama kuna mwalimu yeyote aweza akikutana na wewe na kukukimbilia kukukumbatia

Wanakumbatiwa na kupigiwa vigelegele waliotoboa kimaisha kama Samia

Hata waliosoma naye tu sababu katoboa kimaisha atapenda kumkumbatia na kutamba kuwa nilisoma naye

Jitahidi utoboe maisha
 
Yaaani we jamaa kiboko aisee. Si kwa majibu haya
Katika uongozi wa Rais Samia hakuna ambaye hatabasamu. Rais Samia amekuwa akiteka hisia za watu wengi sana mpaka inakuwa ni vigumu sana kwa mtu mwenye moyo wa nyama kubakia amenuna tu kama kiapo au maadili ya kazi yanavyomtaka. Kumbuka hata yeye ni Mwanadamu anayeguswa. Hata ungekuwa ni wewe kwa tukio hilo la kugusa hisia za watu ni lazima ungetabasamu tu.

Rais Samia kwa namna anavyopendwa na kugusa hisia za watu,ndio maana unaona hata akienda hospitalini unoana wagonjwa wakitabasamu na kuona wamepona kabisa.View attachment 3061282
 
Katika uongozi wa Rais Samia hakuna ambaye hatabasamu. Rais Samia amekuwa akiteka hisia za watu wengi sana mpaka inakuwa ni vigumu sana kwa mtu mwenye moyo wa nyama kubakia amenuna tu kama kiapo au maadili ya kazi yanavyomtaka. Kumbuka hata yeye ni Mwanadamu anayeguswa. Hata ungekuwa ni wewe kwa tukio hilo la kugusa hisia za watu ni lazima ungetabasamu tu.

Rais Samia kwa namna anavyopendwa na kugusa hisia za watu,ndio maana unaona hata akienda hospitalini unoana wagonjwa wakitabasamu na kuona wamepona kabisa.View attachment 3061282
Jifunze kujibu swali
Katika uongozi wa Rais Samia hakuna ambaye hatabasamu. Rais Samia amekuwa akiteka hisia za watu wengi sana mpaka inakuwa ni vigumu sana kwa mtu mwenye moyo wa nyama kubakia amenuna tu kama kiapo au maadili ya kazi yanavyomtaka. Kumbuka hata yeye ni Mwanadamu anayeguswa. Hata ungekuwa ni wewe kwa tukio hilo la kugusa hisia za watu ni lazima ungetabasamu tu.

Rais Samia kwa namna anavyopendwa na kugusa hisia za watu,ndio maana unaona hata akienda hospitalini unoana wagonjwa wakitabasamu na kuona wamepona kabisa.View attachment 3061282
Jifunze kujibu swali kwa ufupi.
Komredi Mwashambwa mbona huyo msaidizi wa rais mwenye nguo za kijeshi anatabasamu? Imekaaje hii kwa mujibu wa kazi yake?
Jifunze kujibu swali kwa ufupi.
 

Ndugu zangu Watanzania,

Katika muendelezo wa ziara yake Mkoani Morogoro ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo,uzinduzi na uwekaji wa mawe ya msingi kwa ujenzi wa miradi mbalimbali,utatuzi wa kero mbalimbali za wananchi.

Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,katika hali ya kuteka hisia za watu ameweza kuonana ana kwa ana Na Mwalimu wake Mama Sabina Gellejah ,aliyemfundisha alipokuwa mwanafunzi katika chuo hicho Mwaka 1983-1986 ambacho kwa sasa kinafahamika kama Mzumbe.

Kwa hakika Mungu ni Mwema sana .ukiangalia katika picha hii namna mama huyu alivyokuwa anaonesha uso wake uliojaa furaha na tabasamu mpaka unaona anatamani kutoa machozi ya furaha inagusa sana kiukweli.

Maana bila shaka Mama huyu haamini kama Ameweza kukutana uso kwa uso na Rais na Mkuu wa Nchi aliyepita mikononi mwake kama mwalimu wake. Haamini kama leo anaweza kupata nafasi ya kusalimiana na Mkuu wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu.Haamini kama ni yeye aliyeingia katika kitabu cha historia cha kufundisha Mwanafunzi ambaye amekuja kuwa Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu.

Bila shaka moyo wake umebubujikwa na machozi ya furaha sana kuona amepata bahati ambayo wengi hawapati katika Maisha yao yote mpaka wanakufa ,kuweza kupewa heshima ya hadhi ya juu kabisa kusimama na Rais Na kushikwa mkono kusalimiwa na kutambulishwa.

Leo Tanzania nzima imetambua na kumfahamu miongoni mwa watu waliompika na kumuivisha Mama yetu. Kwa hakika Mungu amjalie Maisha Marefu sana Mama na Mwalimu huyu aliyetupikia na kumfundisha Rais wetu Mh Dkt Mama Samia ,ambaye leo kama Taifa Tunajivunia uwepo wake madarakani.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi kumbe huyu rais ana degree 😁😁😁
Nilikuwa sijui na vile wazenji hawapendi elimu dunia
 
Inatusaidia kujuwa kuwa ukiwa juu basi usisahau na kuwasahau waliokufikisha hapo.lakini pia tujitahidi kuwatendea haki watu wote tuwapo katika sehemu zetu za kazi maana hatujui kesho watakuwa akina nani na vipi watakuwa msaada katika maisha yetu.
Sasa anavoteka watu?
 
Waalimu wangu wa chuo sitaki hata kuwaona wajinga wale.

Walikua wanagawa maksi kwa machawa wao na wanafunzi wa kike waliokuwa wanatembea nao.
Kwanini uliamua kusoma hadi chuo kikuu mkuu
 
Inatusaidia nini hii story yako hata nami nimekutanaye juzi tu aliyenifundisha sikuona cha ajabu.
 

Ndugu zangu Watanzania,

Katika muendelezo wa ziara yake Mkoani Morogoro ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo,uzinduzi na uwekaji wa mawe ya msingi kwa ujenzi wa miradi mbalimbali,utatuzi wa kero mbalimbali za wananchi.

Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,katika hali ya kuteka hisia za watu ameweza kuonana ana kwa ana Na Mwalimu wake Mama Sabina Gellejah ,aliyemfundisha alipokuwa mwanafunzi katika chuo hicho Mwaka 1983-1986 ambacho kwa sasa kinafahamika kama Mzumbe.

Kwa hakika Mungu ni Mwema sana .ukiangalia katika picha hii namna mama huyu alivyokuwa anaonesha uso wake uliojaa furaha na tabasamu mpaka unaona anatamani kutoa machozi ya furaha inagusa sana kiukweli.

Maana bila shaka Mama huyu haamini kama Ameweza kukutana uso kwa uso na Rais na Mkuu wa Nchi aliyepita mikononi mwake kama mwalimu wake. Haamini kama leo anaweza kupata nafasi ya kusalimiana na Mkuu wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu.Haamini kama ni yeye aliyeingia katika kitabu cha historia cha kufundisha Mwanafunzi ambaye amekuja kuwa Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu.

Bila shaka moyo wake umebubujikwa na machozi ya furaha sana kuona amepata bahati ambayo wengi hawapati katika Maisha yao yote mpaka wanakufa ,kuweza kupewa heshima ya hadhi ya juu kabisa kusimama na Rais Na kushikwa mkono kusalimiwa na kutambulishwa.

Leo Tanzania nzima imetambua na kumfahamu miongoni mwa watu waliompika na kumuivisha Mama yetu. Kwa hakika Mungu amjalie Maisha Marefu sana Mama na Mwalimu huyu aliyetupikia na kumfundisha Rais wetu Mh Dkt Mama Samia ,ambaye leo kama Taifa Tunajivunia uwepo wake madarakani.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni kweli alimfundisha Mzumbe, lakini hakikuwa Chuo Kikuu kama unavyodai. Chuo Kikuu cha Mzumbe kimeanza rasmi mwaka 2001.
 
Ni kweli alimfundisha Mzumbe, lakini hakikuwa Chuo Kikuu kama unavyodai. Chuo Kikuu cha Mzumbe kimeanza rasmi mwaka 2001.
Screenshot_20240804-134938_1.jpg
 
Wewe chawa Lucas Mwashambwa sa100 kafundishwa na mwalimu na Sio kafundishwa na professor wa economic,

Nikama vile sa100 alienda kusoma chekechea Tu.

Walio andaa propaganda,hawakuianda vizuri, wameacha makosa ya kimkakati ili maswali tazidi kuongezeka, masomi wako Huku wanamcheka Tu
 
Back
Top Bottom