Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #101
Soma tena andiko ndugu yangu.Mwaka 1983-1986 hakukuwa na Chuo Kikuu Mzumbe, kulikuwa na IDM Mzumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma tena andiko ndugu yangu.Mwaka 1983-1986 hakukuwa na Chuo Kikuu Mzumbe, kulikuwa na IDM Mzumbe
Uchawa usikufanye kuwa mjinga.Acha utoto ndugu yangu.au wewe umezoea kuvaa nguo za hovyo hovyo na ndio maana unashangaa mtu kuvaa nguo nzuri na kupendeza.
Umepanga wewe? Kwanini mnakuwa na wivu kiasi hicho?Uchawa usikufanye kuwa mjinga.
Hilo tukio limepangwa, period
Mama ameleta neema na tabasamu kwa kila mtant.ndio maana mnaona furaha imeongezeka sana kwa watanzaniaHadi bakabaka katabasamu
Sasa na wewe unaamini Kuwa kuna chuo kinaweza kuchukua mtu mjinga mjingaChuo gani hicho
Ova
Stroke yuko vizuri mjombaSasa na wewe unaamini Kuwa kuna chuo kinaweza kuchukua mtu mjinga mjinga
Vizuri kwako.Stroke yuko vizuri mjomba
Ova
Katika uongozi wa Rais Samia hakuna ambaye hatabasamu. Rais Samia amekuwa akiteka hisia za watu wengi sana mpaka inakuwa ni vigumu sana kwa mtu mwenye moyo wa nyama kubakia amenuna tu kama kiapo au maadili ya kazi yanavyomtaka. Kumbuka hata yeye ni Mwanadamu anayeguswa. Hata ungekuwa ni wewe kwa tukio hilo la kugusa hisia za watu ni lazima ungetabasamu tu.
Rais Samia kwa namna anavyopendwa na kugusa hisia za watu,ndio maana unaona hata akienda hospitalini unoana wagonjwa wakitabasamu na kuona wamepona kabisa.View attachment 3061282
Mimi naongea ukweli ndugu yangu mtanzaniaYaaani we jamaa kiboko aisee. Si kwa majibu haya
Jifunze kujibu swaliKatika uongozi wa Rais Samia hakuna ambaye hatabasamu. Rais Samia amekuwa akiteka hisia za watu wengi sana mpaka inakuwa ni vigumu sana kwa mtu mwenye moyo wa nyama kubakia amenuna tu kama kiapo au maadili ya kazi yanavyomtaka. Kumbuka hata yeye ni Mwanadamu anayeguswa. Hata ungekuwa ni wewe kwa tukio hilo la kugusa hisia za watu ni lazima ungetabasamu tu.
Rais Samia kwa namna anavyopendwa na kugusa hisia za watu,ndio maana unaona hata akienda hospitalini unoana wagonjwa wakitabasamu na kuona wamepona kabisa.View attachment 3061282
Jifunze kujibu swali kwa ufupi.Katika uongozi wa Rais Samia hakuna ambaye hatabasamu. Rais Samia amekuwa akiteka hisia za watu wengi sana mpaka inakuwa ni vigumu sana kwa mtu mwenye moyo wa nyama kubakia amenuna tu kama kiapo au maadili ya kazi yanavyomtaka. Kumbuka hata yeye ni Mwanadamu anayeguswa. Hata ungekuwa ni wewe kwa tukio hilo la kugusa hisia za watu ni lazima ungetabasamu tu.
Rais Samia kwa namna anavyopendwa na kugusa hisia za watu,ndio maana unaona hata akienda hospitalini unoana wagonjwa wakitabasamu na kuona wamepona kabisa.View attachment 3061282
Jifunze kujibu swali kwa ufupi.Komredi Mwashambwa mbona huyo msaidizi wa rais mwenye nguo za kijeshi anatabasamu? Imekaaje hii kwa mujibu wa kazi yake?
Hivi kumbe huyu rais ana degree 😁😁😁
Ndugu zangu Watanzania,
Katika muendelezo wa ziara yake Mkoani Morogoro ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo,uzinduzi na uwekaji wa mawe ya msingi kwa ujenzi wa miradi mbalimbali,utatuzi wa kero mbalimbali za wananchi.
Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,katika hali ya kuteka hisia za watu ameweza kuonana ana kwa ana Na Mwalimu wake Mama Sabina Gellejah ,aliyemfundisha alipokuwa mwanafunzi katika chuo hicho Mwaka 1983-1986 ambacho kwa sasa kinafahamika kama Mzumbe.
Kwa hakika Mungu ni Mwema sana .ukiangalia katika picha hii namna mama huyu alivyokuwa anaonesha uso wake uliojaa furaha na tabasamu mpaka unaona anatamani kutoa machozi ya furaha inagusa sana kiukweli.
Maana bila shaka Mama huyu haamini kama Ameweza kukutana uso kwa uso na Rais na Mkuu wa Nchi aliyepita mikononi mwake kama mwalimu wake. Haamini kama leo anaweza kupata nafasi ya kusalimiana na Mkuu wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu.Haamini kama ni yeye aliyeingia katika kitabu cha historia cha kufundisha Mwanafunzi ambaye amekuja kuwa Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu.
Bila shaka moyo wake umebubujikwa na machozi ya furaha sana kuona amepata bahati ambayo wengi hawapati katika Maisha yao yote mpaka wanakufa ,kuweza kupewa heshima ya hadhi ya juu kabisa kusimama na Rais Na kushikwa mkono kusalimiwa na kutambulishwa.
Leo Tanzania nzima imetambua na kumfahamu miongoni mwa watu waliompika na kumuivisha Mama yetu. Kwa hakika Mungu amjalie Maisha Marefu sana Mama na Mwalimu huyu aliyetupikia na kumfundisha Rais wetu Mh Dkt Mama Samia ,ambaye leo kama Taifa Tunajivunia uwepo wake madarakani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sasa anavoteka watu?Inatusaidia kujuwa kuwa ukiwa juu basi usisahau na kuwasahau waliokufikisha hapo.lakini pia tujitahidi kuwatendea haki watu wote tuwapo katika sehemu zetu za kazi maana hatujui kesho watakuwa akina nani na vipi watakuwa msaada katika maisha yetu.
Nani ametekwa? Acheni maigizo yenu ya kutafuta sifa za kijinga na kuchafua serikali yetu.mmeishiwa hoja mmebaki kutoa vitaarifa vya kutaka kuleta taharuki.Sasa anavoteka watu?
Kwanini uliamua kusoma hadi chuo kikuu mkuuWaalimu wangu wa chuo sitaki hata kuwaona wajinga wale.
Walikua wanagawa maksi kwa machawa wao na wanafunzi wa kike waliokuwa wanatembea nao.
Ni kweli alimfundisha Mzumbe, lakini hakikuwa Chuo Kikuu kama unavyodai. Chuo Kikuu cha Mzumbe kimeanza rasmi mwaka 2001.
Ndugu zangu Watanzania,
Katika muendelezo wa ziara yake Mkoani Morogoro ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo,uzinduzi na uwekaji wa mawe ya msingi kwa ujenzi wa miradi mbalimbali,utatuzi wa kero mbalimbali za wananchi.
Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,katika hali ya kuteka hisia za watu ameweza kuonana ana kwa ana Na Mwalimu wake Mama Sabina Gellejah ,aliyemfundisha alipokuwa mwanafunzi katika chuo hicho Mwaka 1983-1986 ambacho kwa sasa kinafahamika kama Mzumbe.
Kwa hakika Mungu ni Mwema sana .ukiangalia katika picha hii namna mama huyu alivyokuwa anaonesha uso wake uliojaa furaha na tabasamu mpaka unaona anatamani kutoa machozi ya furaha inagusa sana kiukweli.
Maana bila shaka Mama huyu haamini kama Ameweza kukutana uso kwa uso na Rais na Mkuu wa Nchi aliyepita mikononi mwake kama mwalimu wake. Haamini kama leo anaweza kupata nafasi ya kusalimiana na Mkuu wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu.Haamini kama ni yeye aliyeingia katika kitabu cha historia cha kufundisha Mwanafunzi ambaye amekuja kuwa Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu.
Bila shaka moyo wake umebubujikwa na machozi ya furaha sana kuona amepata bahati ambayo wengi hawapati katika Maisha yao yote mpaka wanakufa ,kuweza kupewa heshima ya hadhi ya juu kabisa kusimama na Rais Na kushikwa mkono kusalimiwa na kutambulishwa.
Leo Tanzania nzima imetambua na kumfahamu miongoni mwa watu waliompika na kumuivisha Mama yetu. Kwa hakika Mungu amjalie Maisha Marefu sana Mama na Mwalimu huyu aliyetupikia na kumfundisha Rais wetu Mh Dkt Mama Samia ,ambaye leo kama Taifa Tunajivunia uwepo wake madarakani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni kweli alimfundisha Mzumbe, lakini hakikuwa Chuo Kikuu kama unavyodai. Chuo Kikuu cha Mzumbe kimeanza rasmi mwaka 2001.