GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mbona unaweweseka sana na kutapa tapa kila siku ewe mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo na chuki binafsi.Rais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na Sabrina Geleja (kulia) ambaye ni mwalimu wake aliyemfundisha wakati akisoma Chuo cha IDM Mzumbe kuanzia mwaka 1983-1986, ambacho sasa ni Chuo Kikuu cha Mzumbe.
Amekutana naye chuoni hapo leo Agosti 4, 2024 katika hafla ya uwekeji wa jiwe la msingi wa la ujenzi wa Chuo Kikuu Mzumbe, kampasi ya Morogoro eneo la Maekani. Rais alitoa fursa ya kupiga picha ya ukumbusho na mwalimu huyo pamoja na wanafunzi aliosoma nao darasa moja.
Chanzo: azamtvtz
Kwani hiyo Kozi aliyoisomea hapo Kitaaluma haina Heshima hadi mkaamua Kuificha wakati wenye Akili wanaijua tu?
Najua umekuja Kumpigani Mtu wako aliyesomea Kozi ya Kawaida Kawaida ya Stenographer katika hicho Chuo. Heko!!Mbona unaweweseka sana na kutapa tapa kila siku ewe mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo na chuki binafsi.
Wewe kichwa na akili yako ni hovyo sana.ukabila ndio unaokusumbua na akili ndogo uliyo nayo.Najua umekuja Kumpigani Mtu wako aliyesomea Kozi ya Kawaida Kawaida ya Stenographer katika hicho Chuo. Heko!!
Jana na leooo...Mkuu
Hakuna loloteAnaweza kuja kuwa rais aliyefanikiwa kuliko kina Nyerere na Mwinyi, anayo akili ya kimaendeleo pia sio muoga wa kujichanganya na watu wa mataifa mbalimbali.
ZUCHU anasemaje kwaniJana na leooo...
Bila shaka umeamka nazo kichwani.Hakuna lolote
Hujawahi kumiliki akili wewe mjingaBila shaka umeamka nazo kichwani.
Mzumbe tena! Kazi kweli kweli!!Ni jambo jema
Tangia lini na wewe ukawa na akiliHujawahi kumiliki akili wewe mjinga
Nitakunyoosha mpk dharau zako ziisheTangia lini na wewe ukawa na akili
Kunywa vidonge vyako.Nitakunyoosha mpk dharau zako ziishe
IDM Mzumbe stands for Institute of Development Management Mzumbe, point.
AsanteIDM Mzumbe stands for Institute of Development Management Mzumbe, point.
🙃🙃🙃🙃🙃Msomi wa kiwango cha juu na ni miongoni mwa Marais wasomi sana Barani Afrika
Unataka ya nini.Mkuuu Lucas mwashambwa
Tunaomba ushushe full CV ya mama na zile degree zake za heshima….
Kuonesha ulimwengu elimu ya hali ya juuu ya kipenzi cha waTz.Unataka ya nini.
Siyo hitaji la watanzania kwa sasa. Mahitaji ya watanzania yanaendelea kutekelezwa vyema sana na Rais Samia na ndio maana wanaendelea kumuunga mkono kwa kishindo kikuuKuonesha ulimwengu elimu ya hali ya juuu ya kipenzi cha waTz.