Rais Samia alikuwa na nafasi ya kushinda tuzo la amani ya Nobel, lakini kesi dhidi ya Mbowe imemuharibia, bado ana nafasi, ajirekebishe

Rais Samia alikuwa na nafasi ya kushinda tuzo la amani ya Nobel, lakini kesi dhidi ya Mbowe imemuharibia, bado ana nafasi, ajirekebishe

CreativityCode

Senior Member
Joined
Aug 8, 2020
Posts
158
Reaction score
653
Shalom from Jerusalem,

Licha ya ukweli kwamba Rais Samia alikuwa kwenye utawala wa dikteta Magufuli alikuwa na nafasi kubwa sana ya kubadilika na kusimamia matakwa yote ya demokrasia na kuheshimu sheria kwa ustawi wa nchi lakini amejiharibia kuendelea kukomaa na kesi ya kubumba dhidi ya Mbowe.

Yaani hata aibu hana, kila kitu kiko wazi kwamba Mbowe na wenzake hawana hatia, yeye sijui ndiyo hao TISS wanamdanganya?

Mama wewe futa mashtaka ujisafishe, maana bado hujachelewa, acha alama iliyo njema duniani, nakuhakikishia utashinda tuzo la amani la Nobel na kuleta heshima kwa taifa letu.

Mungu awabariki.
 
Hiyo tuzo inaimuhimi gani?
Yaani aache kufanya majukumu yake kisa tuzo?
Hebu ongeza juhudi basi wew hapo uielete k
 
Hiyo Nobel ina faida gani kwa watanzania,nitiketi ya peponi au ni kwaajili ya fahari ya duniani?

Mbowe Ni gaidi,hata nikiamushwa usiku wa manane nitasema hivyo
 
Vijana wa hil taifa wamebakiza ujira m1 tuu..nao ni kujipendekeza apate chochote na uchawa...ndo mchongo mkubwa mjin
 
Shalom from Jerusalem,

Licha ya ukweli kwamba Rais Samia alikuwa kwenye utawala wa dikteta Magufuli alikuwa na nafasi kubwa sana ya kubadilika na kusimamia matakwa yote ya demokrasia na kuheshimu sheria kwa ustawi wa nchi lakini amejiharibia kuendelea kukomaa na kesi ya kubumba dhidi ya Mbowe.

Yaani hata aibu hana, kila kitu kiko wazi kwamba Mbowe na wenzake hawana hatia, yeye sijui ndiyo hao TISS wanamdanganya?

Mama wewe futa mashtaka ujisafishe, maana bado hujachelewa, acha alama iliyo njema duniani, nakuhakikishia utashinda tuzo la amani la Nobel na kuleta heshima kwa taifa letu.

Mungu awabariki.

Tatizo Siyo Yeye Anaetawala Yupo Pale Kama Raisi Wa Mchongo
 
Back
Top Bottom