Rais Samia alimtumbua DED Msongela Nitu Palela kwa utendaji na usimamizi mbovu na Ufisadi, leo amemteua Palela Msongela Nitu

Rais Samia alimtumbua DED Msongela Nitu Palela kwa utendaji na usimamizi mbovu na Ufisadi, leo amemteua Palela Msongela Nitu

Siku hizi hakuna vetting ni kutokana na nani anayekujua, kuna ma mtu malevi, majizi na mazinzi na yana tabia mbaya kwa jamii yameteuliwa kuwa DED. Yamewaacha midomo wazi watumishi.
Kuna Ded anaitwa Kagunze alishindwa kazi vibaya wilaya ya mlele mkoa wa Katavi, hata huhitaji kutumia nguvu kufanya vetting, hata ungemuuliza mtoto mdogo anakuambia. Alifukuzwa saizi kapandishwa kuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya shinyanga. Aibu sana na inakatisha tamaa watumishi wenye maadili n wanaopenda kuchapa kazi. Ni udhaifu mkubwa na kwa hili katibu mkuu kiongozi hausaidii utumishi wa umma
Mambo ya ovyo sanaz hivi kweli katika mamilion ya Vijana watanzania, wamekosekana Vijana Makini mbadala wa Hawa majizi???.



Unajua nn, tatizo ni Mfumo wa Rushwa wanaokua wameutengeneza kuanzia DED, DSO OCD mpaka huko wizaran.


Sasa wanalindana mnoo ,Ndio Sababu Kwa JPM Waliogopa hata kuteuliwa.


Wamekutana na mwanamke mmOja anawaambia, Sipendi kufoka foka Mimi
 
Siyo wivu wa kike. Hivi rais anamtengua DED mwezi Januari. Leo Juni kamrudisha. Tena kituo kile kile cha kazi. Ina maana makosa yake yameisha au?

DED mteule Sunday, alikuwa DED Ludewa. Aliliwa kichwa kwa sababu za kukiuka maadili ya kiuongozi na ufisadi. Leo tena kateuliwa na kurudi palepale.

Eti mama anaupiga mwingi.
Embu Tuanzisheni Uzi Mpya wa kuwataja maDED wote waliotumbuliwa Kwa Ufisadi, Sasa wamerejeshwa .
 
Tanzania ni mali ya CCM, huwa wanajigawia tu kitu chochote wanachoona kinawafaa
 
Tangia alivomtumbua Mataragio usiku halafu asubuhi akamrudisha nikajua tayari kama nchi tumepigwa.
 
Mimi Huwa nikiwaambia, Tuna Rais Kazi yake ni KUSAINI TU muwe mnanielewa, yaan tuna Rais akiletewa makaratasi hajishughulishi kwenda Ndani zaidi ,ajiridhishe Kisha atoe ruksa !!.

Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu ,kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela , haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa !!


Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela .
Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela ,watashtukiwa.


Kwenye mkeka wamemuanzia
PALELA MSONGELA NITU .
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu ?? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi ???


Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa ??.

Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya ?? Kwamba kakuomba msahama?? Kakiri hatorudia, alisingiziwa ??.




Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi ??,. Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK??.



Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, Tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha ??.


Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.

2.Msongela Palela wa zamani
View attachment 2649078

80 Palela Msongela Mpya[emoji1787]
View attachment 2649079



Mambo ya Ovyo kabisa !!.
Huyu mama nasikia anajulikana kama BI MCHELE ndo ak yake ukiamua kumchomekea hata barua ya posa mara ya pili atasaini tu
 
Mimi Huwa nikiwaambia, Tuna Rais Kazi yake ni KUSAINI TU muwe mnanielewa, yaan tuna Rais akiletewa makaratasi hajishughulishi kwenda Ndani zaidi ,ajiridhishe Kisha atoe ruksa !!.

Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu ,kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela , haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa !!


Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela .
Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela ,watashtukiwa.


Kwenye mkeka wamemuanzia
PALELA MSONGELA NITU .
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu ?? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi ???


Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa ??.

Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya ?? Kwamba kakuomba msahama?? Kakiri hatorudia, alisingiziwa ??.




Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi ??,. Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK??.



Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, Tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha ??.


Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.

2.Msongela Palela wa zamani
View attachment 2649078

80 Palela Msongela Mpya🤣
View attachment 2649079



Mambo ya Ovyo kabisa !!.
Wanahonga fedha nyingi kabla, ili jina liingizwe kwenye mkeka kabla ya uteuzi, Mama hupelekewa tu.
 
Mimi Huwa nikiwaambia, Tuna Rais Kazi yake ni KUSAINI TU muwe mnanielewa, yaan tuna Rais akiletewa makaratasi hajishughulishi kwenda Ndani zaidi ,ajiridhishe Kisha atoe ruksa !!.

Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu ,kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela , haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa !!


Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela .
Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela ,watashtukiwa.


Kwenye mkeka wamemuanzia
PALELA MSONGELA NITU .
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu ?? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi ???


Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa ??.

Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya ?? Kwamba kakuomba msahama?? Kakiri hatorudia, alisingiziwa ??.




Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi ??,. Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK??.



Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, Tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha ??.


Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.

2.Msongela Palela wa zamani
View attachment 2649078

80 Palela Msongela Mpya[emoji1787]
View attachment 2649079



Mambo ya Ovyo kabisa !!.
Sio kila anayetumbuliwa huwa ana makosa, inawezekana ikawa ni kupisha uchunguzi lakini baada ya uchunguzi ikagundulika hana makosa,kwa hiyo mamlaka za uteuzi wanafanya uamuzi wa kumrudisha Kwenye nafasi yake!!

Sio huyo tu,Kuna mwingine hapo Mkurugenzi wa Ludewa Sunday,mamlaka zilitengua uteuzi wake,lakini wamemrudisha kwenye halmashauri hiyo hiyo!!
 
TUKUBALIANE TU, TUNA RAIS NA AWAMU DHAIFU ZAIDI KTKT HISTORIA YA TANZANIA.

cc:Chawa wa mama
 
Mimi Huwa nikiwaambia, Tuna Rais Kazi yake ni KUSAINI TU muwe mnanielewa, yaan tuna Rais akiletewa makaratasi hajishughulishi kwenda Ndani zaidi ,ajiridhishe Kisha atoe ruksa !!.

Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu ,kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela , haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa !!


Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela .
Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela ,watashtukiwa.


Kwenye mkeka wamemuanzia
PALELA MSONGELA NITU .
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu ?? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi ???


Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa ??.

Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya ?? Kwamba kakuomba msahama?? Kakiri hatorudia, alisingiziwa ??.




Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi ??,. Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK??.



Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, Tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha ??.


Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.

2.Msongela Palela wa zamani
View attachment 2649078

80 Palela Msongela Mpya🤣
View attachment 2649079



Mambo ya Ovyo kabisa !!.
Angejitahidi kuwa anasoma japo kidogo. Haya ndiyo yanaliangamiza Taifa kwenye mkataba wa Bandari zetu za Tanganyika
 
Mimi Huwa nikiwaambia, Tuna Rais Kazi yake ni KUSAINI TU muwe mnanielewa, yaan tuna Rais akiletewa makaratasi hajishughulishi kwenda Ndani zaidi ,ajiridhishe Kisha atoe ruksa !!.

Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu ,kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela , haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa !!


Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela .
Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela ,watashtukiwa.


Kwenye mkeka wamemuanzia
PALELA MSONGELA NITU .
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu ?? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi ???


Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa ??.

Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya ?? Kwamba kakuomba msahama?? Kakiri hatorudia, alisingiziwa ??.




Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi ??,. Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK??.



Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, Tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha ??.


Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.

2.Msongela Palela wa zamani
View attachment 2649078

80 Palela Msongela Mpya🤣
View attachment 2649079



Mambo ya Ovyo kabisa !!.
Naanza kuamini japo inawezekana akamrudisha Kwa kusudi kabisa maana hata kina Makubi walitumbuliwa na Sasa wamerudishwa tena.
 
Mimi Huwa nikiwaambia, Tuna Rais Kazi yake ni KUSAINI TU muwe mnanielewa, yaan tuna Rais akiletewa makaratasi hajishughulishi kwenda Ndani zaidi ,ajiridhishe Kisha atoe ruksa !!.

Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu ,kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela , haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa !!


Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela .
Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela ,watashtukiwa.


Kwenye mkeka wamemuanzia
PALELA MSONGELA NITU .
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu ?? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi ???


Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa ??.

Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya ?? Kwamba kakuomba msahama?? Kakiri hatorudia, alisingiziwa ??.




Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi ??,. Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK??.



Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, Tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha ??.


Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.

2.Msongela Palela wa zamani
View attachment 2649078

80 Palela Msongela Mpya🤣
View attachment 2649079



Mambo ya Ovyo kabisa !!.
Unajisumbua Bure Nchi Ina wenyewe hii
 
Mimi Huwa nikiwaambia, Tuna Rais Kazi yake ni KUSAINI TU muwe mnanielewa, yaan tuna Rais akiletewa makaratasi hajishughulishi kwenda Ndani zaidi ,ajiridhishe Kisha atoe ruksa !!.

Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu ,kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela , haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa !!


Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela .
Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela ,watashtukiwa.


Kwenye mkeka wamemuanzia
PALELA MSONGELA NITU .
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu ?? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi ???


Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa ??.

Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya ?? Kwamba kakuomba msahama?? Kakiri hatorudia, alisingiziwa ??.




Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi ??,. Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK??.



Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, Tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha ??.


Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.

2.Msongela Palela wa zamani
View attachment 2649078

80 Palela Msongela Mpya🤣
View attachment 2649079



Mambo ya Ovyo kabisa !!.
Labda kajirekebisha...

Hata mkuu wa Mkoa wa Dsm alitumbuliwa na akateuliwa tena....
 
Mimi Huwa nikiwaambia, tuna Rais Kazi yake ni KUSAINI TU muwe mnanielewa, yaan tuna Rais akiletewa makaratasi hajishughulishi kwenda Ndani zaidi, ajiridhishe Kisha atoe ruksa.

Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu, kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela, haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa.

Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela. Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela, watashtukiwa. Kwenye mkeka wamemuanzia

PALELA MSONGELA NITU
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi?

Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa?

Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya? Kwamba kakuomba msahama? Kakiri hatorudia, alisingiziwa?

Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi? Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK?

Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha?

Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.

2. Msongela Palela wa zamani.

View attachment 2649078

80 Palela Msongela Mpya🤣

View attachment 2649079
Mambo ya Ovyo kabisa !!.
Rais ni binadamu!, tusimlaumu Rais kwa makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake! Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
P
 
Back
Top Bottom