Rais Samia alishiriki filamu ya Royal Tour bila kinga ya heshima ya nchi. Tunashuhudia makosa ya kudhalilisha nchi

Ushamba unawasumbua bado wana zile akili za mwanaume akitembea uchi ni poa tu lakini mwanamke akifanya hivyo hivyo ni mwendo wa kumdhalilisha.

Haya ni matatizo ya mfume dume uliotulea, ni akili fulani za kipuuzi tu zilizopitwa na wakati.
 
Hayo mengine sitakujibu..
Hapo kwenye DailyNews ndo nimekuona na wewe ni mpenda propaganda tu.
Sasa,DailyNews,Habari Leo na Uhuru ni magazeti ya kusomwa na mtu serious?
 
Maneno mazito !!
 
Nikama vile Jiwe alivyotaka kuliangamiza Taifa. Ila swala la Jiwe kupata Corona usingelisikia hata kidogo kwani kwenye usukani walikuwepo Sukuma gang. Jiwe kafa kwa corona sababu ya kuamini ushirikina kuliko science
Jiwe alichanja chanjo ya corona.
 
Mbona kama una wivu sana na watu waliofika Us kupitia Mama? Jiwe aliishia kuwapeleka chato
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wivu wa nini boss? kwani unafahamu naishi wapi? Kulikuwa na mazungumzo kuhusu walioajiliwa ikulu, umeiona? Au unasoma kama mistari ya Biblia na Kuruani halafu unajibu?
Kuna sehemu serikali hitakiwi kuajili watu wenye elimu ya hapa na pale; Ikulu, BoT, Usalama wa Taifa. Sasa ikulu yetu hujazwa marafiki wa rais, waziri mkuu. Nzuri wawe marafiki na elimu ya kutosha, sasa hawa wetu.. Dah!
 
Kuwa mstaarab japo kwa kujifanyisha tu. Yule ni sawa na Mama yako au shangazi yako.
Nawe boss sasa una makuu. Akishakuwa sawa na mama yake au shangazi yake ndo asiambiwe kuacha tabia mbaya? Ktk familia yako wazazi hawajawahi au hawakuwahi kukatazwa mambo machafu na ninyi watoto wao?

Rais wa nchi ni heshima ya nchi, siyo heshima ya familia yake. Rais wa nchi anabebewa hata mafaili au karatasi za hotuba kwa heshima ya nchi. Iweje ashikwe kama abiriria wa dala dala?
 
Reactions: Ame
Kwani neno primitive ni tusi?
Inategemea na kiwango chako cha elimu. Kama ni darsa la 12 ukiangalia kwenye kamusi utaliona powa tu! Lakini tulio na elimu ya juu tunafahamu mzungu analitumia kumaanisha nini.
 
Primitive siyo tusi;
(Relating to, denoting, or preserving the character of an early stage in the evolutionary or historical development of something)

Kama hujui Kiingereza sema nitaweka kwa Kiswahili
OK! Umeangalia kwenye kamusi? KWa walio na elimu ya sekondari munaona ni powa tu! Lakini sisi wana sociolojia tunafahamu huyo mzungu alimaanisha nini kutumia neno hilo.
Siku nyingine jaribu kujifunza tabia za wengine usijejikuta unachekelea matusi.
 
Tabia ya ndani kabisa ya wanaoponda Mama kushikana mikono na Greenburg ni uhanga wa mfumo dume. Angekuwa amefanya hivyo Kikwete, RIP Mkapa au RIP Nyerere hakuna ambaye angesimama na kuanza kuandika haya yaliyoandikwa humu ndani.

Ni nongwa za kijinga tu, unyanyasaji wa jinsia yake. Ukishangaa Samia kumshika mkono mzee wa kizungu utashangaa sana aliyekuwa Chancellor wa Ujerumani namna alivyokuwa na ukaribu na viongozi wengine wa dunia hii.
 
OK! Umeangalia kwenye kamusi? KWa walio na elimu ya sekondari munaona ni powa tu! Lakini sisi wana sociolojia tunafahamu huyo mzungu alimaanisha nini kutumia neno hilo.
Siku nyingine jaribu kujifunza tabia za wengine usijejikuta unachekelea matusi.
Unakuja kwenye JF na kutamba kuwa wewe ni mtaalamu wa sociology!! Fani za kimama hizo za kukifunza maneno kwa ajili ya kuchamba.

Kama wewe MchunguZI ni mwanaume basi umesoma fani za kimama
 
Kwani utamaduni wa Tanganyika ni kuuwa watu ? Mbona kuanzia 1964 mumeikalia Zanzibar kwa mabavuu Na mnaendelea kuuwa watu kila uchaguzi/ uchafuzi unapofika, mkilazimisha kuweka vibaraka wenu?
Waambie hao pumbaf zao
 
Inategemea na kiwango chako cha elimu. Kama ni darsa la 12 ukiangalia kwenye kamusi utaliona powa tu! Lakini tulio na elimu ya juu tunafahamu mzungu analitumia kumaanisha nini.
Unataka kukuza vitu unnecessarily. Hakuna tusi hapo. Wamaasai wamebaki na culture na traditions zao hata baada ya wazungu kuleta mambo mageni. Mfano wamebaki na mavazi yao pamoja na kwamba baadhi hasa walioenda shule wanavaa mavazi ya kawaida.
 
This is best for the president, sijui nilisikia wapi??
 
Mimi naogopa kusema sana lakini tangu mwanzo nilipinga rais wa nchi kuigiza kwenye movie nionyesheni royal tour zingine nilizoigizwa na rais wa nchi!!!! labda rais wa bongo movie zao
 
Mimi naogopa kusema sana lakini tangu mwanzo nilipinga rais wa nchi kuigiza kwenye movie nionyesheni royal tour zingine nilizoigizwa na rais wa nchi!!!! labda rais wa bongo movie zao

Ona hii

 
Mimi naogopa kusema sana lakini tangu mwanzo nilipinga rais wa nchi kuigiza kwenye movie nionyesheni royal tour zingine nilizoigizwa na rais wa nchi!!!! labda rais wa bongo movie zao

 
Mimi naogopa kusema sana lakini tangu mwanzo nilipinga rais wa nchi kuigiza kwenye movie nionyesheni royal tour zingine nilizoigizwa na rais wa nchi!!!! labda rais wa bongo movie zao

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…