nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
Madogo kwako lakini wengi tunaona ni fedhehaHuwezi kumpangia cha kufanya rais wako mpaka useme eti asirudie tena, kuwa na adabu japo za kimaandishi tu za humu JF.
Yeye kushikana mikono na huyu mzee wa kizungu imekupunguzia kitu gani maishani mwako wewe?. Acheni kukuza mambo madogo sana haya.
Rais ni alama ya nchi..
Tunampangia sababu tunamlipa mshahara.
And do not try to act like you are my mother teaching me manners!
Eti kuwa na adabu!!