Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana,wananchi tuko na furaha.Mungu mpe uzima na Afya,Rais wetu Mpendwa,Mama yetu Samia.Huyu Mama kwa mwendo huu Muda si mrefu Tanzania mambo yatakuwa mazuri sana kiuchumi ,
Hongera Rais Samaia
Huyu Rais Mh, Mpendwa ,Mama Samia,ni msomi,uchumi anaujuwa.Mungu ampe Afya na maisha marefu.Mama kamaliza utata kirahisi tu
Tufanye kazi fursa kila kona ziko waziNdiyo mchakarike sasa
Achaneni na story story fanyeni kweli
Ova
Rais huyu ni hitaji la Mungu mwenyewe, ndio maana Kila kitu kinakwenda vizuri SanaSana,wananchi tuko na furaha.Mungu mpe uzima na Afya,Rais wetu Mpendwa,Mama yetu Samia.
Kabobea kwenye Uchumi haswaaHuyu Rais Mh, Mpendwa ,Mama Samia,ni msomi,uchumi anaujuwa.Mungu ampe Afya na maisha marefu.
Hakuna Cha ajabu alichofanya,hizo ni diplomasia tu,hapo lazima na sie tumeachia kidogo.Kumekuwa na mgogoro mkali wa kibiashara hasa ya Parachichi baina ya Tanzania na Africa ya Kusini uliodumu kwa mwongo mzima (miaka kumi) sasa bila muafaka wowote.
Mtakumbuka February, 2021 kabla ya ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan Jumla ya tani 3.514 za avocados|parachichi toka Tanzania zilizokuwa zinasafirishwa kwenda Africa ya Kusini mali ya Kuza African Company ziliharibiwa vibaya na mamlaka za Serikali ya Africa kusini.
Leo miezi tisa baadae chini ya Utawala madhubuti na imara uliojaa neema na furaha wa Rais Samia Suluhu Hassan Sasa rasmi ni ruksa kwa Mtanzania kuingiza na kuuza Parachichi Africa ya kusini,Hivi Watanzania tumtake nani kama sio Samia Suluhu Hassan?
Hili linafuatia ikiwa ni baada ya Serikali ya Africa ya kusini kupitia kwa taasisi yake inayoshughulika na Uhifadhi wa Mimea yaani National Plant Protection Organisation of South Africa (NPPOZA) kukubali kuruhusu biashara hii baada ya miaka kumi ya msuguano mkali baina ya nchi hizi mbili.
Makubaliano haya ni kwa mujibu wa barua kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Afya ya Mimea Africa ya Kusini yaani South African Plant Health Ndg Jan Hendrik Venter ya tarehe 16|11| 2021 ikiwa ni baada ya nchi hizi mbili kukubaliana kwa njia ya Mtandao.
Umeme kesi Closed soonerIf you take all the Credit when things go Right remember to take some of the Blame when they go Wrong...
Kwa sasa hapa kitu kilichopo wazi ni huu Mgao wa Umeme.., Ni sawa mtu unahangaika kuweka viraka kwenye soksi wakati viatu vyako havina soli...
Diplomasia imeletwa na Nani?Hakuna Cha ajabu alichofanya,hizo ni diplomasia tu,hapo lazima na sie tumeachia kidogo.
Hata ingekuwa closed jana.., Matatizo na Hasara zilizopatikana Juzi unazifidia vipi ?Umeme kesi Closed sooner
Hasara kwenye Uchumi ni jambo la kawaida sana,Labda kama wewe hujui tuHata ingekuwa closed jana.., Matatizo na Hasara zilizopatikana Juzi unazifidia vipi ?
Ndy watu wachangamkeTufanye kazi fursa kila kona ziko wazi
Vipi exchange kati ya parachichi ya Tanzania kwenda Afrika Kusini na apple chotara za Afrika Kusini kuingia Tanzania ikoje? Kuna uwiano wowote wa biashara? Sababu ya hizi nchi mbili kuingia kwenye mgogoro huo ni kulazimisha Tanzania kuwa dampo la apple zao. Tanzania ikaona ushenzi.Soko litakaa vizuri soon, tuchape kazi kwa bidii
fact MkuuNdy watu wachangamke
Wasiishie maneno tu
Ova
Hata kama tutakubali soko Litaamu mkuu wangu,Vipi exchange kati ya parachichi ya Tanzania kwenda Afrika Kusini na apple chotara za Afrika Kusini kuingia Tanzania ikoje? Kuna uwiano wowote wa biashara? Sababu ya hizi nchi mbili kuingia kwenye mgogoro huo ni kulazimisha Tanzania kuwa dampo la apple zao. Tanzania ikaona ushenzi.
Kama nchi tusikubali kuwa dampo la mazao ya nchi nyingine kiasi cha kutofuata SPS na food safety requirements ya nchi yetu. Juisi ya Ceres ya Afrika Kusini imepigwa marufuku kwingineko duniani kwa sababu ya health issues lakini hapa Tanzania naona zimejaa kwenye shelves madukani.
Ukweli ni kwamba soko la avocado duniani ni kubwa mno hajui tu. Mimi niliagizwa na mfanya biashara mmoja wa Dubai mwaka jana alikuwa anahitaji tani 300 acheni kumpa mtu misifa ya uongoKwa taarifa zilizokuwepo, awali wakulima wa maparachichi huko SA walilalamikia soko lao la zao hilo kuingiliwa na Watanzania na hivyo kushusha bei yake huko kwao.
Yaelekea kwa sasa hali ya hewa si nzuri na hivyo maparachichi yameadimika huko. Kwa hali hiyo basi wameruhusu tuuze haya ya kwetu huko. Huu ndio ukweri!
Sifa ya Uongo ipi mkuu?Ukweli ni kwamba soko la avocado duniani ni kubwa mno hajui tu. Mimi niliagizwa na mfanya biashara mmoja wa Dubai mwaka jana alikuwa anahitaji tani 300 acheni kumpa mtu misifa ya uongo
Magufuli aliharibu uhusiano wetu na Nchi nyingi kibiashara, huyu mama kwakweli Mungu ambariki Sana,huko tunakoendea mambo yatakuwa mazuri zaidiKumbe miaka kumi tulizuiwa kupeleka parachichi Africa kus
Uko sahihi sana mkuuMagufuli aliharibu uhusiano wetu na Nchi nyingi kibiashara, huyu mama kwakweli Mungu ambariki Sana,huko tunakoendea mambo yatakuwa mazuri zaidi