Ze Bulldozer
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 1,070
- 568
- Thread starter
- #81
Uko sahihi sana mkuuMagufuli aliharibu uhusiano wetu na Nchi nyingi kibiashara, huyu mama kwakweli Mungu ambariki Sana,huko tunakoendea mambo yatakuwa mazuri zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi sana mkuuMagufuli aliharibu uhusiano wetu na Nchi nyingi kibiashara, huyu mama kwakweli Mungu ambariki Sana,huko tunakoendea mambo yatakuwa mazuri zaidi
Uko sahihi 100%√Tufanye kazi ni kweli kabisa. Hakuna kitu kinachotokea kwa bahati mbaya. Kila kitu kinajengwa
Ni masifu kwenda mbele.Ukweli ni kwamba soko la avocado duniani ni kubwa mno hajui tu. Mimi niliagizwa na mfanya biashara mmoja wa Dubai mwaka jana alikuwa anahitaji tani 300 acheni kumpa mtu misifa ya uongo
Nzuri sana hiiTanzania na Samia,
1.Uchumi Juu...
Kabisa mkuu wanguHuyu Mama kwa mwendo huu Muda si mrefu Tanzania mambo yatakuwa mazuri sana kiuchumi ,
Hongera Rais Samaia
HOngera kwake.Kumekuwa na mgogoro mkali wa kibiashara hasa ya Parachichi baina ya Tanzania na Africa ya Kusini uliodumu kwa mwongo mzima (miaka kumi) sasa bila muafaka wowote...
FactHuyu Mama kwa mwendo huu Muda si mrefu Tanzania mambo yatakuwa mazuri sana kiuchumi ,
Hongera Rais Samaia
Kumekuwa na mgogoro mkali wa kibiashara hasa ya Parachichi baina ya Tanzania na Africa ya Kusini uliodumu kwa mwongo mzima (miaka kumi) sasa bila muafaka wowote...
KaziiendeleeKumekuwa na mgogoro mkali wa kibiashara hasa ya Parachichi baina ya Tanzania na Africa ya Kusini uliodumu kwa mwongo mzima (miaka kumi) sasa bila muafaka wowote...
Ulitaka isomeje?Inaweza kuwa Sawa ila taarifa imekaa kichawachawa!!
Mama hatari sana huyu,Huyu Mama kwa mwendo huu Muda si mrefu Tanzania mambo yatakuwa mazuri sana kiuchumi ,
Hongera Rais Samaia
NimekuelewaInaweza kuwa Sawa ila taarifa imekaa kichawachawa!!
Mama ni balaa aise
Tanzania nchi ngumu sana MjombaKuna ngumbaru watakuja kukwambia hakuna kitu mwanamke anachoweza kufanya, kwao urais una kibali kwa wanaume tu!.
Haraka sana watakimbilia kutoa mifano ya USA, wakisahau kuwa watendaji wakuu wa serikali za Ujerumani na New Zealand ni wanawake tena walioacha legacy ya kudumu.
Kila kitu na muda wake mkuu.Korosho nazo je?