Rais Samia amaliza mgogoro wa miaka kumi kati ya Tanzania na Afrika Kusini

Nani mwanzilishi wa huko kutokuelewana kwa miaka 10 na Nini chanzo
 
If you take all the Credit when things go Right remember to take some of the Blame when they go Wrong...

Kwa sasa hapa kitu kilichopo wazi ni huu Mgao wa Umeme.., Ni sawa mtu unahangaika kuweka viraka kwenye soksi wakati viatu vyako havina soli...
 
Hakuna Cha ajabu alichofanya,hizo ni diplomasia tu,hapo lazima na sie tumeachia kidogo.
 
If you take all the Credit when things go Right remember to take some of the Blame when they go Wrong...

Kwa sasa hapa kitu kilichopo wazi ni huu Mgao wa Umeme.., Ni sawa mtu unahangaika kuweka viraka kwenye soksi wakati viatu vyako havina soli...
Umeme kesi Closed sooner
 
Soko litakaa vizuri soon, tuchape kazi kwa bidii
Vipi exchange kati ya parachichi ya Tanzania kwenda Afrika Kusini na apple chotara za Afrika Kusini kuingia Tanzania ikoje? Kuna uwiano wowote wa biashara? Sababu ya hizi nchi mbili kuingia kwenye mgogoro huo ni kulazimisha Tanzania kuwa dampo la apple zao. Tanzania ikaona ushenzi.
Kama nchi tusikubali kuwa dampo la mazao ya nchi nyingine kiasi cha kutofuata SPS na food safety requirements ya nchi yetu. Juisi ya Ceres ya Afrika Kusini imepigwa marufuku kwingineko duniani kwa sababu ya health issues lakini hapa Tanzania naona zimejaa kwenye shelves madukani.
 
Hata kama tutakubali soko Litaamu mkuu wangu,
 
Ukweli ni kwamba soko la avocado duniani ni kubwa mno hajui tu. Mimi niliagizwa na mfanya biashara mmoja wa Dubai mwaka jana alikuwa anahitaji tani 300 acheni kumpa mtu misifa ya uongo
 
Ukweli ni kwamba soko la avocado duniani ni kubwa mno hajui tu. Mimi niliagizwa na mfanya biashara mmoja wa Dubai mwaka jana alikuwa anahitaji tani 300 acheni kumpa mtu misifa ya uongo
Sifa ya Uongo ipi mkuu?
 
Kumbe miaka kumi tulizuiwa kupeleka parachichi Africa kus
Magufuli aliharibu uhusiano wetu na Nchi nyingi kibiashara, huyu mama kwakweli Mungu ambariki Sana,huko tunakoendea mambo yatakuwa mazuri zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…