Rais Samia amaliza mgogoro wa miaka kumi kati ya Tanzania na Afrika Kusini

Rais Samia amaliza mgogoro wa miaka kumi kati ya Tanzania na Afrika Kusini

Huyu Mama kwa mwendo huu Muda si mrefu Tanzania mambo yatakuwa mazuri sana kiuchumi ,

Hongera Rais Samaia
Kwani Tanzania ilishawahi kuwa pabaya kiuchumi? Si enzi ya JPM iliingia rasmi uchumi wa kati na kuweka historia?
 
Kumbe basi kuna upuuzu upuuzi mwingi sana.

Tuliambiwa vifaranga wana magonjwa wakapigwa kiberiti, kumbu mambo ya kisiasa tu leo hii tunaambiwa hawakustahili jehanam.

Maparachichi yamezuiliwa muda wote huo kwa mambo yanayoongeleka ila inawekwa chenga nyingii...

Sasa hivi jivu la kunguni linaizingira sukari.
 
Kumbe basi kuna upuuzu upuuzi mwingi sana.

Tuliambiwa vifaranga wana magonjwa wakapigwa kiberiti, kumbu mambo ya kisiasa tu leo hii tunaambiwa hawakustahili jehanam.

Maparachichi yamezuiliwa muda wote huo kwa mambo yanayoongeleka ila inawekwa chenga nyingii...

Sasa hivi jivu la kunguni linaizingira sukari.
kila kitu kitakwenda sawia ndg yangu,
 
Huyu Mama kwa mwendo huu Muda si mrefu Tanzania mambo yatakuwa mazuri sana kiuchumi ,

Hongera Rais Samaia
Mama yupo vizuri, anachafuliwa na hili la Mbowe tu, nalo nina hakika akina siro na shetani Kingali ndio waliomwingiza mjini.
 

Tanzania draws up plans for avocados after South Africa milestone​


Avocado pic

Summary

  • It was good news for avocado farmers in Tanzania after South Africa lifted a 10-year ban, opening doors for more opportunities

The government yesterday explained why the decision by South Africa to give market access to avocados produced by Tanzanian farmers was an important step in boosting the economy.

It also said that it would continue to take measures to ensure that more international markets are accessed on a sustainable basis in the best interest of Tanzanian farmers and the nation.

Agriculture deputy minister Hussein Bashe made the statement when reacting to the decision by the National Plant Protection Organisation of South Africa (NPPOZA) to open its market to Tanzanian avocados after 10 years of dillydallying.
A letter from the South African Plant Health’s acting director Jan Hendrik Venter dated November 16, 2021 says the decision was reached after a virtual bilateral engagement.

“On November 9, 2021, the National Plant Protection Organization of Tanzania (NPPOT) provided a pre-recorded video presentation to the NPPOZA to verify and pre-test pest risk management practices in order to allow authorisation of avocados from Tanzania to South Africa,” reads the letter to Tanzanian authorities in part.

It says further that“The NPPOZA wishes to inform Tanzania’s NPPO that following the presentation of a pre-recorded video inspection and subsequent deliberation during the virtual verification process, the market access for importation of avocado fresh fruit from Tanzania to South Africa has been granted”.


Mr Bashe told The Citizen that the move was an important milestone to the country’s economy because of harvest season variation between the two countries, noting that Tanzania would supply while it is a low season in South Africa.
“The moment we supply the product, South Africa faces a huge demand for the product to the extent of importing from Spain. But, because of the proximity, Tanzania stands at a better position to benefit,” he said.

He said Tanzania also exported organic hass variety and that by accessing the market the country stands at a better position to accessing other international markets especially from among the Southern African Development Community (Sadc).

Mr Bashe - the Nzega Urban MP - said the market access provides Tanzania with the opportunity to export fresh fruits and processed fruit products.

They asked for packs list that have been provided” - noting that the government was now making several measures to ensure the intended benefits were realised and avocado become the horticultural backbone crop, he revealed.

He said after merging the Tanzania Pesticide Research Institute (TPRI) and Plant Health Services (PHS) to form the Tanzania Plant Health Authority (TPHA) last year through amendment of the law measures were now being taken to ensure we continue to comply with international standards.

According to him, three laboratories in Arusha, Dar es Salaam and Morogoro would be provided international accreditation for certified products to be accepted all over the world.
He said in order to protect and ensure hass variety does not disappear, the government has instructed the Tanzania Official Seed Certification (Tosci) and the Tanzania Agricultural Research Institute (Tari) to identify nurseries and traders producing hass seedlings that are sold to farmers.

“Regional and district commissioners in avocado growing areas should collaborate with Tari to unveil if the sold seedlings were of the said variety to assure continual existence of the country’s flagship,” he said.

Furthermore, he said through the assistance of the United Nations Development Programme (UNDP), plans were afoot to introduce a sorting and packaging centre in Njombe or Iringa that would protect and originality of products.

He said Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) and the Tanzania Horticulture Association (Taha) have concluded a study on shortcomings making traders and exporters to prefer exits belonging to our competitors such as Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) and Mombasa Port.

“Hopefully, a report on the same will be submitted to the government soon. We will close the gap by turning our weaknesses to be our opportunities to encourage export of horticultural crops from the country exit points,” he said, adding that the country was now encouraging value addition promotion.

In February, 2021, 3.514 tonnes of avocados from Tanzania that were transported to South Africa Kuza African Company got confiscated and destroyed by South Africa’s Department of Agriculture, Land Reform and Rural Development (DALRRD) for lacking phytosanitary documents, the incident Prime Minister Kassim Majaliwa said would be sorted diplomatically
Kaziiendelee
 
Kumekuwa na mgogoro mkali wa kibiashara hasa ya Parachichi baina ya Tanzania na Africa ya Kusini uliodumu kwa mwongo mzima (miaka kumi) sasa bila muafaka wowote.

Mtakumbuka February, 2021 kabla ya ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan Jumla ya tani 3.514 za avocados|parachichi toka Tanzania zilizokuwa zinasafirishwa kwenda Africa ya Kusini mali ya Kuza African Company ziliharibiwa vibaya na mamlaka za Serikali ya Africa kusini.

Leo miezi tisa baadae chini ya Utawala madhubuti na imara uliojaa neema na furaha wa Rais Samia Suluhu Hassan Sasa rasmi ni ruksa kwa Mtanzania kuingiza na kuuza Parachichi Africa ya kusini,Hivi Watanzania tumtake nani kama sio Samia Suluhu Hassan?

Hili linafuatia ikiwa ni baada ya Serikali ya Africa ya kusini kupitia kwa taasisi yake inayoshughulika na Uhifadhi wa Mimea yaani National Plant Protection Organisation of South Africa (NPPOZA) kukubali kuruhusu biashara hii baada ya miaka kumi ya msuguano mkali baina ya nchi hizi mbili.

Makubaliano haya ni kwa mujibu wa barua kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Afya ya Mimea Africa ya Kusini yaani South African Plant Health Ndg Jan Hendrik Venter ya tarehe 16|11| 2021 ikiwa ni baada ya nchi hizi mbili kukubaliana kwa njia ya Mtandao.
Nchi imefunguka karibu kila kona aise
 
Kumekuwa na mgogoro mkali wa kibiashara hasa ya Parachichi baina ya Tanzania na Africa ya Kusini uliodumu kwa mwongo mzima (miaka kumi) sasa bila muafaka wowote.

Mtakumbuka February, 2021 kabla ya ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan Jumla ya tani 3.514 za avocados|parachichi toka Tanzania zilizokuwa zinasafirishwa kwenda Africa ya Kusini mali ya Kuza African Company ziliharibiwa vibaya na mamlaka za Serikali ya Africa kusini.

Leo miezi tisa baadae chini ya Utawala madhubuti na imara uliojaa neema na furaha wa Rais Samia Suluhu Hassan Sasa rasmi ni ruksa kwa Mtanzania kuingiza na kuuza Parachichi Africa ya kusini,Hivi Watanzania tumtake nani kama sio Samia Suluhu Hassan?

Hili linafuatia ikiwa ni baada ya Serikali ya Africa ya kusini kupitia kwa taasisi yake inayoshughulika na Uhifadhi wa Mimea yaani National Plant Protection Organisation of South Africa (NPPOZA) kukubali kuruhusu biashara hii baada ya miaka kumi ya msuguano mkali baina ya nchi hizi mbili.

Makubaliano haya ni kwa mujibu wa barua kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Afya ya Mimea Africa ya Kusini yaani South African Plant Health Ndg Jan Hendrik Venter ya tarehe 16|11| 2021 ikiwa ni baada ya nchi hizi mbili kukubaliana kwa njia ya Mtandao.
Twende taratibu, wamekubaliana kuachana na hoja za kisayansi waende kirafiki au ndani ya miaka uliyoitaja ya msuguano sekta husika imefanya mabadiliko na kukidhi viwango? Tuache siasa tutumie vizuri akili tulizopewa na mwenyezi Mungu. Jamaa wako smart, kwanza wanalinda wakulima wao lakini pia wanajali ubora. Hata hivyo kwasasa hawa kidhi mahitaji yao ndio maana wanafungua mipaka baada ya kujiridhisha na ubora.
 
Kumekuwa na mgogoro mkali wa kibiashara hasa ya Parachichi baina ya Tanzania na Africa ya Kusini uliodumu kwa mwongo mzima (miaka kumi) sasa bila muafaka wowote.

Mtakumbuka February, 2021 kabla ya ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan Jumla ya tani 3.514 za avocados|parachichi toka Tanzania zilizokuwa zinasafirishwa kwenda Africa ya Kusini mali ya Kuza African Company ziliharibiwa vibaya na mamlaka za Serikali ya Africa kusini.

Leo miezi tisa baadae chini ya Utawala madhubuti na imara uliojaa neema na furaha wa Rais Samia Suluhu Hassan Sasa rasmi ni ruksa kwa Mtanzania kuingiza na kuuza Parachichi Africa ya kusini,Hivi Watanzania tumtake nani kama sio Samia Suluhu Hassan?

Hili linafuatia ikiwa ni baada ya Serikali ya Africa ya kusini kupitia kwa taasisi yake inayoshughulika na Uhifadhi wa Mimea yaani National Plant Protection Organisation of South Africa (NPPOZA) kukubali kuruhusu biashara hii baada ya miaka kumi ya msuguano mkali baina ya nchi hizi mbili.

Makubaliano haya ni kwa mujibu wa barua kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Afya ya Mimea Africa ya Kusini yaani South African Plant Health Ndg Jan Hendrik Venter ya tarehe 16|11| 2021 ikiwa ni baada ya nchi hizi mbili kukubaliana kwa njia ya Mtandao.
Sababu ni magufuli najua utasema kivipi baada ya msimamo wa magufuli kuhusu kovidi mataifa ya africa na ulaya na wazungu pamoja na wa arabu wamegundua chakula cha tz ndiyo sababu ya kovidi kushindwa kututeketeza licha ya kutokuzingatia kujilinda na kovidi hivyo marimao na ndimu na matunda yote ya tz yamejaa nchi kama kenya na sasa south africa wanataka matunda yetu
 
Kumbe basi kuna upuuzu upuuzi mwingi sana.

Tuliambiwa vifaranga wana magonjwa wakapigwa kiberiti, kumbu mambo ya kisiasa tu leo hii tunaambiwa hawakustahili jehanam.

Maparachichi yamezuiliwa muda wote huo kwa mambo yanayoongeleka ila inawekwa chenga nyingii...

Sasa hivi jivu la kunguni linaizingira sukari.
Mungu amefungua njia, tuchapeni kazi tu
 
Kumekuwa na mgogoro mkali wa kibiashara hasa ya Parachichi baina ya Tanzania na Africa ya Kusini uliodumu kwa mwongo mzima (miaka kumi) sasa bila muafaka wowote.

Mtakumbuka February, 2021 kabla ya ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan Jumla ya tani 3.514 za avocados|parachichi toka Tanzania zilizokuwa zinasafirishwa kwenda Africa ya Kusini mali ya Kuza African Company ziliharibiwa vibaya na mamlaka za Serikali ya Africa kusini.

Leo miezi tisa baadae chini ya Utawala madhubuti na imara uliojaa neema na furaha wa Rais Samia Suluhu Hassan Sasa rasmi ni ruksa kwa Mtanzania kuingiza na kuuza Parachichi Africa ya kusini,Hivi Watanzania tumtake nani kama sio Samia Suluhu Hassan?

Hili linafuatia ikiwa ni baada ya Serikali ya Africa ya kusini kupitia kwa taasisi yake inayoshughulika na Uhifadhi wa Mimea yaani National Plant Protection Organisation of South Africa (NPPOZA) kukubali kuruhusu biashara hii baada ya miaka kumi ya msuguano mkali baina ya nchi hizi mbili.

Makubaliano haya ni kwa mujibu wa barua kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Afya ya Mimea Africa ya Kusini yaani South African Plant Health Ndg Jan Hendrik Venter ya tarehe 16|11| 2021 ikiwa ni baada ya nchi hizi mbili kukubaliana kwa njia ya Mtandao.
😍
 
Back
Top Bottom