Pre GE2025 Rais Samia ameahidi kujenga Msikiti wa Kisasa Vigwaza/Migude wenye hadhi ya Rais. Sheikh Walid ampigia debe urais 2025

Pre GE2025 Rais Samia ameahidi kujenga Msikiti wa Kisasa Vigwaza/Migude wenye hadhi ya Rais. Sheikh Walid ampigia debe urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani hata hasipojenga, unaweza kumfanya hasipate urais kwa njia yeyote ile ?

Hizi commenents zenu zimejaa chuki tu ya kwanini waislam wanajengewa msikiti. Samia kwa upande wamarais ndio ambae amechangia kujenga makanisa kuliko Rais yeyote yule, hata ukifanya uwiano kati ya makanisa aliyechangia kujengwa au kutoa misaada kanisani ya kifedha ni mingi kuliko aliyetoa kwa ndugu zake waislam. Acheni chuki.

Kama rushwa basi huko kanisani ndio wamekula kweli kweli kuliko hata waislam,kwa haraka haraka naamini wote kutoka upande huo watampa Samia uchaguzi ujao.
Kwanza jifunze Kiswahili fasaha, pili rushwa ni rushwa inayotelewa Kanisani na Msikitini yote ni rushwa kwani inatolewa kwa nia ya kushawishi achaguliwe. Kwaheri.
 
China wanabomoa Misikiti kuweka viwanda na majengo ya kitega Uchumi huku Tanzania tunajenga misikiti yenye hadhi ya Rais kwenye kijiji ili iweje? Kwanini wasiboreshe kilichopo kama inakidhi watumiaji?
 
Sio kwa ubaya ila nauliza tu,kwanini ndg zetu waislamu hawawezi kujichanga wakajenga nyumba za ibada nzuri kama wakristo wanavyojenga makanisa?
Tena kwa maeneo kama ya Dar na pwani matajiri kibao waislamu lakini utakuta wanavizia mtu mmoja ndio ajenge msikiti
Waislamu kutoa sadaka kubwa za maana zenye kuweza kufanya kitu kikubwa kwao ni anasa
 
Eti msikiti wenye hadhi ya raisi ndio kitu gani au itawaletea maendeleo gani, huyo shekhe angekua na akili angeomba miradi ya kimaendeleo msikiti wachangishane wenyewe wajenge
 

View: https://youtu.be/PGcgyOd8TFc?si=QOt8kFjpEMSsLqun

Hii sawa hii jamani ?

Katuma Shehe Mkuu wa D'Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Mkoa, mtu mzima na heshima zake, kasimama mbele ya camera akasema Rais kantuma ameona msikitiki wenu chakavu, sasa anajenga wa hadhi ya Rais.

Lakini Rais kasema niwaambieni huu ni mwaka wa uchaguzi, mumrudishe madarakani.
---------------

Hii ni nchi ya vyama vingi jamani, Waislamu si wote wnaaipenda CCM na Rais wa CCM kumsikia masikioni mwao akinadiwa wakiwa msikitini. Kutumia mbinu zozote ziwezekanazo kubaki madarakani si sawa!

Ndivyo mnavyoharibu nchi zetu hizi za dunia ya tatu, kwa nini mko hivyo ???
 

View: https://youtu.be/PGcgyOd8TFc?si=QOt8kFjpEMSsLqun

Hii sawa hii jamani ?

Katuma Shehe Mkuu wa D'Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Mkoa, mtu mzima na heshima zake, kasimama mbele ya camera akasema Rais kantuma ameona msikitiki wenu chakavu, sasa anajenga wa hadhi ya Rais.

Lakini Rais kasema niwaambieni huu ni mwaka wa uchaguzi, mumrudishe madarakani.
---------------

Hii ni nchi ya vyama vingi jamani, Waislamu si wote wnaaipenda CCM na Rais wa CCM kumsikia masikioni mwao akinadiwa wakiwa msikitini. Kutumia mbinu zozote ziwezekanazo kubaki madarakani si sawa!

Ndivyo mnavyoharibu nchi zetu hizi za dunia ya tatu, kwa nini mko hivyo ???

Samia kashalewa madaraka sasa hasikii wala kujali chochote.
 

View: https://youtu.be/PGcgyOd8TFc?si=QOt8kFjpEMSsLqun

Hii sawa hii jamani ?

Katuma Shehe Mkuu wa D'Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Mkoa, mtu mzima na heshima zake, kasimama mbele ya camera akasema Rais kantuma ameona msikitiki wenu chakavu, sasa anajenga wa hadhi ya Rais.

Lakini Rais kasema niwaambieni huu ni mwaka wa uchaguzi, mumrudishe madarakani.
---------------

Hii ni nchi ya vyama vingi jamani, Waislamu si wote wnaaipenda CCM na Rais wa CCM kumsikia masikioni mwao akinadiwa wakiwa msikitini. Kutumia mbinu zozote ziwezekanazo kubaki madarakani si sawa!

Ndivyo mnavyoharibu nchi zetu hizi za dunia ya tatu, kwa nini mko hivyo ???

Kwani siku hizi wanategemea Kura za Makaratasi? Imeanza lini?

Mama hadi anajichanganya siku hizi.

Effect ya No Reform no Election🤣🤣
 

View: https://youtu.be/PGcgyOd8TFc?si=QOt8kFjpEMSsLqun

Hii sawa hii jamani ?

Katuma Shehe Mkuu wa D'Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Mkoa, mtu mzima na heshima zake, kasimama mbele ya camera akasema Rais kantuma ameona msikitiki wenu chakavu, sasa anajenga wa hadhi ya Rais.

Lakini Rais kasema niwaambieni huu ni mwaka wa uchaguzi, mumrudishe madarakani.
---------------

Hii ni nchi ya vyama vingi jamani, Waislamu si wote wnaaipenda CCM na Rais wa CCM kumsikia masikioni mwao akinadiwa wakiwa msikitini. Kutumia mbinu zozote ziwezekanazo kubaki madarakani si sawa!

Ndivyo mnavyoharibu nchi zetu hizi za dunia ya tatu, kwa nini mko hivyo ???


Sio kweli, Kasema waombewe, sio wampigie kura
 
Back
Top Bottom