View: https://youtu.be/PGcgyOd8TFc?si=QOt8kFjpEMSsLqun
Hii sawa hii jamani ?
Katuma Shehe Mkuu wa D'Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Mkoa, mtu mzima na heshima zake, kasimama mbele ya camera akasema Rais kantuma ameona msikitiki wenu chakavu, sasa anajenga wa hadhi ya Rais.
Lakini Rais kasema niwaambieni huu ni mwaka wa uchaguzi, mumrudishe madarakani.
---------------
Hii ni nchi ya vyama vingi jamani, Waislamu si wote wnaaipenda CCM na Rais wa CCM kumsikia masikioni mwao akinadiwa wakiwa msikitini. Kutumia mbinu zozote ziwezekanazo kubaki madarakani si sawa!
Ndivyo mnavyoharibu nchi zetu hizi za dunia ya tatu, kwa nini mko hivyo ???