Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa msikitini una faida ganiNyinyi hamutaki huyo mama kisa ni mwanamke,sasa mlitaka afanyeje?
Yaan swali msikiti una faida ganiBAKWATA ni tawi la ccm,
Hiyooo kweli mtu akaswali msikitini wa gorofa halafuu hajala si upuuzii huòoosasa hapo Chalinze tu vigwaza hatua chache kutoka Mkoa Dar es salaam watu wanaishi nyumba za udongo.
Kuwepo msikiti wa udongo au kutokuwepo kabisa ni dalili za umasikini wa jamii husika, kazi ya sheikh baadala ya kumuombe Rais kura alipaswa kukemea mamlaka na kuzipigia kelele kuutokomeza umasikini kwa watu wake..
Uliona wapi UAE, Kuwait, Qatar kuna misikiti ya udongo au haipo kabisa Kwa sababu ya watu kuwa masikini?.
Mama tunaomba utujengeee misikiti kila kijiji kila wilaya kila Mkoa, utujengeee makanisa hivyohivyo, utujengee temple za wahindu, mabutha nk.
Tuache cheap politics, shida ya hii nchi ni umasikini wa wananchi ulioletwa na CCM kwa maslahi ya CCM, Ukiutokomeza umasikini kwa Raia hizi nyumba za Ibada watazijenga wananchi wenyewe na kujipatia swawabu.
Sheihk Ponda pia Elimu anayo mzee yule mzee namkubali sana alipigania kiwanja cha Keko wahuni walikiuza bei chee mpaka akapigwa risasi wapi mali ikapotea..Tanzania muisilam ni shekhe ponda peke yake hao wengine wabangaizaji
bora chuo kingejengwa kuliko huo upuuzi kujengwaWacha msikiti ujengwe wewe usimpigie!
Mbona hajaomba kura embu sikilizeni klipu yote msikimbilie kukoment tuAmeomba, hajalazimisha
View: https://youtu.be/PGcgyOd8TFc?si=QOt8kFjpEMSsLqun
Hii sawa hii jamani ?
Katuma Shehe Mkuu wa D'Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Mkoa, mtu mzima na heshima zake, kasimama mbele ya camera akasema Rais kantuma ameona msikitiki wenu chakavu, sasa anajenga wa hadhi ya Rais.
Lakini Rais kasema niwaambieni huu ni mwaka wa uchaguzi, mumrudishe madarakani.
---------------
Hii ni nchi ya vyama vingi jamani, Waislamu si wote wnaaipenda CCM na Rais wa CCM kumsikia masikioni mwao akinadiwa wakiwa msikitini. Kutumia mbinu zozote ziwezekanazo kubaki madarakani si sawa!
Ndivyo mnavyoharibu nchi zetu hizi za dunia ya tatu, kwa nini mko hivyo ???
mjengewe msikiti badala ya chuo au kiwanda, hii ni akili au ujinga?Wacha msikiti ujengwe wewe usimpigie!
Sio rahisi kuwashawishi walioiva dini kuongozwa na padri kama Dkt.Slaa au Mchungaji Mtikila, ndio maana Gwajiboi siku hizi anajiita Chidi.BAKWATA ni tawi la ccm,
Mada ni msikiti kama unayo ajenda ya kiwanda peleka ukajengewe!mjengewe msikiti badala ya chuo au kiwanda, hii ni akili au ujinga?