Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Ujinga wa kiwango cha lami 😁😁😁mjengewe msikiti badala ya chuo au kiwanda, hii ni akili au ujinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga wa kiwango cha lami 😁😁😁mjengewe msikiti badala ya chuo au kiwanda, hii ni akili au ujinga?
umasikini wenu umewaathiri ongeza na dini yenu hiyo kutwa kuombaomba mjengewe misikiti kana kwamba ni kitu cha maana kumbe ni ujinga mtupu wa kurutubisha umasikini zaidi. Ombeni mjengewe vitu vya maana kurahisisha maisha yenu yawe bora. Wapi na lini uliona misikiti inaboresha maisha ya watu zaidi ya kuwapumbaza akili?Mada ni msikiti kama unayo ajenda ya kiwanda peleka ukajengewe!
Nafikiri asubuhi umevuta bangi mimi sipo hilo eneo nimekuta mada hapa jf wewe una nini cha maana kama si maskini mwenye kumiliki techno mbovu..wala sijui huo msikiti upo wapi kama wenyewe wameona hitaji ni msikiti kwanini wasiombe..makanisa mangapi wameomba na hatukusikia umefungua huo mlango wa kinyesi ukisema chochote poor brain kuvamia watu kujifanya unajua kama una chuki za kidini wewe pambana peke yako tupo jukwaa huru kila mmoja kutoa maoni kama unataka kuboresha maisha kwa kujengewa kiwanda nenda kaombe!umasikini wenu umewaathiri ongeza na dini yenu hiyo kutwa kuombaomba mjengewe misikiti kana kwamba ni kitu cha maana kumbe ni ujinga mtupu wa kurutubisha umasikini zaidi. Ombeni mjengewe vitu vya maana kurahisisha maisha yenu yawe bora. Wapi na lini uliona misikiti inaboresha maisha ya watu zaidi ya kuwapumbaza akili?
mkiambiwa dini yenu inawaathiri vibaya muwe mnaelewa. Ukobazi ni mbaya sana, ona akili yako ilivyo na povu jingiNafikiri asubuhi umevuta bangi mimi sipo hilo eneo nimekuta mada hapa jf wewe una nini cha maana kama si maskini mwenye kumiliki techno mbovu..wala sijui huo msikiti upo wapi kama wenyewe wameona hitaji ni msikiti kwanini wasiombe..makanisa mangapi wameomba na hatukusikia umefungua huo mlango wa kinyesi ukisema chochote poor brain kuvamia watu kujifanya unajua kama una chuki za kidini wewe pambana peke yako tupo jukwaa huru kila mmoja kutoa maoni kama unataka kuboresha maisha kwa kujengewa kiwanda nenda kaombe!
Kichwa cha habari kimebadilishwaMbona hajaomba kura embu sikilizeni klipu yote msikimbilie kukoment tu
Kabisaaabora chuo kingejengwa kuliko huo upuuzi kujengwa
Hapoo pia kafanya upuuuzi tuuuWakati Mama Samia anachangia 150m za ujenzi wa kanisa mbona hamkupiga kelele? Acheni roho mbaya