Rais Samia Amefanikiwa kujenga matumaini katika Mioyo ya Watanzania, Ndio Sababu ya kutamalaki kwa Amani na Utulivu hapa nchini

Rais Samia Amefanikiwa kujenga matumaini katika Mioyo ya Watanzania, Ndio Sababu ya kutamalaki kwa Amani na Utulivu hapa nchini

Ndugu zangu Ni ngumu Sana kuongoza watu walio kata tamaa,walio jaa hasira , wanaolia na kuvuja machozi mioyoni mwao, Ni ngumu kuongoza na kusikilizwa na watu wasioona mbele kwa matumaini, Ni ngumu Taifa kutulia na kuwa lenye amani na mshikamano ikiwa limejaa watu ambao hawajuwi hatima ya maisha yao ya kesho, Wala hatima ya watoto wao , Wala namna watakavyoinuka kiuchumi kutoka katika Hali zao,

Rais Samia Amefanikiwa kwa asilimia zote kuwa fanya watanzania kuwa na matumaini ya maisha yao ya kesho, watanzania kwa Sasa mioyo yao imejaa amani na furaha kwa kuwa kila mtu ameguswa na utumishi wa mh Rais wetu, kila mtanzania mwenye kero au shida anamatumaini kuwa kesho itapatiwa suluhisho na atasikilizwa,

masikio ya mama yanamsikiliza kila mtu, macho ya mama yanamtazama kila mtu kwa huruma upendo na uwajibikaji, mikono ya Mama inamgusa kila mtanzania mwenye kuhitaji kushikwa mkono na kuinuliwa, miguu ya mama inamfikia kila mtu mwenye kuhitaji kufikiwa, Sauti ya mama inasikika na kufika kwa watu wote na kwa kila mtu, Tabasamu la mama Ni kwa watu wote, moyo wa mama Ni kwa watanzania wote, akili ya mama Ni kwa kila Raia wa nchi hii, Kauli za mama Ni za haki na upendo kwa mtanzania, Ulimi wa mama Ni wa upendo kwetu sote, maamuzi ya mama Ni kwa maslahi yetu watanzania

Ndio sababu husikii watu wakimlaani mh Rais wetu mpendwa zaidi ya kila mtu kumwombea Afya njema na maisha marefu yenye heri na baraka,husikii watu wakiwa wamekata Tamaa kimaongezi maana wanaona juhudi za mh Rais wetu mpendwa katika kushughulika na kero yoyote inayojitokeza mbele yetu,

Wakulima wanamatumaini na maisha yao kuwa Bora kesho kwa kuwa wanaona juhudi za mh Rais wetu kuwainua kiuchumi kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni,lakini pia kwa Sasa soko ni la uhakika kwa mkulima Tangia wakati wa mavuno

Ukienda kwa vijana nako unakuta mh Rais wetu mpendwa ametupatia matumaini makubwa Sana ya kesho yetu kuwa njema hasa baada ya kuona akijitahidi kwa nguvu zake zote kutoa ajira kwa kadri Hali ya uchumi inavyoruhusu hivyo kujenga matumaini kwa vijana kufaidika na ukuaji wa uchumi katika nchi yetu

Ukienda kwa wafanyabiashara nao pia wanamatumaini makubwa na mh Rais wetu mpendwa baada ya kuwa mazingira ya kibiashara na kiuwekezaji kuwa yameboreshwa vizuri na kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, Biashara zinazidi kufunguliwa kila Kona ya nchi hii na siyo kufungwa kila siku, Jambo linalochochea kuongezeka kwa mapato yatakayosaidia kuwekeza katika huduma za kijamii na uendeshaji wa serikali

Huduma za kijamii pia zimeendelea kujengwa na kusogezwa karibu ya mwananchi na kumpunguzia mtanzania adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma, hivyo kufanya watanzania kutumia muda wao katika shughuli za kiuchumi

Ukienda katika Elimu utakuta mama amefanya makubwa Sana hasa baada ya kutoa hakikisho hata kwa watoto wanaotoka familia maskini kupata Elimu bila shida baada ya uamuzi wake wa kugharamia Ada kwa wanafunzi wote wanaojiunga na Elimu ya msingi Hadi sekondari, hata kwa wa Elimu ya juu nako ameongeza bajeti ili kuwafanya wengi kupata mikopo ya Elimu ya juu

Kwa ufupi Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani amefanikiwa kugusa kila eneo na kumgusa kila mtanzania kwa utumishi wake uliotukuka na uliyoleta nuru na matumaini kwa maisha ya watanzania

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu

Majizi ya kura shughuli mnayo. Naona mnalazimisha kukubalika.
 
Ukweli ndio huo kuwa hapa nchini Hakuna chama chenye Sera ajenda na ilani Bora na za muda wote na kugusa maisha ya watu Kama ilivyo CCM
Mbona mnaogopa kuachia CHADEMA kifanye mikutano ya HADHARA ?

Ni kwamba mnajua CHADEMA kina mamilioni ya wafuasi.

Sisi kama CHADEMA tunajua kuwa kwa kumrudisha Kinana tunajua atatupa kazi sana.

Kwanini mnatuogopa hivyo?
 
Mbona mnaogopa kuachia CHADEMA kifanye mikutano ya HADHARA ?

Ni kwamba mnajua CHADEMA kina mamilioni ya wafuasi.

Sisi kama CHADEMA tunajua kuwa kwa kumrudisha Kinana tunajua atatupa kazi sana.

Kwanini mnatuogopa hivyo?
Kwani marekani ulishaonaa wakimaliza uchaguzi wanaanza kuzurula zurula Kama mnavyotaka nyinyi hapa nchini? Huu Ni muda wa kuwatumikia watanzania, huu Ni muda kwa CCM kutekeleza ilani yake iliyoaminiwa na kupigiwa kura na mamillion ya watanzania wanaohitaji utumishi wake
 
Ndugu zangu Ni ngumu Sana kuongoza watu walio kata tamaa,walio jaa hasira , wanaolia na kuvuja machozi mioyoni mwao, Ni ngumu kuongoza na kusikilizwa na watu wasioona mbele kwa matumaini, Ni ngumu Taifa kutulia na kuwa lenye amani na mshikamano ikiwa limejaa watu ambao hawajuwi hatima ya maisha yao ya kesho, Wala hatima ya watoto wao , Wala namna watakavyoinuka kiuchumi kutoka katika Hali zao,

Rais Samia Amefanikiwa kwa asilimia zote kuwa fanya watanzania kuwa na matumaini ya maisha yao ya kesho, watanzania kwa Sasa mioyo yao imejaa amani na furaha kwa kuwa kila mtu ameguswa na utumishi wa mh Rais wetu, kila mtanzania mwenye kero au shida anamatumaini kuwa kesho itapatiwa suluhisho na atasikilizwa,

masikio ya mama yanamsikiliza kila mtu, macho ya mama yanamtazama kila mtu kwa huruma upendo na uwajibikaji, mikono ya Mama inamgusa kila mtanzania mwenye kuhitaji kushikwa mkono na kuinuliwa, miguu ya mama inamfikia kila mtu mwenye kuhitaji kufikiwa, Sauti ya mama inasikika na kufika kwa watu wote na kwa kila mtu, Tabasamu la mama Ni kwa watu wote, moyo wa mama Ni kwa watanzania wote, akili ya mama Ni kwa kila Raia wa nchi hii, Kauli za mama Ni za haki na upendo kwa mtanzania, Ulimi wa mama Ni wa upendo kwetu sote, maamuzi ya mama Ni kwa maslahi yetu watanzania

Ndio sababu husikii watu wakimlaani mh Rais wetu mpendwa zaidi ya kila mtu kumwombea Afya njema na maisha marefu yenye heri na baraka,husikii watu wakiwa wamekata Tamaa kimaongezi maana wanaona juhudi za mh Rais wetu mpendwa katika kushughulika na kero yoyote inayojitokeza mbele yetu,

Wakulima wanamatumaini na maisha yao kuwa Bora kesho kwa kuwa wanaona juhudi za mh Rais wetu kuwainua kiuchumi kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni,lakini pia kwa Sasa soko ni la uhakika kwa mkulima Tangia wakati wa mavuno

Ukienda kwa vijana nako unakuta mh Rais wetu mpendwa ametupatia matumaini makubwa Sana ya kesho yetu kuwa njema hasa baada ya kuona akijitahidi kwa nguvu zake zote kutoa ajira kwa kadri Hali ya uchumi inavyoruhusu hivyo kujenga matumaini kwa vijana kufaidika na ukuaji wa uchumi katika nchi yetu

Ukienda kwa wafanyabiashara nao pia wanamatumaini makubwa na mh Rais wetu mpendwa baada ya kuwa mazingira ya kibiashara na kiuwekezaji kuwa yameboreshwa vizuri na kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, Biashara zinazidi kufunguliwa kila Kona ya nchi hii na siyo kufungwa kila siku, Jambo linalochochea kuongezeka kwa mapato yatakayosaidia kuwekeza katika huduma za kijamii na uendeshaji wa serikali

Huduma za kijamii pia zimeendelea kujengwa na kusogezwa karibu ya mwananchi na kumpunguzia mtanzania adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma, hivyo kufanya watanzania kutumia muda wao katika shughuli za kiuchumi

Ukienda katika Elimu utakuta mama amefanya makubwa Sana hasa baada ya kutoa hakikisho hata kwa watoto wanaotoka familia maskini kupata Elimu bila shida baada ya uamuzi wake wa kugharamia Ada kwa wanafunzi wote wanaojiunga na Elimu ya msingi Hadi sekondari, hata kwa wa Elimu ya juu nako ameongeza bajeti ili kuwafanya wengi kupata mikopo ya Elimu ya juu

Kwa ufupi Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani amefanikiwa kugusa kila eneo na kumgusa kila mtanzania kwa utumishi wake uliotukuka na uliyoleta nuru na matumaini kwa maisha ya watanzania

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Sasa mbona haujaweka namba yako ya simu? Tutakuzawadiaje kwa jitihada hizi?
 
Kwani marekani ulishaonaa wakimaliza uchaguzi wanaanza kuzurula zurula Kama mnavyotaka nyinyi hapa nchini? Huu Ni muda wa kuwatumikia watanzania, huu Ni muda kwa CCM kutekeleza ilani yake iliyoaminiwa na kupigiwa kura na mamillion ya watanzania wanaohitaji utumishi wake
Sijui Katiba ya Marekani inasemaje, ila Katiba yetu ya Tanzania inaruhusu mikutano ya HADHARA ndugu Mwashambwa.
 
Ndugu zangu Ni ngumu Sana kuongoza watu walio kata tamaa,walio jaa hasira , wanaolia na kuvuja machozi mioyoni mwao, Ni ngumu kuongoza na kusikilizwa na watu wasioona mbele kwa matumaini, Ni ngumu Taifa kutulia na kuwa lenye amani na mshikamano ikiwa limejaa watu ambao hawajuwi hatima ya maisha yao ya kesho, Wala hatima ya watoto wao , Wala namna watakavyoinuka kiuchumi kutoka katika Hali zao,

Rais Samia Amefanikiwa kwa asilimia zote kuwa fanya watanzania kuwa na matumaini ya maisha yao ya kesho, watanzania kwa Sasa mioyo yao imejaa amani na furaha kwa kuwa kila mtu ameguswa na utumishi wa mh Rais wetu, kila mtanzania mwenye kero au shida anamatumaini kuwa kesho itapatiwa suluhisho na atasikilizwa,

masikio ya mama yanamsikiliza kila mtu, macho ya mama yanamtazama kila mtu kwa huruma upendo na uwajibikaji, mikono ya Mama inamgusa kila mtanzania mwenye kuhitaji kushikwa mkono na kuinuliwa, miguu ya mama inamfikia kila mtu mwenye kuhitaji kufikiwa, Sauti ya mama inasikika na kufika kwa watu wote na kwa kila mtu, Tabasamu la mama Ni kwa watu wote, moyo wa mama Ni kwa watanzania wote, akili ya mama Ni kwa kila Raia wa nchi hii, Kauli za mama Ni za haki na upendo kwa mtanzania, Ulimi wa mama Ni wa upendo kwetu sote, maamuzi ya mama Ni kwa maslahi yetu watanzania

Ndio sababu husikii watu wakimlaani mh Rais wetu mpendwa zaidi ya kila mtu kumwombea Afya njema na maisha marefu yenye heri na baraka,husikii watu wakiwa wamekata Tamaa kimaongezi maana wanaona juhudi za mh Rais wetu mpendwa katika kushughulika na kero yoyote inayojitokeza mbele yetu,

Wakulima wanamatumaini na maisha yao kuwa Bora kesho kwa kuwa wanaona juhudi za mh Rais wetu kuwainua kiuchumi kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni,lakini pia kwa Sasa soko ni la uhakika kwa mkulima Tangia wakati wa mavuno

Ukienda kwa vijana nako unakuta mh Rais wetu mpendwa ametupatia matumaini makubwa Sana ya kesho yetu kuwa njema hasa baada ya kuona akijitahidi kwa nguvu zake zote kutoa ajira kwa kadri Hali ya uchumi inavyoruhusu hivyo kujenga matumaini kwa vijana kufaidika na ukuaji wa uchumi katika nchi yetu

Ukienda kwa wafanyabiashara nao pia wanamatumaini makubwa na mh Rais wetu mpendwa baada ya kuwa mazingira ya kibiashara na kiuwekezaji kuwa yameboreshwa vizuri na kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, Biashara zinazidi kufunguliwa kila Kona ya nchi hii na siyo kufungwa kila siku, Jambo linalochochea kuongezeka kwa mapato yatakayosaidia kuwekeza katika huduma za kijamii na uendeshaji wa serikali

Huduma za kijamii pia zimeendelea kujengwa na kusogezwa karibu ya mwananchi na kumpunguzia mtanzania adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma, hivyo kufanya watanzania kutumia muda wao katika shughuli za kiuchumi

Ukienda katika Elimu utakuta mama amefanya makubwa Sana hasa baada ya kutoa hakikisho hata kwa watoto wanaotoka familia maskini kupata Elimu bila shida baada ya uamuzi wake wa kugharamia Ada kwa wanafunzi wote wanaojiunga na Elimu ya msingi Hadi sekondari, hata kwa wa Elimu ya juu nako ameongeza bajeti ili kuwafanya wengi kupata mikopo ya Elimu ya juu

Kwa ufupi Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani amefanikiwa kugusa kila eneo na kumgusa kila mtanzania kwa utumishi wake uliotukuka na uliyoleta nuru na matumaini kwa maisha ya watanzania

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Sikiliza jinsi wabunge wanavyo lipwa Mishahara yao kwa mwezi na marupurupu tele kwanza kisha ndio ulete sifa zako.

 
UNYWAJI WA POMBE KUPITILIZA NI HATARI KWA AFYA YAKO.
 
Ndugu zangu Ni ngumu Sana kuongoza watu walio kata tamaa,walio jaa hasira , wanaolia na kuvuja machozi mioyoni mwao, Ni ngumu kuongoza na kusikilizwa na watu wasioona mbele kwa matumaini, Ni ngumu Taifa kutulia na kuwa lenye amani na mshikamano ikiwa limejaa watu ambao hawajuwi hatima ya maisha yao ya kesho, Wala hatima ya watoto wao , Wala namna watakavyoinuka kiuchumi kutoka katika Hali zao,

Rais Samia Amefanikiwa kwa asilimia zote kuwa fanya watanzania kuwa na matumaini ya maisha yao ya kesho, watanzania kwa Sasa mioyo yao imejaa amani na furaha kwa kuwa kila mtu ameguswa na utumishi wa mh Rais wetu, kila mtanzania mwenye kero au shida anamatumaini kuwa kesho itapatiwa suluhisho na atasikilizwa,

masikio ya mama yanamsikiliza kila mtu, macho ya mama yanamtazama kila mtu kwa huruma upendo na uwajibikaji, mikono ya Mama inamgusa kila mtanzania mwenye kuhitaji kushikwa mkono na kuinuliwa, miguu ya mama inamfikia kila mtu mwenye kuhitaji kufikiwa, Sauti ya mama inasikika na kufika kwa watu wote na kwa kila mtu, Tabasamu la mama Ni kwa watu wote, moyo wa mama Ni kwa watanzania wote, akili ya mama Ni kwa kila Raia wa nchi hii, Kauli za mama Ni za haki na upendo kwa mtanzania, Ulimi wa mama Ni wa upendo kwetu sote, maamuzi ya mama Ni kwa maslahi yetu watanzania

Ndio sababu husikii watu wakimlaani mh Rais wetu mpendwa zaidi ya kila mtu kumwombea Afya njema na maisha marefu yenye heri na baraka,husikii watu wakiwa wamekata Tamaa kimaongezi maana wanaona juhudi za mh Rais wetu mpendwa katika kushughulika na kero yoyote inayojitokeza mbele yetu,

Wakulima wanamatumaini na maisha yao kuwa Bora kesho kwa kuwa wanaona juhudi za mh Rais wetu kuwainua kiuchumi kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni,lakini pia kwa Sasa soko ni la uhakika kwa mkulima Tangia wakati wa mavuno

Ukienda kwa vijana nako unakuta mh Rais wetu mpendwa ametupatia matumaini makubwa Sana ya kesho yetu kuwa njema hasa baada ya kuona akijitahidi kwa nguvu zake zote kutoa ajira kwa kadri Hali ya uchumi inavyoruhusu hivyo kujenga matumaini kwa vijana kufaidika na ukuaji wa uchumi katika nchi yetu

Ukienda kwa wafanyabiashara nao pia wanamatumaini makubwa na mh Rais wetu mpendwa baada ya kuwa mazingira ya kibiashara na kiuwekezaji kuwa yameboreshwa vizuri na kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, Biashara zinazidi kufunguliwa kila Kona ya nchi hii na siyo kufungwa kila siku, Jambo linalochochea kuongezeka kwa mapato yatakayosaidia kuwekeza katika huduma za kijamii na uendeshaji wa serikali

Huduma za kijamii pia zimeendelea kujengwa na kusogezwa karibu ya mwananchi na kumpunguzia mtanzania adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma, hivyo kufanya watanzania kutumia muda wao katika shughuli za kiuchumi

Ukienda katika Elimu utakuta mama amefanya makubwa Sana hasa baada ya kutoa hakikisho hata kwa watoto wanaotoka familia maskini kupata Elimu bila shida baada ya uamuzi wake wa kugharamia Ada kwa wanafunzi wote wanaojiunga na Elimu ya msingi Hadi sekondari, hata kwa wa Elimu ya juu nako ameongeza bajeti ili kuwafanya wengi kupata mikopo ya Elimu ya juu

Kwa ufupi Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani amefanikiwa kugusa kila eneo na kumgusa kila mtanzania kwa utumishi wake uliotukuka na uliyoleta nuru na matumaini kwa maisha ya watanzania

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
🚮
 
images - 2022-09-03T115640.359.jpg

Watanzania ni masikini sana na bado wanakatwa sana.

Samia anatakiwa kuwa makini sana anyway... bado tunampenda for now.
 
Ndugu zangu Ni ngumu Sana kuongoza watu walio kata tamaa,walio jaa hasira , wanaolia na kuvuja machozi mioyoni mwao, Ni ngumu kuongoza na kusikilizwa na watu wasioona mbele kwa matumaini, Ni ngumu Taifa kutulia na kuwa lenye amani na mshikamano ikiwa limejaa watu ambao hawajuwi hatima ya maisha yao ya kesho, Wala hatima ya watoto wao , Wala namna watakavyoinuka kiuchumi kutoka katika Hali zao,

Rais Samia Amefanikiwa kwa asilimia zote kuwa fanya watanzania kuwa na matumaini ya maisha yao ya kesho, watanzania kwa Sasa mioyo yao imejaa amani na furaha kwa kuwa kila mtu ameguswa na utumishi wa mh Rais wetu, kila mtanzania mwenye kero au shida anamatumaini kuwa kesho itapatiwa suluhisho na atasikilizwa,

masikio ya mama yanamsikiliza kila mtu, macho ya mama yanamtazama kila mtu kwa huruma upendo na uwajibikaji, mikono ya Mama inamgusa kila mtanzania mwenye kuhitaji kushikwa mkono na kuinuliwa, miguu ya mama inamfikia kila mtu mwenye kuhitaji kufikiwa, Sauti ya mama inasikika na kufika kwa watu wote na kwa kila mtu, Tabasamu la mama Ni kwa watu wote, moyo wa mama Ni kwa watanzania wote, akili ya mama Ni kwa kila Raia wa nchi hii, Kauli za mama Ni za haki na upendo kwa mtanzania, Ulimi wa mama Ni wa upendo kwetu sote, maamuzi ya mama Ni kwa maslahi yetu watanzania

Ndio sababu husikii watu wakimlaani mh Rais wetu mpendwa zaidi ya kila mtu kumwombea Afya njema na maisha marefu yenye heri na baraka,husikii watu wakiwa wamekata Tamaa kimaongezi maana wanaona juhudi za mh Rais wetu mpendwa katika kushughulika na kero yoyote inayojitokeza mbele yetu,

Wakulima wanamatumaini na maisha yao kuwa Bora kesho kwa kuwa wanaona juhudi za mh Rais wetu kuwainua kiuchumi kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni,lakini pia kwa Sasa soko ni la uhakika kwa mkulima Tangia wakati wa mavuno

Ukienda kwa vijana nako unakuta mh Rais wetu mpendwa ametupatia matumaini makubwa Sana ya kesho yetu kuwa njema hasa baada ya kuona akijitahidi kwa nguvu zake zote kutoa ajira kwa kadri Hali ya uchumi inavyoruhusu hivyo kujenga matumaini kwa vijana kufaidika na ukuaji wa uchumi katika nchi yetu

Ukienda kwa wafanyabiashara nao pia wanamatumaini makubwa na mh Rais wetu mpendwa baada ya kuwa mazingira ya kibiashara na kiuwekezaji kuwa yameboreshwa vizuri na kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, Biashara zinazidi kufunguliwa kila Kona ya nchi hii na siyo kufungwa kila siku, Jambo linalochochea kuongezeka kwa mapato yatakayosaidia kuwekeza katika huduma za kijamii na uendeshaji wa serikali

Huduma za kijamii pia zimeendelea kujengwa na kusogezwa karibu ya mwananchi na kumpunguzia mtanzania adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma, hivyo kufanya watanzania kutumia muda wao katika shughuli za kiuchumi

Ukienda katika Elimu utakuta mama amefanya makubwa Sana hasa baada ya kutoa hakikisho hata kwa watoto wanaotoka familia maskini kupata Elimu bila shida baada ya uamuzi wake wa kugharamia Ada kwa wanafunzi wote wanaojiunga na Elimu ya msingi Hadi sekondari, hata kwa wa Elimu ya juu nako ameongeza bajeti ili kuwafanya wengi kupata mikopo ya Elimu ya juu

Kwa ufupi Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani amefanikiwa kugusa kila eneo na kumgusa kila mtanzania kwa utumishi wake uliotukuka na uliyoleta nuru na matumaini kwa maisha ya watanzania

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Ushuzi wa Lumumba huo...!!
 
Sijui Katiba ya Marekani inasemaje, ila Katiba yetu ya Tanzania inaruhusu mikutano ya HADHARA ndugu Mwashambwa.
Muda wa kampeni ukifika mtakwenda kwa watanzania kuwaeleza shida zenu, Ila kwa Sasa muacheni mama awatumikie watanzania
 
Ila mwashambwa unatia aibu kwa uchawa huo vyeo vipo tu si kwa namna unavyojikomba kwa kivuli cha eti uzalendo .ww mtu wa mbozi ni mtu wa ovyo sana .Watu wa design yako si wageni machoni petu wameambulia manyoya tu kwenye teuzi .Kama ipo ipo tu Mungu ndo anapanga
 
Muda wa kampeni ukifika mtakwenda kwa watanzania kuwaeleza shida zenu, Ila kwa Sasa muacheni mama awatumikie watanzania
Huo sasa ndio UBABE ambao nimekuambia kitambo kuwa mumezoea vya kunyonga vya HALALI hamuviwezi.

Bado tunaimani na ahadi za Samia ila tutafikia wakati nasi tutachoka hii ni Nchi yetu sote.
 
Ila mwashambwa unatia aibu kwa uchawa huo vyeo vipo tu si kwa namna unavyojikomba kwa kivuli cha eti uzalendo .ww mtu wa mbozi ni mtu wa ovyo sana .Watu wa design yako si wageni machoni petu wameambulia manyoya tu kwenye teuzi .Kama ipo ipo tu Mungu ndo anapanga
Mimi naelezea ukweli wa kazi kubwa aliyoifanya na anayoendelea kuifanya mh Rais wetu mpendwa, siwezi nikaona aibu kumpongeza na kumpa moyo na faraja mh Rais kwa kuogopa kusemwa na watu Kama wewe, Ni Haki yako pia kukaa kimya Kama unaona huna Cha kupongeza, nami pia Ni Haki yangu kupongeza kwa Yale nayoyaona mazuri ya mh Rais,
 
Huo sasa ndio UBABE ambao nimekuambia kitambo kuwa mumezoea vya kunyonga vya HALALI hamuviwezi.

Bado tunaimani na ahadi za Samia ila tutafikia wakati nasi tutachoka hii ni Nchi yetu sote.
Nashukuru kwa kukiri na kukubali kuwa bado unayo Imani na mh Rais wetu mpendwa mama Samia, Siyo wewe Bali Ni mamilioni ya watanzania wenye Imani na matumaini makubwa Sana na mh Rais wetu Mama Samia katika kutuongoza na kututumikia
 
Back
Top Bottom