Rais Samia Amefanikiwa kujenga matumaini katika Mioyo ya Watanzania, Ndio Sababu ya kutamalaki kwa Amani na Utulivu hapa nchini

Rais Samia Amefanikiwa kujenga matumaini katika Mioyo ya Watanzania, Ndio Sababu ya kutamalaki kwa Amani na Utulivu hapa nchini

View attachment 2373035
Watanzania ni masikini sana na bado wanakatwa sana.

Samia anatakiwa kuwa makini sana anyway... bado tunampenda for now.
Nashukuru kwa Kuendelea kumpenda mh Rais wetu mpendwa, Hayo ndio yanayomuumiza mh Rais wetu na kumfanya akose hata muda wa kupumzika, mh Rais anaumizwa na umasikini wa watu wake ndio sababu ya kufanya juhudi kubwa za kutukwamua watanzania kiuchumi na kuondokana na Hali ya umasikini
 
Ajenda sasa hivi ni kutegemea vyombo vya dola, na tume isiyo huru ya uchaguzi kutangazwa washindi kwa shuruti. Hizo ndio sera zetu majizi ya kura.
Ni ajenda ya CCM kuhakikisha kuwa inajenga uchumi shirikishi wa kugusa maisha ya kila mtanzania, Ndio sababu ya kuona imeamua kuweka juhudi za makusudi katika kilimo ambayo ndio secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania , hapa Nazani umeona namna serikali ilivyotoa mabillioni ya Ruzuku na kuhakikisha pia soko linakuwa Ni la uhakika kwa mkulima Tangia wakati wa mavuno
 
Nashukuru kwa kukiri na kukubali kuwa bado unayo Imani na mh Rais wetu mpendwa mama Samia, Siyo wewe Bali Ni mamilioni ya watanzania wenye Imani na matumaini makubwa Sana na mh Rais wetu Mama Samia katika kutuongoza na kututumikia
Sina matatizo na Raisi wangu mpendwa Samia, ila atimize zile ahadi kwa vitendo.

Baada ya kuondoka kwa Utawala,wa MABAVU wa Magufuli tunamuona Samia kama Malaika fulani, airudishe Nchi kwenye mrengo wa utawala wa SHERIA naHAKI za Binadamu, DEMOKRASIA na Utawala BORA
Afungue Nchi WAWEKEZAJI waje kwa wingi, ili Vijana hawa wanorandaranda mitaani wapate AJIRA ili wasijingize kwenye vikundi vya kihalifu.

Sasa Mpira uko kwake

Mungu Ibariki TANZANIA.
 
Ndugu zangu Ni ngumu Sana kuongoza watu walio kata tamaa,walio jaa hasira , wanaolia na kuvuja machozi mioyoni mwao, Ni ngumu kuongoza na kusikilizwa na watu wasioona mbele kwa matumaini, Ni ngumu Taifa kutulia na kuwa lenye amani na mshikamano ikiwa limejaa watu ambao hawajuwi hatima ya maisha yao ya kesho, Wala hatima ya watoto wao , Wala namna watakavyoinuka kiuchumi kutoka katika Hali zao,

Rais Samia Amefanikiwa kwa asilimia zote kuwa fanya watanzania kuwa na matumaini ya maisha yao ya kesho, watanzania kwa Sasa mioyo yao imejaa amani na furaha kwa kuwa kila mtu ameguswa na utumishi wa mh Rais wetu, kila mtanzania mwenye kero au shida anamatumaini kuwa kesho itapatiwa suluhisho na atasikilizwa,

masikio ya mama yanamsikiliza kila mtu, macho ya mama yanamtazama kila mtu kwa huruma upendo na uwajibikaji, mikono ya Mama inamgusa kila mtanzania mwenye kuhitaji kushikwa mkono na kuinuliwa, miguu ya mama inamfikia kila mtu mwenye kuhitaji kufikiwa, Sauti ya mama inasikika na kufika kwa watu wote na kwa kila mtu, Tabasamu la mama Ni kwa watu wote, moyo wa mama Ni kwa watanzania wote, akili ya mama Ni kwa kila Raia wa nchi hii, Kauli za mama Ni za haki na upendo kwa mtanzania, Ulimi wa mama Ni wa upendo kwetu sote, maamuzi ya mama Ni kwa maslahi yetu watanzania

Ndio sababu husikii watu wakimlaani mh Rais wetu mpendwa zaidi ya kila mtu kumwombea Afya njema na maisha marefu yenye heri na baraka,husikii watu wakiwa wamekata Tamaa kimaongezi maana wanaona juhudi za mh Rais wetu mpendwa katika kushughulika na kero yoyote inayojitokeza mbele yetu,

Wakulima wanamatumaini na maisha yao kuwa Bora kesho kwa kuwa wanaona juhudi za mh Rais wetu kuwainua kiuchumi kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni,lakini pia kwa Sasa soko ni la uhakika kwa mkulima Tangia wakati wa mavuno

Ukienda kwa vijana nako unakuta mh Rais wetu mpendwa ametupatia matumaini makubwa Sana ya kesho yetu kuwa njema hasa baada ya kuona akijitahidi kwa nguvu zake zote kutoa ajira kwa kadri Hali ya uchumi inavyoruhusu hivyo kujenga matumaini kwa vijana kufaidika na ukuaji wa uchumi katika nchi yetu

Ukienda kwa wafanyabiashara nao pia wanamatumaini makubwa na mh Rais wetu mpendwa baada ya kuwa mazingira ya kibiashara na kiuwekezaji kuwa yameboreshwa vizuri na kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, Biashara zinazidi kufunguliwa kila Kona ya nchi hii na siyo kufungwa kila siku, Jambo linalochochea kuongezeka kwa mapato yatakayosaidia kuwekeza katika huduma za kijamii na uendeshaji wa serikali

Huduma za kijamii pia zimeendelea kujengwa na kusogezwa karibu ya mwananchi na kumpunguzia mtanzania adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma, hivyo kufanya watanzania kutumia muda wao katika shughuli za kiuchumi

Ukienda katika Elimu utakuta mama amefanya makubwa Sana hasa baada ya kutoa hakikisho hata kwa watoto wanaotoka familia maskini kupata Elimu bila shida baada ya uamuzi wake wa kugharamia Ada kwa wanafunzi wote wanaojiunga na Elimu ya msingi Hadi sekondari, hata kwa wa Elimu ya juu nako ameongeza bajeti ili kuwafanya wengi kupata mikopo ya Elimu ya juu

Kwa ufupi Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani amefanikiwa kugusa kila eneo na kumgusa kila mtanzania kwa utumishi wake uliotukuka na uliyoleta nuru na matumaini kwa maisha ya watanzania

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Ni sahihi kabisa mkuu Lucas mwashambwa
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
 
Ni ajenda ya CCM kuhakikisha kuwa inajenga uchumi shirikishi wa kugusa maisha ya kila mtanzania, Ndio sababu ya kuona imeamua kuweka juhudi za makusudi katika kilimo ambayo ndio secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania , hapa Nazani umeona namna serikali ilivyotoa mabillioni ya Ruzuku na kuhakikisha pia soko linaliwa Ni la uhakika kwa mkulima Tangia wakati wa mavuno

Tulia ww chawa wa majizi ya kura.
 
Ndugu zangu Ni ngumu Sana kuongoza watu walio kata tamaa,walio jaa hasira , wanaolia na kuvuja machozi mioyoni mwao, Ni ngumu kuongoza na kusikilizwa na watu wasioona mbele kwa matumaini, Ni ngumu Taifa kutulia na kuwa lenye amani na mshikamano ikiwa limejaa watu ambao hawajuwi hatima ya maisha yao ya kesho, Wala hatima ya watoto wao , Wala namna watakavyoinuka kiuchumi kutoka katika Hali zao,

Rais Samia Amefanikiwa kwa asilimia zote kuwa fanya watanzania kuwa na matumaini ya maisha yao ya kesho, watanzania kwa Sasa mioyo yao imejaa amani na furaha kwa kuwa kila mtu ameguswa na utumishi wa mh Rais wetu, kila mtanzania mwenye kero au shida anamatumaini kuwa kesho itapatiwa suluhisho na atasikilizwa,

masikio ya mama yanamsikiliza kila mtu, macho ya mama yanamtazama kila mtu kwa huruma upendo na uwajibikaji, mikono ya Mama inamgusa kila mtanzania mwenye kuhitaji kushikwa mkono na kuinuliwa, miguu ya mama inamfikia kila mtu mwenye kuhitaji kufikiwa, Sauti ya mama inasikika na kufika kwa watu wote na kwa kila mtu, Tabasamu la mama Ni kwa watu wote, moyo wa mama Ni kwa watanzania wote, akili ya mama Ni kwa kila Raia wa nchi hii, Kauli za mama Ni za haki na upendo kwa mtanzania, Ulimi wa mama Ni wa upendo kwetu sote, maamuzi ya mama Ni kwa maslahi yetu watanzania

Ndio sababu husikii watu wakimlaani mh Rais wetu mpendwa zaidi ya kila mtu kumwombea Afya njema na maisha marefu yenye heri na baraka,husikii watu wakiwa wamekata Tamaa kimaongezi maana wanaona juhudi za mh Rais wetu mpendwa katika kushughulika na kero yoyote inayojitokeza mbele yetu,

Wakulima wanamatumaini na maisha yao kuwa Bora kesho kwa kuwa wanaona juhudi za mh Rais wetu kuwainua kiuchumi kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni,lakini pia kwa Sasa soko ni la uhakika kwa mkulima Tangia wakati wa mavuno

Ukienda kwa vijana nako unakuta mh Rais wetu mpendwa ametupatia matumaini makubwa Sana ya kesho yetu kuwa njema hasa baada ya kuona akijitahidi kwa nguvu zake zote kutoa ajira kwa kadri Hali ya uchumi inavyoruhusu hivyo kujenga matumaini kwa vijana kufaidika na ukuaji wa uchumi katika nchi yetu

Ukienda kwa wafanyabiashara nao pia wanamatumaini makubwa na mh Rais wetu mpendwa baada ya kuwa mazingira ya kibiashara na kiuwekezaji kuwa yameboreshwa vizuri na kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, Biashara zinazidi kufunguliwa kila Kona ya nchi hii na siyo kufungwa kila siku, Jambo linalochochea kuongezeka kwa mapato yatakayosaidia kuwekeza katika huduma za kijamii na uendeshaji wa serikali

Huduma za kijamii pia zimeendelea kujengwa na kusogezwa karibu ya mwananchi na kumpunguzia mtanzania adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma, hivyo kufanya watanzania kutumia muda wao katika shughuli za kiuchumi

Ukienda katika Elimu utakuta mama amefanya makubwa Sana hasa baada ya kutoa hakikisho hata kwa watoto wanaotoka familia maskini kupata Elimu bila shida baada ya uamuzi wake wa kugharamia Ada kwa wanafunzi wote wanaojiunga na Elimu ya msingi Hadi sekondari, hata kwa wa Elimu ya juu nako ameongeza bajeti ili kuwafanya wengi kupata mikopo ya Elimu ya juu

Kwa ufupi Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani amefanikiwa kugusa kila eneo na kumgusa kila mtanzania kwa utumishi wake uliotukuka na uliyoleta nuru na matumaini kwa maisha ya watanzania

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Amani imetamalaki!! Kwako mwenzetu wimbi la ujambazi wakiwemo panya road ndio amani kutamalaki! Kupanda kqwa bidhaa muhimu kama unga na mchele ni amani kutamalaki!! Ama kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa!!
 
Hao panya Road wanaendelea kusakwa kila eneo walikojificha, Hakuna watakakojificha iwe shimoni au darini watafuatwa na kukamatwa tu
Amani imetamalaki!! Kwako mwenzetu wimbi la ujambazi wakiwemo panya road ndio amani kutamalaki! Kupanda kqwa bidhaa muhimu kama unga na mchele ni amani kutamalaki!! Ama kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa!!
 
Mimi mwenyewe Ni mtanzania na naziona nyuso za watanzania zikiwa na furaha na matumaini makubwa pale wanapomzungumzia mh Rais wetu namna anavyowatumikia na kuwajengea matumaini ya kesho iliyo Bora zaidi ya Leo
Soma hapo
Screenshot_20221001-071340_Chrome.jpg
 
Ndugu zangu Ni ngumu Sana kuongoza watu walio kata tamaa,walio jaa hasira , wanaolia na kuvuja machozi mioyoni mwao, Ni ngumu kuongoza na kusikilizwa na watu wasioona mbele kwa matumaini, Ni ngumu Taifa kutulia na kuwa lenye amani na mshikamano ikiwa limejaa watu ambao hawajuwi hatima ya maisha yao ya kesho, Wala hatima ya watoto wao , Wala namna watakavyoinuka kiuchumi kutoka katika Hali zao,

Rais Samia Amefanikiwa kwa asilimia zote kuwa fanya watanzania kuwa na matumaini ya maisha yao ya kesho, watanzania kwa Sasa mioyo yao imejaa amani na furaha kwa kuwa kila mtu ameguswa na utumishi wa mh Rais wetu, kila mtanzania mwenye kero au shida anamatumaini kuwa kesho itapatiwa suluhisho na atasikilizwa,

masikio ya mama yanamsikiliza kila mtu, macho ya mama yanamtazama kila mtu kwa huruma upendo na uwajibikaji, mikono ya Mama inamgusa kila mtanzania mwenye kuhitaji kushikwa mkono na kuinuliwa, miguu ya mama inamfikia kila mtu mwenye kuhitaji kufikiwa, Sauti ya mama inasikika na kufika kwa watu wote na kwa kila mtu, Tabasamu la mama Ni kwa watu wote, moyo wa mama Ni kwa watanzania wote, akili ya mama Ni kwa kila Raia wa nchi hii, Kauli za mama Ni za haki na upendo kwa mtanzania, Ulimi wa mama Ni wa upendo kwetu sote, maamuzi ya mama Ni kwa maslahi yetu watanzania

Ndio sababu husikii watu wakimlaani mh Rais wetu mpendwa zaidi ya kila mtu kumwombea Afya njema na maisha marefu yenye heri na baraka,husikii watu wakiwa wamekata Tamaa kimaongezi maana wanaona juhudi za mh Rais wetu mpendwa katika kushughulika na kero yoyote inayojitokeza mbele yetu,

Wakulima wanamatumaini na maisha yao kuwa Bora kesho kwa kuwa wanaona juhudi za mh Rais wetu kuwainua kiuchumi kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni,lakini pia kwa Sasa soko ni la uhakika kwa mkulima Tangia wakati wa mavuno

Ukienda kwa vijana nako unakuta mh Rais wetu mpendwa ametupatia matumaini makubwa Sana ya kesho yetu kuwa njema hasa baada ya kuona akijitahidi kwa nguvu zake zote kutoa ajira kwa kadri Hali ya uchumi inavyoruhusu hivyo kujenga matumaini kwa vijana kufaidika na ukuaji wa uchumi katika nchi yetu

Ukienda kwa wafanyabiashara nao pia wanamatumaini makubwa na mh Rais wetu mpendwa baada ya kuwa mazingira ya kibiashara na kiuwekezaji kuwa yameboreshwa vizuri na kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, Biashara zinazidi kufunguliwa kila Kona ya nchi hii na siyo kufungwa kila siku, Jambo linalochochea kuongezeka kwa mapato yatakayosaidia kuwekeza katika huduma za kijamii na uendeshaji wa serikali

Huduma za kijamii pia zimeendelea kujengwa na kusogezwa karibu ya mwananchi na kumpunguzia mtanzania adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma, hivyo kufanya watanzania kutumia muda wao katika shughuli za kiuchumi

Ukienda katika Elimu utakuta mama amefanya makubwa Sana hasa baada ya kutoa hakikisho hata kwa watoto wanaotoka familia maskini kupata Elimu bila shida baada ya uamuzi wake wa kugharamia Ada kwa wanafunzi wote wanaojiunga na Elimu ya msingi Hadi sekondari, hata kwa wa Elimu ya juu nako ameongeza bajeti ili kuwafanya wengi kupata mikopo ya Elimu ya juu

Kwa ufupi Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani amefanikiwa kugusa kila eneo na kumgusa kila mtanzania kwa utumishi wake uliotukuka na uliyoleta nuru na matumaini kwa maisha ya watanzania

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu

Njaa ni mbaya
 
Ndugu zangu Ni ngumu Sana kuongoza watu walio kata tamaa,walio jaa hasira , wanaolia na kuvuja machozi mioyoni mwao, Ni ngumu kuongoza na kusikilizwa na watu wasioona mbele kwa matumaini, Ni ngumu Taifa kutulia na kuwa lenye amani na mshikamano ikiwa limejaa watu ambao hawajuwi hatima ya maisha yao ya kesho, Wala hatima ya watoto wao , Wala namna watakavyoinuka kiuchumi kutoka katika Hali zao,

Rais Samia Amefanikiwa kwa asilimia zote kuwa fanya watanzania kuwa na matumaini ya maisha yao ya kesho, watanzania kwa Sasa mioyo yao imejaa amani na furaha kwa kuwa kila mtu ameguswa na utumishi wa mh Rais wetu, kila mtanzania mwenye kero au shida anamatumaini kuwa kesho itapatiwa suluhisho na atasikilizwa,

masikio ya mama yanamsikiliza kila mtu, macho ya mama yanamtazama kila mtu kwa huruma upendo na uwajibikaji, mikono ya Mama inamgusa kila mtanzania mwenye kuhitaji kushikwa mkono na kuinuliwa, miguu ya mama inamfikia kila mtu mwenye kuhitaji kufikiwa, Sauti ya mama inasikika na kufika kwa watu wote na kwa kila mtu, Tabasamu la mama Ni kwa watu wote, moyo wa mama Ni kwa watanzania wote, akili ya mama Ni kwa kila Raia wa nchi hii, Kauli za mama Ni za haki na upendo kwa mtanzania, Ulimi wa mama Ni wa upendo kwetu sote, maamuzi ya mama Ni kwa maslahi yetu watanzania

Ndio sababu husikii watu wakimlaani mh Rais wetu mpendwa zaidi ya kila mtu kumwombea Afya njema na maisha marefu yenye heri na baraka,husikii watu wakiwa wamekata Tamaa kimaongezi maana wanaona juhudi za mh Rais wetu mpendwa katika kushughulika na kero yoyote inayojitokeza mbele yetu,

Wakulima wanamatumaini na maisha yao kuwa Bora kesho kwa kuwa wanaona juhudi za mh Rais wetu kuwainua kiuchumi kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni,lakini pia kwa Sasa soko ni la uhakika kwa mkulima Tangia wakati wa mavuno

Ukienda kwa vijana nako unakuta mh Rais wetu mpendwa ametupatia matumaini makubwa Sana ya kesho yetu kuwa njema hasa baada ya kuona akijitahidi kwa nguvu zake zote kutoa ajira kwa kadri Hali ya uchumi inavyoruhusu hivyo kujenga matumaini kwa vijana kufaidika na ukuaji wa uchumi katika nchi yetu

Ukienda kwa wafanyabiashara nao pia wanamatumaini makubwa na mh Rais wetu mpendwa baada ya kuwa mazingira ya kibiashara na kiuwekezaji kuwa yameboreshwa vizuri na kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, Biashara zinazidi kufunguliwa kila Kona ya nchi hii na siyo kufungwa kila siku, Jambo linalochochea kuongezeka kwa mapato yatakayosaidia kuwekeza katika huduma za kijamii na uendeshaji wa serikali

Huduma za kijamii pia zimeendelea kujengwa na kusogezwa karibu ya mwananchi na kumpunguzia mtanzania adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma, hivyo kufanya watanzania kutumia muda wao katika shughuli za kiuchumi

Ukienda katika Elimu utakuta mama amefanya makubwa Sana hasa baada ya kutoa hakikisho hata kwa watoto wanaotoka familia maskini kupata Elimu bila shida baada ya uamuzi wake wa kugharamia Ada kwa wanafunzi wote wanaojiunga na Elimu ya msingi Hadi sekondari, hata kwa wa Elimu ya juu nako ameongeza bajeti ili kuwafanya wengi kupata mikopo ya Elimu ya juu

Kwa ufupi Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani amefanikiwa kugusa kila eneo na kumgusa kila mtanzania kwa utumishi wake uliotukuka na uliyoleta nuru na matumaini kwa maisha ya watanzania

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Uko sahihi kwa 100%
 
Huyu jamaa anakaa wapi,Masaki?Ana v8? Kama hana vyote apewe anajitahidi sana😀
 
Nilichompendea huyu bwana Mwashambwa haporomoshi matusi.
 
Aman na utulivu wakat ndugu zako Wanakula mlo wa mpakani (haijulikani kama nicha mchana au cha usku)
 
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Charles Kitima ametahadharisha unafiki wa kisiasa unaoendelea miongoni mwa Watanzania kwa sasa kwa kupenda kusifia kila jambo kuwa utaliua taifa.

Amesema tabia hiyo inaendelea kupata mashiko nchini kutokana na upeo mdogo wa watu kushindwa kujua misingi ya haki za binadamu na badala yake wanatanguliza maslahi yao binafsi mbele .

Akizungumza leo Dar es Salaam, Septemba 30, 2022 katika kongamano la viongozi wa dini zote linaloangazia haki za binadamu nchini, kiongozi huyo amesema tabia hiyo iliyojengeka isipokomeshwa ni wazi mahusiano mazuri miongoni mwa Watanzania yanaenda kupotea.

"Unafiki unaharibu nchi, unafiki wa kisiasa uliopo miongoni mwa Watanzania kupenda kusifia viongozi ili tu kujipendekeza wapate vyeo unaenda kuliua Taifa na tatizo hili linaendelea kwa sababu watu hawajui misingi ya haki za binadamu," amesema Padri Kitima

Kiongozi huyo wa kiroho amesema hata kujitoa kwenye mahakama ya haki iliyopo Arusha na kuwahamisha wananchi kutoka Loliondo kwenda Handeni mkoani Tanga ni uvunjivu wa haki za binadamu.

"Kwa sababu nchi imeridhia mikataba mbalimbali ya kimataifa inayohusu haki za binadamu," amesema

Amesema wao kama viongozi wa dini baada ya kuona tabia hiyo hususan miaka mitano iliyopita, mwaka 2020 walianza kuandika kitabu Cha elimu ya haki za binadamu kwa lengo la kuanza kutoka elimu watu wote.

"Haki za binadamu haziombwi, zinapiganiwa, dini ni kiungo muhimu na tumeona tufanye hivi na tunatarajia kuwafikia viongozi 16,000 nchi nzima na kushuka kwa Watanzania wote," amesema

Chanzo: Mwananchi
 
Back
Top Bottom