Anna Nkya
Member
- Oct 21, 2021
- 69
- 341
Bunge limepokea muswada kutoka kwa Rais Samia Suluhu unaopendekeza kufutwa kwa Sheria ya Tozo ya Kodi ya Mazao iliyokuwa ikitoza kodi ya zuio ya 2% mwananchi akiuza mazao ya kilimo, mifugo na uvuvi.
Tozo hiyo ikiondolewa, fedha zitarudi mifukoni mwa wananchi.
Hongera na Asante Rais Samia kwa kuwajali wakulima
Tozo hiyo ikiondolewa, fedha zitarudi mifukoni mwa wananchi.
Hongera na Asante Rais Samia kwa kuwajali wakulima