Rais Samia amejaa Upendo na Huruma kubwa sana kwa Watanzania

Rais Samia amejaa Upendo na Huruma kubwa sana kwa Watanzania

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Kama kuna kitu tutateseka ,kuhangaika na kuchukua muda mrefu .basi ni kumpata Kiongozi Mwingine aina ya Rais Samia katika Taifa hili.Kiongozi mwenye huruma na upendo mkubwa sana kwa watanzania.

Rais Samia Ni kiongozi ambaye anapozungumza juu ya Maisha ya watanzania unaona maneno yake yakitoka ndani ya sakafu ya Moyo wake na unaona wazi kabisa akimaanisha kile anachoongea na kuzungumza.

Rais Samia ni kiongozi Ambaye Anaumia sana na kusononeka sana na kuguswa sana pale watanzania wanapopata matatizo au janga fulani.Ni kiongozi ambaye anaumia sana anapoona Roho ya Mtanzania mmoja inapotea katika ajali ya aina yoyote ile au janga lolote lile. Unaona namna anavyokosa amani,furaha na kujawa na maumivu ,uchungu na simanzi kubwa sana katika moyo wake.

Huyu Mama kwa hakika ni wakipekee sana .Najivunia sana kuongozwa na Rais Samia.Namkubali sana Rais Samia.Namkubali kupita maelezo mpaka natamani aongoze Taifa letu mpaka aseme imetosha na anaomba kukaa pembeni kubaki kama mshauri tu. Kwa wasio ona mbali na wenye chuki binafsi na mioyo ya kibaguzi najua ni ngumu sana kunielewa.lakini wenye kuona mbali wanatambua ya kuwa RAIS Samia ni Zawadi ya kipekee kwa Taifa letu tuliyopatiwa na Mwenyezi Mungu​

Screenshot_20240901-150630_1.jpg
.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Laiti kama ungejaliwa kufika shule ya msingi Kiranyi ungebadili kichwa cha habari yako. Hizo shilingi milioni mia saba alizotoa kuwapa Taifa stars kwa sababu ya kufuzu Afcon zingebadilisha kabisa maisha ya wanafunzi wa shule ya msingi Kiranyi. Endelea kusifia
Unaelewa faida ya Taifa letu kufuzu katika Mashindano hayo Makubwa barani Afrika? Unaelewa faida za michezo katika kukuza na kuchochea utalii , biashara na hata uwekezaji? Unaelewa nchi kama Uingereza au uhispania zinaingiza kiasi gani cha pesa kutoka katika michezo?

Acha umbumbumbu wako hapa.kwani nani amekuzuia wewe kwenda kuchanga pesa hapo shuleni? Watoto si ni wako? Si umezaa Mwenyewe?
 
Watanzania hawahitaji Huruma..., Wanahitaji kutumikiwa na watumishi wao wanaowalipa kupitia Kodi zao...., na Watumishi hao wanatakiwa kuhakikisha kila kiumbe ana disposable income kutokana na Maliasili ya nchi yao Tajiri...

And on that token am afraid neither is happening...
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama kuna kitu tutateseka ,kuhangaika na kuchukua muda mrefu .basi ni kumpata Kiongozi Mwingine aina ya Rais Samia katika Taifa hili.Kiongozi mwenye huruma na upendo mkubwa sana kwa watanzania. Rais Samia Ni kiongozi ambaye anapozungumza juu ya Maisha ya watanzania unaona maneno yake yakitoka katika sakafu ya Moyo wake,

Rais Samia ni kiongozi Ambaye Anaumia sana na kusononeka sana na kuguswa sana pale watanzania wanapopata matatizo au janga fulani.Ni kiongozi ambaye anaumia sana anapoona Roho ya Mtanzania mmoja inapotea katika ajali ya aina yoyote ile au janga lolote lile. Unaona namna anavyokosa amani,furaha na kujawa na maumivu ,uchungu na simanzi kubwa sana katika moyo wake.

Huyu Mama kwa hakika ni wakipekee sana .Najivunia sana kuongozwa na Rais Samia.Namkubali sana Rais Samia.Namkubali kupita maelezo mpaka natamani aongoze Taifa letu mpaka aseme imetosha na anaomba kukaa pembeni kubaki kama mshauri tu. Kwa wasio ona mbali na wenye chuki binafsi na mioyo ya kibaguzi najua ni ngumu sana kunielewa.lakini wenye kuona mbali wanatambua ya kuwa RAIS Samia ni Zawadi ya kipekee kwa Taifa letu tuliyopatiwa na Mwenyezi Mungu​

View attachment 3157157.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Una laana wewe si bure
 
Unaelewa faida ya Taifa letu kufuzu katika Mashindano hayo Makubwa barani Afrika? Unaelewa faida za michezo katika kukuza na kuchochea utalii , biashara na hata uwekezaji? Unaelewa nchi kama Uingereza au uhispania zinaingiza kiasi gani cha pesa kutoka katika michezo?

Acha umbumbumbu wako hapa.kwani nani amekuzuia wewe kwenda kuchanga pesa hapo shuleni? Watoto si ni wako? Si umezaa Mwenyewe?
Kwamba asingewapa hizo after the fact CAF wangewanyanganya ushindi ?

Uwekezaji katika soka haufanywi kwa kugawa pesa kwa wachache hapa na pale.., bali kuwekeza katika grass roots au kukipa Chama Cha Mpira wa Miguu sababu ndio taasisi inayofahamu ni wapi pesa zipelekwe; sio Kutumia timu ya Taifa kwa kujinufaisha kisiasa... (politics and football should never mix)
 
Watanzania hawahitaji Huruma..., Wanahitaji kutumikiwa na watumishi wao wanaowalipa kupitia Kodi zao...., na Watumishi hao wanatakiwa kuhakikisha kila kiumbe ana disposable income kutokana na Maliasili ya nchi yao Tajiri...

And on that token am afraid neither is happening...
Ni vipi utaweza watumikia watu kama huna huruma wala kuguswa na Maisha ya watu?
 
Fanya yako hili halikupunguziinwala kukuongezea chochote kwenye maisha yako na huna uwezo nalo??
 
Back
Top Bottom