Upepo uko dhahiri na ndio maana anasitasita kukubali mabadiliko makubwa kama katiba mpya, tume huru nkNyie ndio mtakaompa urais kwa mara nyengine kwa jinsi ambavyo ni wanafki mmeamua kuja kuanza kupima upepo!
Bangili ukizichoma ukivuta moshi wake sio mzuri madampo yakae mbali!Hayo mawili ya mwanzo yako wazi, ila hili tatu linahitaji watu wenye akili tulivu kulikubali na kulielewa. Hatakuwa rais wa kwaza kushindwa uchaguzi kwani wapo walioshindwa na kuendelea kubaki madarakani. 2015, 2020 ni mifano hai, ila kwa sasa hali imebadilika, atalazimika kukubali na kuyapokea matokeo halali. Tuombe uzima
Chawa tu weweUpepo uko dhahiri na ndio maana anasitasita kukubali mabadiliko makubwa kama katiba mpya, tume huru nk
Endelea kutupa uzoefu wako na bangi zakoBangili ukizichoma ukivuta moshi wake sio mzuri madampo yakae mbali!
Pascal Mayalla hili unasemaje
Mkuu Gulwa , humu JF, rukhsa kujifurahisha!, kama unaamini 2015 na 2020, CCM ilishindwa ikapiga bao la mkono!, endelea kuamini hivyo!, hicho chama cha kuishinda CCM kwenye sanduku la kura, kwa Tanzania bara, bado sana!.Hayo mawili ya mwanzo yako wazi, ila hili tatu linahitaji watu wenye akili tulivu kulikubali na kulielewa. Hatakuwa rais wa kwaza kushindwa uchaguzi kwani wapo walioshindwa na kuendelea kubaki madarakani. 2015, 2020 ni mifano hai, ila kwa sasa hali imebadilika, atalazimika kukubali na kuyapokea matokeo halali. Tuombe uzima
Bora iwe hivyoHayo mawili ya mwanzo yako wazi, ila hili tatu linahitaji watu wenye akili tulivu kulikubali na kulielewa. Hatakuwa rais wa kwaza kushindwa uchaguzi kwani wapo walioshindwa na kuendelea kubaki madarakani. 2015, 2020 ni mifano hai, ila kwa sasa hali imebadilika, atalazimika kukubali na kuyapokea matokeo halali. Tuombe uzima
Bora iweHayo mawili ya mwanzo yako wazi, ila hili tatu linahitaji watu wenye akili tulivu kulikubali na kulielewa. Hatakuwa rais wa kwaza kushindwa uchaguzi kwani wapo walioshindwa na kuendelea kubaki madarakani. 2015, 2020 ni mifano hai, ila kwa sasa hali imebadilika, atalazimika kukubali na kuyapokea matokeo halali. Tuombe uzima
Joyce BandaHayo mawili ya mwanzo yako wazi, ila hili tatu linahitaji watu wenye akili tulivu kulikubali na kulielewa. Hatakuwa rais wa kwaza kushindwa uchaguzi kwani wapo walioshindwa na kuendelea kubaki madarakani. 2015, 2020 ni mifano hai, ila kwa sasa hali imebadilika, atalazimika kukubali na kuyapokea matokeo halali. Tuombe uzima
Ingawa nimekuunga mkono lakini my eyes from within nimeona jambo kabla ya 2025 ambalo wengi hawatalitarajia.Mkuu Gulwa , humu JF, rukhsa kujifurahisha!, kama unaamini 2015 na 2020, CCM ilishindwa ikapiga bao la mkono!, endelea kuamini hivyo!, hicho chama cha kuishinda CCM kwenye sanduku la kura, kwa Tanzania bara, bado sana!.
Sababu inayoifanya CCM isishindwe ni kwasababu CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! hivyo CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?
P
Hata nchi nzima ipigie kura chama kingine, CCM itabaki kinara!Ingawa nimekuunga mkono lakini my eyes from within nimeona jambo kabla ya 2025 ambalo wengi hawatalitarajia.
Pia mkuu, kauli ya kusema hakuna chama mbadala wa CCM ni kauli isiyopaswa luungwa mkono.
Sisi Watanzania tunaweza kujiongoza bila jinamizi la CCM. Vyama tunavyo na vimesajiliwa kisheria. Kila chama kina uwezo wa kutwaa dola maana hakuna sheria inayotamka kuwa chama kinachofaa kutwaa dola ni lazima kiwe na mfumo kama wa jinamizi CCM.
Tuwaaminishe wananchi kuwa wana uwezo wa kuchagua viongozi wa nchi bila kuhofia vyama kwa sababu sheria haibagui vyama kama unavyotufanyia hapa jukwaa i
OK SAWAHayo mawili ya mwanzo yako wazi, ila hili tatu linahitaji watu wenye akili tulivu kulikubali na kulielewa. Hatakuwa rais wa kwaza kushindwa uchaguzi kwani wapo walioshindwa na kuendelea kubaki madarakani. 2015, 2020 ni mifano hai, ila kwa sasa hali imebadilika, atalazimika kukubali na kuyapokea matokeo halali. Tuombe uzima
Hata Trump alikuwa na hayo mamlaka,hata edger chagwa lungu alikuwa nayo,lakini hata Peter mutharika alikuwa nayo. Lakini waliondoshwa wote. Huyu mwepesi mnoAtaondoshwaje ikiwa yeye ana mamlaka 3 ya juu zaidi kikatiba??:-
1. Amiri jeshi mkuu.
2. Mkuu wa nchi (mihimili yote 3 iko chini yake).
3. Mwenyekiti wa chama tawala.
Huyo atakayemuondosha atapitia wapi na atakuwa amekaa wapi?
Hilo jambo tuliishalijua na kulizungumzia tumeisha liepusha Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?!.Ingawa nimekuunga mkono lakini my eyes from within nimeona jambo kabla ya 2025 ambalo wengi hawatalitarajia.
Naunga mkono hoja, nchi ya vyama vingi vya siasa has to have alternatives, ila kwa Tanzania, it's a fact hatuna mbadala wa CCM!.Pia mkuu, kauli ya kusema hakuna chama mbadala wa CCM ni kauli isiyopaswa luungwa mkono.
It's true CCM ni jinamizi and infact CCM ni li zimwi!, ila it's very unfortunately ndilo zimwi likujualo!, better a devil you know than you don't know!, and when you have a choice to choose in between the two devils, choose the lesser, CCM is the lesser one!.Sisi Watanzania tunaweza kujiongoza bila jinamizi la CCM.
Naomba nipe mfano mmoja tuuVyama tunavyo na vimesajiliwa kisheria. Kila chama kina uwezo wa kutwaa dola maana hakuna sheria inayotamka kuwa chama kinachofaa kutwaa dola ni lazima kiwe na mfumo kama wa jinamizi CCM.
It's true sheria haibagui vyama bali the realist want reality, the reality ya siasa zetu, tuna chama kimoja tuu, the one and only chenye ability, capacity and capability kuendesha nchi yetu!.Tuwaaminishe wananchi kuwa wana uwezo wa kuchagua viongozi wa nchi bila kuhofia vyama kwa sababu sheria haibagui vyama kama unavyotufanyia hapa jukwaa i
Huko kote ulikotaja katiba zao ziko juu ya kila mwananchi akiwemo rais. Hapa kwetu rais anaweza hata kumuua mpinzani wa nafasi yake na asifanywe kitu, kwasabb yuko juu ya katiba.Hata Trump alikuwa na hayo mamlaka,hata edger chagwa lungu alikuwa nayo,lakini hata Peter mutharika alikuwa nayo. Lakini waliondoshwa wote. Huyu mwepesi mno