denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Huu muda uliobaki kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, na Uchaguzi Mkuu wa 2025, napata mashaka kama utatosha kwetu kuipata hiyo Katiba Mpya..
Sijui ni kitu gani kinachochelewesha hili zoezi, linaonekana kwenda taratibu bila sababu za maana licha ya kuwa na hatua nyingi na ngumu mbele ya safari, mfano mpaka leo tunaimbishwa tu Katiba Mpya, lakini wengi bado hatujajua kama itakuwa ni ile Rasimu ya Warioba, au Katiba Pendekezwa ya CCM.
Naamini huu ucheleweshwaji wa makusudi unaoendelea yote ni mipango inafanyika kwa manufaa ya mtawala, ajabu wengi mnaonekana kushangilia hatua hizi zinazokwenda taratibu huku zikisubiri mpaka "michakato" isiyojulikana itakwisha lini ikamilike!.
Sijui ni kitu gani kinachochelewesha hili zoezi, linaonekana kwenda taratibu bila sababu za maana licha ya kuwa na hatua nyingi na ngumu mbele ya safari, mfano mpaka leo tunaimbishwa tu Katiba Mpya, lakini wengi bado hatujajua kama itakuwa ni ile Rasimu ya Warioba, au Katiba Pendekezwa ya CCM.
Naamini huu ucheleweshwaji wa makusudi unaoendelea yote ni mipango inafanyika kwa manufaa ya mtawala, ajabu wengi mnaonekana kushangilia hatua hizi zinazokwenda taratibu huku zikisubiri mpaka "michakato" isiyojulikana itakwisha lini ikamilike!.