Rais Samia ameonesha ushupavu na umadhubuti katika kuongoza nchi na kukabiliana na changamoto

Rais Samia ameonesha ushupavu na umadhubuti katika kuongoza nchi na kukabiliana na changamoto

Ungekuwa mzalendo usingeweka namba hapo, umeweka namba Ili wakurushie hela ya bando huna uzalendo kabisa
Naingia humu jukwaani kwa jasho langu na nguvu yangu mwenyewe ya kununua vocha na siyo kumtegemea mtu na Kama Ni nikumtegemea mtu Basi nisingeweza kuingia kabisa mtu, hata wewe pia naamini unaingia humu kwa gharama zako mwenyewe za vocha
 
Tanzania haijawahi kupata Rais wa hovyo na hopeless kama huyu.Uwezo wake hakustahili hata kuwa kiranja wa shule.Anapaswa kujiuzulu
Uwe na adabu na heshima kwa Rais wetu na kiongozi wetu, huwa naona michango yako mingi Sana humu ambayo inaonyesha kuwa Ni mtu usiye na ustaarabu heshima na busara, Ni mtu unaye onekana kukosa malezi Bora ya wazazi wako, ni mtu unayeonekana Ni Kama hukulelewa na kukuzwa na wazazi wako kimaadili, ndio sababu umekosa maadili na heshima kwa kila mtu, ndio sababu ya kuonekana kichwani hupo vizuri na una matatizo kichwani yanayohitaji matibabu, usimzoee Rais kumshambulia kwa maneno yako yaliyokosa adabu, Rais Ni Taasisi inayolindwa kwa nguvu zote, huwezi ukaichafua na kuidhalilisha Kama ufanyavyo, jifunze kukosoa kwa heshima na staha, jifunze kuheshimu mawazo ya wengine,jifunze kuwa na kifua na mrudie muumba wako aliye kuumba
 
Kwamba magari ya kuchimba visima vya maji hukuyaona? Kwamba Yale hayakuwa magari kwa mujibu wa macho yako? Suala la umeme lazima ujuwe kuwa Mahitaji yake yameongezeka Sana kutokana na kuongezeka kwa shughuli za kiuchumi na kiuzalishaji zinazotegemea umeme ambazo ni dalili njema wa ustawi na Afya njema ya uchumi wetu, hata hivyo suala hili litakwisha kutokana na mikakati ya serikali yetu kukabiliana nalo

Watu hawataki magari wanataka maji, hiyo kuonyesha magari ni kiki za kijinga.

Mahitaji ya umeme kuongezeka ilikuwa ni jambo la kustukiza kiasi kwamba hamjui nini kilitakiwa? Wakati wa JK porojo ilikuwa ni kuzalisha umeme wa gas 5,000mg, leo hata 1,000mg za gas hakuna. Cha kushangaza tumeachana na umeme wa gas tumerukia umeme wa maji wakati tunalalamika matatizo ya tabia nchi. Au mtazindua tena magari ya kuchimba maji kulisha hilo bwawa?
 
Huu mgao wa umeme na maji ndio ushupavu. Hivi chawa hamuoni aibu kwenye mapambio yenu?
Watu hawataki magari wanataka maji, hiyo kuonyesha magari ni kiki za kijinga.

Mahitaji ya umeme kuongezeka ilikuwa ni jambo la kustukiza kiasi kwamba hamjui nini kilitakiwa? Wakati wa JK porojo ilikuwa ni kuzalisha umeme wa gas 5,000mg, leo hata 1,000mg za gas hakuna. Cha kushangaza tumeachana na umeme wa gas tumerukia umeme wa maji wakati tunalalamika matatizo ya tabia nchi. Au mtazindua tena magari ya kuchimba maji kulisha hilo bwawa?
Sasa hapo unanishangaza unaposena watu hawataki magari wanataka maji, kwa hiyo unafikiri hayo maji yanakuja kwa kuletwa na bodaboda Tindo? Hayo magari ndio yanayokwenda kuchimba visima virefu na kumaliza tatizo la maji
 
Ndugu Zangu Rais Samia Ameonyesha yeye Ni kiongozi shupavu sana, Asiye yumbishwa Wala kupelekeshwa na maneno maneno, Nikiongozi asiye fanya maamuzi pasipo kufanya uchunguzi wa kina, kiutafiti na kitaarifa, Ni kiongozi mwenye Msimamo usio yumba Wala kutetereshwa, Ni Kiongozi Mtulivu na mwenye Subira,

Ni kiongozi anayefahamu wakati gani aongee na wakati gani achukue maamuzi, Ni kiongozi anayefahamu wakati gani atoe maelekezo na wakati gani atumie kalamu, Ni kiongozi anayefahamu kuwa anawashauri na wasaidizi wa kikatiba lakini Maamuzi ya mwisho yanabaki mikononi mwake Kama Mkuu wa nchi, Serikali na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

Rais Samia Ni kiongozi Mwenye ngozi ngumu ya kiuongozi, Huruma, upendo, ukarimu kwa wananchi wake na moyo mkubwa, ndio sababu ukiona Namna watu walivyo huru kutoa maoni yao, ndio sababu unaona namna alivyo mvumilivu, Ndio sababu ya usikivu wake na unyenyekevu wake, Ndio sababu ya kuona nchi ikiwa Tulivu salama na yenye amani huku umoja wa kitaifa ukiwa umeimarika Sana, Rais Samia Ni kiongozi kwa kuzaliwa, Ni kiongozi mwenye maono makubwa na Taifa hili, Ni kiongozi ambaye hayumbi katika kutimiza maono na Ndoto yake ya kimaendeleo kwa Taifa Hili

Rais Samia ameonyesha umadhubuti na ushupavu katika kukabiliana na matatizo na kero mbalimbali, ameonyesha uwezo mkubwa Sana wa kiuongozi, Ameonyesha kuwa na Dira na muelekeo sahihi katika kuongoza nchi yetu, Hakika Ni Rais Kweli kwelii, Mzalendo wa kweli, mwanadiplomasia nguli na mwana demokrasia halisia

Hakika utulivu na ushupavu wa Rais Mama Samia kiuongozi Umeituliza Sana nchi yetu na kuipa heshima kubwa Sana ndani na nje ya nchi, Watanzania Tuendelee kumuunga mkono Rais wetu na kuwa naye bega kwa bega katika kila changamoto tuipitiayo. Watanzania tumebahatika kupata Rais mkweli na mcha Mungu na Mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu kimatendo na kimaneno, Ndio sababu ya kuona kauli zake zikiwa zenye kujenga umoja wetu wa kitaifa na kuliunganisha Taifa dhidi ya changamoto zinazokuwa mbele yetu

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Njaa tu hizi huna lolote.

Samia kafanya nini kuyafanya maisha yako yawe mazuri?

Zaidi kawafanya machinga wawe panya road.
 
Ndugu Zangu Rais Samia Ameonyesha yeye Ni kiongozi shupavu sana, Asiye yumbishwa Wala kupelekeshwa na maneno maneno, Nikiongozi asiye fanya maamuzi pasipo kufanya uchunguzi wa kina, kiutafiti na kitaarifa, Ni kiongozi mwenye Msimamo usio yumba Wala kutetereshwa, Ni Kiongozi Mtulivu na mwenye Subira,

Ni kiongozi anayefahamu wakati gani aongee na wakati gani achukue maamuzi, Ni kiongozi anayefahamu wakati gani atoe maelekezo na wakati gani atumie kalamu, Ni kiongozi anayefahamu kuwa anawashauri na wasaidizi wa kikatiba lakini Maamuzi ya mwisho yanabaki mikononi mwake Kama Mkuu wa nchi, Serikali na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

Rais Samia Ni kiongozi Mwenye ngozi ngumu ya kiuongozi, Huruma, upendo, ukarimu kwa wananchi wake na moyo mkubwa, ndio sababu ukiona Namna watu walivyo huru kutoa maoni yao, ndio sababu unaona namna alivyo mvumilivu, Ndio sababu ya usikivu wake na unyenyekevu wake, Ndio sababu ya kuona nchi ikiwa Tulivu salama na yenye amani huku umoja wa kitaifa ukiwa umeimarika Sana, Rais Samia Ni kiongozi kwa kuzaliwa, Ni kiongozi mwenye maono makubwa na Taifa hili, Ni kiongozi ambaye hayumbi katika kutimiza maono na Ndoto yake ya kimaendeleo kwa Taifa Hili

Rais Samia ameonyesha umadhubuti na ushupavu katika kukabiliana na matatizo na kero mbalimbali, ameonyesha uwezo mkubwa Sana wa kiuongozi, Ameonyesha kuwa na Dira na muelekeo sahihi katika kuongoza nchi yetu, Hakika Ni Rais Kweli kwelii, Mzalendo wa kweli, mwanadiplomasia nguli na mwana demokrasia halisia

Hakika utulivu na ushupavu wa Rais Mama Samia kiuongozi Umeituliza Sana nchi yetu na kuipa heshima kubwa Sana ndani na nje ya nchi, Watanzania Tuendelee kumuunga mkono Rais wetu na kuwa naye bega kwa bega katika kila changamoto tuipitiayo. Watanzania tumebahatika kupata Rais mkweli na mcha Mungu na Mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu kimatendo na kimaneno, Ndio sababu ya kuona kauli zake zikiwa zenye kujenga umoja wetu wa kitaifa na kuliunganisha Taifa dhidi ya changamoto zinazokuwa mbele yetu

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Haya tumekusikia kijana mzalendo.

Sisi tunaokosoa hatuthubutu kuweka namba zetu kwa sababa mfumo uliopo unawalinda wapiga korasi, chawa fulani fulani hivi.

Na mngegundua App inayoweza mawazo ya watu mngewekeza sana kwenye ununuzi wa silaha za kuwaangamiza maadui wa ndani
 
Naingia humu jukwaani kwa jasho langu na nguvu yangu mwenyewe ya kununua vocha na siyo kumtegemea mtu na Kama Ni nikumtegemea mtu Basi nisingeweza kuingia kabisa mtu, hata wewe pia naamini unaingia humu kwa gharama zako mwenyewe za vocha
Ukitoa mabandiko kwa nini uweke namba ya simu?
 
Ndugu Zangu Rais Samia Ameonyesha yeye Ni kiongozi shupavu sana, Asiye yumbishwa Wala kupelekeshwa na maneno maneno, Nikiongozi asiye fanya maamuzi pasipo kufanya uchunguzi wa kina, kiutafiti na kitaarifa, Ni kiongozi mwenye Msimamo usio yumba Wala kutetereshwa, Ni Kiongozi Mtulivu na mwenye Subira,

Ni kiongozi anayefahamu wakati gani aongee na wakati gani achukue maamuzi, Ni kiongozi anayefahamu wakati gani atoe maelekezo na wakati gani atumie kalamu, Ni kiongozi anayefahamu kuwa anawashauri na wasaidizi wa kikatiba lakini Maamuzi ya mwisho yanabaki mikononi mwake Kama Mkuu wa nchi, Serikali na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

Rais Samia Ni kiongozi Mwenye ngozi ngumu ya kiuongozi, Huruma, upendo, ukarimu kwa wananchi wake na moyo mkubwa, ndio sababu ukiona Namna watu walivyo huru kutoa maoni yao, ndio sababu unaona namna alivyo mvumilivu, Ndio sababu ya usikivu wake na unyenyekevu wake, Ndio sababu ya kuona nchi ikiwa Tulivu salama na yenye amani huku umoja wa kitaifa ukiwa umeimarika Sana, Rais Samia Ni kiongozi kwa kuzaliwa, Ni kiongozi mwenye maono makubwa na Taifa hili, Ni kiongozi ambaye hayumbi katika kutimiza maono na Ndoto yake ya kimaendeleo kwa Taifa Hili

Rais Samia ameonyesha umadhubuti na ushupavu katika kukabiliana na matatizo na kero mbalimbali, ameonyesha uwezo mkubwa Sana wa kiuongozi, Ameonyesha kuwa na Dira na muelekeo sahihi katika kuongoza nchi yetu, Hakika Ni Rais Kweli kwelii, Mzalendo wa kweli, mwanadiplomasia nguli na mwana demokrasia halisia

Hakika utulivu na ushupavu wa Rais Mama Samia kiuongozi Umeituliza Sana nchi yetu na kuipa heshima kubwa Sana ndani na nje ya nchi, Watanzania Tuendelee kumuunga mkono Rais wetu na kuwa naye bega kwa bega katika kila changamoto tuipitiayo. Watanzania tumebahatika kupata Rais mkweli na mcha Mungu na Mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu kimatendo na kimaneno, Ndio sababu ya kuona kauli zake zikiwa zenye kujenga umoja wetu wa kitaifa na kuliunganisha Taifa dhidi ya changamoto zinazokuwa mbele yetu

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627

Ulianza nyuzi zako kwa kuiponda CHADEMA ukaona hailipi, ukahamia kuisifu CCM ukaona hailipi Sasa hivi umehamia kwenye kumsifia Rais Samiah hata kwenye uongo. Na Cha kuchekesha baada ya kuona hakuna yupo interested na wewe umeamua kuweka namba ya simu.
 
Njaa tu hizi huna lolote.

Samia kafanya nini kuyafanya maisha yako yawe mazuri?

Zaidi kawafanya machinga wawe panya road.
Mimi Kama mkulima na wakulima wengine tunamshukuru mh Rais kwa kutupatia mbolea za Ruzuku ambapo serikali yake ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni, lakini pia Tumeona namna huduma za kijana zilivyo boreshwa na kusogezwa karibu yetu, Tumeona Elimu ikitolewa bure Hadi kidato Cha sita na mengine mengi tu
 
Naingia humu jukwaani kwa jasho langu na nguvu yangu mwenyewe ya kununua vocha na siyo kumtegemea mtu na Kama Ni nikumtegemea mtu Basi nisingeweza kuingia kabisa mtu, hata wewe pia naamini unaingia humu kwa gharama zako mwenyewe za vocha

Mimi tangu nikuone unaweka namba ya simu nikajua ni msaka fursa baada ya kushindwa kujiajiri. Mind you kuweka namba namba ya Siri umekubali kujiexpose na incase ukaongea Jambo sensitive kwa seriklai, utajua hujui. Maana kwa Sasa umejipa kazi ya msemaji wa mama Samiah , wakati kipo kitengo kwa kazi hiyo. Kuwa makini.
 
Mimi Kama mkulima na wakulima wengine tunamshukuru mh Rais kwa kutupatia mbolea za Ruzuku ambapo serikali yake ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni, lakini pia Tumeona namna huduma za kijana zilivyo boreshwa na kusogezwa karibu yetu, Tumeona Elimu ikitolewa bure Hadi kidato Cha sita na mengine mengi tu
Hili nalo kalitazameni.
 
Namba ya simu inaondoa uhalali wa ulichokiandika. Ni Kama unaandika watu fulani wakuone wakutumie kiasi kidogo Cha pesa.
Hapana hii siyo barua ya maombi ya hela au sms ya kuomba hela, Ni Kama mwandishi anavyoweza akaweka habari gazetini halafu mwishoni kunakuwa na namba. Je waandishi huweka namba kwa ajili ya kuomba hela?
 
Mimi tangu nikuone unaweka namba ya simu nikajua ni msaka fursa baada ya kushindwa kujiajiri. Mind you kuweka namba namba ya Siri umekubali kujiexpose na incase ukaongea Jambo sensitive kwa seriklai, utajua hujui. Maana kwa Sasa umejipa kazi ya msemaji wa mama Samiah , wakati kipo kitengo kwa kazi hiyo. Kuwa makini.
Mimi Tayari nilishajiajiri katika kilimo, nguvu zangu ndio mtaji wangu, jembe langu begani ndio kalamu yangu,shamb langu ndio daftari langu
 
Back
Top Bottom