Rais Samia ameonesha ushupavu na umadhubuti katika kuongoza nchi na kukabiliana na changamoto

Rais Samia ameonesha ushupavu na umadhubuti katika kuongoza nchi na kukabiliana na changamoto

Ndugu Zangu Rais Samia Ameonyesha yeye Ni kiongozi shupavu sana, Asiye yumbishwa Wala kupelekeshwa na maneno maneno, Nikiongozi asiye fanya maamuzi pasipo kufanya uchunguzi wa kina, kiutafiti na kitaarifa, Ni kiongozi mwenye Msimamo usio yumba Wala kutetereshwa, Ni Kiongozi Mtulivu na mwenye Subira,

Ni kiongozi anayefahamu wakati gani aongee na wakati gani achukue maamuzi, Ni kiongozi anayefahamu wakati gani atoe maelekezo na wakati gani atumie kalamu, Ni kiongozi anayefahamu kuwa anawashauri na wasaidizi wa kikatiba lakini Maamuzi ya mwisho yanabaki mikononi mwake Kama Mkuu wa nchi, Serikali na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

Rais Samia Ni kiongozi Mwenye ngozi ngumu ya kiuongozi, Huruma, upendo, ukarimu kwa wananchi wake na moyo mkubwa, ndio sababu ukiona Namna watu walivyo huru kutoa maoni yao, ndio sababu unaona namna alivyo mvumilivu, Ndio sababu ya usikivu wake na unyenyekevu wake, Ndio sababu ya kuona nchi ikiwa Tulivu salama na yenye amani huku umoja wa kitaifa ukiwa umeimarika Sana, Rais Samia Ni kiongozi kwa kuzaliwa, Ni kiongozi mwenye maono makubwa na Taifa hili, Ni kiongozi ambaye hayumbi katika kutimiza maono na Ndoto yake ya kimaendeleo kwa Taifa Hili

Rais Samia ameonyesha umadhubuti na ushupavu katika kukabiliana na matatizo na kero mbalimbali, ameonyesha uwezo mkubwa Sana wa kiuongozi, Ameonyesha kuwa na Dira na muelekeo sahihi katika kuongoza nchi yetu, Hakika Ni Rais Kweli kwelii, Mzalendo wa kweli, mwanadiplomasia nguli na mwana demokrasia halisia

Hakika utulivu na ushupavu wa Rais Mama Samia kiuongozi Umeituliza Sana nchi yetu na kuipa heshima kubwa Sana ndani na nje ya nchi, Watanzania Tuendelee kumuunga mkono Rais wetu na kuwa naye bega kwa bega katika kila changamoto tuipitiayo. Watanzania tumebahatika kupata Rais mkweli na mcha Mungu na Mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu kimatendo na kimaneno, Ndio sababu ya kuona kauli zake zikiwa zenye kujenga umoja wetu wa kitaifa na kuliunganisha Taifa dhidi ya changamoto zinazokuwa mbele yetu

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
 

Attachments

  • 2FCB85F7-2305-4E73-BCA1-FE4B5E28CB72.jpeg
    2FCB85F7-2305-4E73-BCA1-FE4B5E28CB72.jpeg
    2.3 MB · Views: 3
Ulianza nyuzi zako kwa kuiponda CHADEMA ukaona hailipi, ukahamia kuisifu CCM ukaona hailipi Sasa hivi umehamia kwenye kumsifia Rais Samiah hata kwenye uongo. Na Cha kuchekesha baada ya kuona hakuna yupo interested na wewe umeamua kuweka namba ya simu.
Mimi Ni mzalendo na siyumbishwi na maneno yako Hapa.
 
Ndugu Zangu Rais Samia Ameonyesha yeye Ni kiongozi shupavu sana, Asiye yumbishwa Wala kupelekeshwa na maneno maneno, Nikiongozi asiye fanya maamuzi pasipo kufanya uchunguzi wa kina, kiutafiti na kitaarifa, Ni kiongozi mwenye Msimamo usio yumba Wala kutetereshwa, Ni Kiongozi Mtulivu na mwenye Subira,

Ni kiongozi anayefahamu wakati gani aongee na wakati gani achukue maamuzi, Ni kiongozi anayefahamu wakati gani atoe maelekezo na wakati gani atumie kalamu, Ni kiongozi anayefahamu kuwa anawashauri na wasaidizi wa kikatiba lakini Maamuzi ya mwisho yanabaki mikononi mwake Kama Mkuu wa nchi, Serikali na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

Rais Samia Ni kiongozi Mwenye ngozi ngumu ya kiuongozi, Huruma, upendo, ukarimu kwa wananchi wake na moyo mkubwa, ndio sababu ukiona Namna watu walivyo huru kutoa maoni yao, ndio sababu unaona namna alivyo mvumilivu, Ndio sababu ya usikivu wake na unyenyekevu wake, Ndio sababu ya kuona nchi ikiwa Tulivu salama na yenye amani huku umoja wa kitaifa ukiwa umeimarika Sana, Rais Samia Ni kiongozi kwa kuzaliwa, Ni kiongozi mwenye maono makubwa na Taifa hili, Ni kiongozi ambaye hayumbi katika kutimiza maono na Ndoto yake ya kimaendeleo kwa Taifa Hili

Rais Samia ameonyesha umadhubuti na ushupavu katika kukabiliana na matatizo na kero mbalimbali, ameonyesha uwezo mkubwa Sana wa kiuongozi, Ameonyesha kuwa na Dira na muelekeo sahihi katika kuongoza nchi yetu, Hakika Ni Rais Kweli kwelii, Mzalendo wa kweli, mwanadiplomasia nguli na mwana demokrasia halisia

Hakika utulivu na ushupavu wa Rais Mama Samia kiuongozi Umeituliza Sana nchi yetu na kuipa heshima kubwa Sana ndani na nje ya nchi, Watanzania Tuendelee kumuunga mkono Rais wetu na kuwa naye bega kwa bega katika kila changamoto tuipitiayo. Watanzania tumebahatika kupata Rais mkweli na mcha Mungu na Mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu kimatendo na kimaneno, Ndio sababu ya kuona kauli zake zikiwa zenye kujenga umoja wetu wa kitaifa na kuliunganisha Taifa dhidi ya changamoto zinazokuwa mbele yetu

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Unatoa sifa za kiboya hadi unaemsifia anakuona pimbi!
 
Tanzania na watanzania wake🤣🤣🤣🤣
Walah acheni tu miccm itawale milele kama hawa ndio watanzania.
 
Tanzania na watanzania wake🤣🤣🤣🤣
Walah acheni tu miccm itawale milele kama hawa ndio watanzania.
CCM itatawala Milele kwa kuwa na Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watu, kwa kuwa Ni chama sikivu na kinachowajali watu na kuwatumikia kwa nguvu zote,
 
Na mvua ikinyesha ndio mwisho wa hizo Hadaa.
Thubutu! Afrika ina vituko...mvua ikinyesha ndio mwanzo wa hadaa nyingine...asante kwa mvua.

Alikuwepo Rais Eyadema aliyesindikizwa kwa nderemo na vifijo na wananchi kwa kuwezesha mvua kunyesha na hivyo kumaliza tatizo la ukame nchini Togo!
 
Hichi kicheko kinaeleza kila kitu🤣🤣🤣
Ni kicheko tu ndugu yangu. Maji yanatufanya tukose raha. Ukipata sehemu ya kufurahia maisha, lazima ufurahi. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Uwe na adabu na heshima kwa Rais wetu na kiongozi wetu, huwa naona michango yako mingi Sana humu ambayo inaonyesha kuwa Ni mtu usiye na ustaarabu heshima na busara, Ni mtu unaye onekana kukosa malezi Bora ya wazazi wako, ni mtu unayeonekana Ni Kama hukulelewa na kukuzwa na wazazi wako kimaadili, ndio sababu umekosa maadili na heshima kwa kila mtu, ndio sababu ya kuonekana kichwani hupo vizuri n
Ewe chawa mwovu, Tafakari kisha unieleze ni adhabu gani anayostahili kiongozi anayetenda haya kwa wananchi wake
1. Kutesa na kudhulumu maelfu ya watanzania hususan walio masikini kupitia tozo.Mama mjane yupo zake kijijini anamtumia kodi mgonjwa wake anakatwa kodi kama mfanyabiashara! DHULMA!
2. Nchi ina rasilimali za kila aina, mito,maziwa,vivutio vya utalii,madini,ardhi n.k vyote hivi amekabidhiwa yeye na serikali yake asimamie lakini bado anakuja kukamua masikini wanyonge?? Tena bila aibu!
3. Bidhaa zimepanda bei wananchi masikini wanateseka kila siku maisha magumu lakini bila aibu kiongozi anaendekeza matumizi mabaya ya fedha za umma kwa hafla semina za pongezi Birthday safari zisizokuwa na umuhimu n.k! Hii ni zaidi ya kuwatukana waliompa dhamana
4.Wananchi wanakufa kila siku kwa huduma mbovu za afya na miundombinu mibovu, Lakini yule aliyekabidhiwa dhamana anatazama na hachukui hatua yoyote, Hii ni ishara ya kukosa malezi na kutoheshimu wananchi.
5.Wananchi wanateseka kujikwamua kiuchumi kupitia umeme kwa shughuli kama vinyozi,wauza samaki kwenye majokofu n.k kama haitoshi unawaletea mgao wa umeme wafe njaa kabisa bado haitoshi na mgao wa maji juu! Yote hayo unatazama wala hauchukui hatua! Zaidi ya kusifia kila waziri ale kwa urefu wa kamba! Nyerere alisema viongozi wa aina hii ni wapumbavu! Walistahili kunyongwa!
 
CCM itatawala Milele kwa kuwa na Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watu, kwa kuwa Ni chama sikivu na kinachowajali watu na kuwatumikia kwa nguvu zote,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Vituko kama hivi vinapatikana Tz tu.
 
Kiukweli kutoka moyoni nailaani CCM kila siku iendayo kwa Mungu, Sio kwamba ni chuki ila ni ukweli uliodhahiri chama hiki kimetenda dhambi kubwa mno kupandikiza ujinga na kuuita Uzalendo.
Taifa hili linaongoza kuwa na Vijana wajinga kupitia siasa za CCM, leo hii Vijana wamebeba mafuvu tu ila akili wamemkabidhi Mwenyekiti wa Chama. Hawajui jema na baya wao wapo tu.
Kwanini asitokee mtu akasimama akawaambia vijana hawa kuwa njia ya mafanikio sio kujipendekeza ni kufanya kazi? Kwanini CCM wasiwaambie vijana wao kusifia kila ujinga sio uzalendo.
Sasa huyu jiulize haya maandiko ya kila siku kumsifia Samia yana mantiki gani kama kweli anachokifanya kina tija kwa wananchi wake? Kwanini wasijikite kuonyesha mapungufu ambayo yanaonekana hadharani kuliko kusifu na kuimba mapambio?
 
Kiukweli kutoka moyoni nailaani CCM kila siku iendayo kwa Mungu, Sio kwamba ni chuki ila ni ukweli uliodhahiri chama hiki kimetenda dhambi kubwa mno kupandikiza ujinga na kuuita Uzalendo.
Taifa hili linaongoza kuwa na Vijana wajinga kupitia siasa za CCM, leo hii Vijana wamebeba mafuvu tu ila akili wamemkabidhi Mwenyekiti wa Chama. Hawajui jema na baya wao wapo tu.
Kwanini asitokee mtu akasimama akawaambia vijana hawa kuwa njia ya mafanikio sio kujipendekeza ni kufanya kazi? Kwanini CCM wasiwaambie vijana wao kusifia kila ujinga sio uzalendo.
Sasa huyu jiulize haya maandiko ya kila siku kumsifia Samia yana mantiki gani kama kweli anachokifanya kina tija kwa wananchi wake? Kwanini wasijikite kuonyesha mapungufu ambayo yanaonekana hadharani kuliko kusifu na kuimba mapambio?
Umeandika weee na nimesoma Hadi mwisho lakini naona unajichanganya tu, Sasa wewe Kama unaona mapungufu kwanini usiyaandike ili tuone hoja zako, Mimi kwa mtizamo wangu na kwa ushahidi nimeona kazi kubwa na yakutukuka iliyofanywa na serikali hii ya CCM chini ya uongozi shupavu wa mama Samia, Nimeona pia namna anavyokabiliana na kila changamoto inayojitokeza mbele yetu Kama Taifa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Vituko kama hivi vinapatikana Tz tu.
Siyo vituko Ila huo ndio ukweli kuwa hakuna chama chenye uwezo wa kuitikisa CCM hapa nchini, Nasema hakipoo chama hicho Wala mtu wa kuweza kuyumbisha CCM, hayupo mtu huyo
 
Back
Top Bottom