Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Umeishiwa hoja sasa unaanza matusi mkuu stroke.Angalia tu usije ukaolewa kwa kupenda kuwa karibu na kila mwenye mamlaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeishiwa hoja sasa unaanza matusi mkuu stroke.Angalia tu usije ukaolewa kwa kupenda kuwa karibu na kila mwenye mamlaka.
Hoja hapa ni rahisi tu.
Je kukopa ndio njia inayosemekana ya kurejesha mahusiano na nchi za Ulaya??
Je hakuna njia nyingine ya kufanya hivyo??
Majibu yake tafadhali.
😂mkuu niko vyombo alafu hiyo ni nukuu kutoka kijaniKwani umetumia lugha gani kuandika?😆
Ni uwongo mkubwa kudai kwamba wakati wa Magufuli, aliwahi kukataa mikopo su misaada. Huo ni uwongo mkubwa. Ukweli ni kwamba, watoaji wa misaada na mikopo wa nchi za Ulaya, America na vyombo vya kifadha vya kimataifa, kama WB, ndip waliokataa kutupatia, kwa sababu chini ya utawala wa Magufuli, Tanzania ilikuwa ya utawala wa kidikteta.Mh. Rais Samia wakati akirejea toka France na Belgium wakati akitoa salamu zake na asante kwa mapokezi pale uwanja wa Mwalimu Nyerere alisema kwamba wakati wa awamu ya tano mahusiano yetu na nchi za Ulaya yalilega sana ila kwa sasa amejitahidi kuyarejesha...
Utawala wa Magufuli ulikopa kuliko utawala wowote, tena kutoka mabenki ya kibiashara, kwa riba kubwa sana. Hatushangilii ukopaji, lakini kama ni kwa kulinganisha katika ukopaji, basi utawala wa Magufuli ulikuwa ni nguruwe, na utawala wa Samia ni simbilisi.Sio kwa kasi hii ya sasa.
Magufuli hakuifanya nchi ijitegemee. Kikubwa alichofanya ni kuendesha siasa za hila, uwongo na ulaghai. Akawadanganya watanzania wajinga kuwa tunajenga miradi kwa pesa yetu wakati anakopa kila mahali alipoweza kupata, tena kwa riba kubwa.Onaga aibu basi kuwasifia hao washenz wanaopata maendeleo kwa kuiba resources za nchi yako kupitia mikataba mibovu.
Weng mnaomlaumu magu ninyi ni bendera fuata upepo, hiv unaweza orodhesha hayo aliyowajaza watu ambayo hayana ukweli...
Ukiwa mjinga, unaweza kuamini uwongo wa Marehemu Magufuli. Ni uwongo mkubwa kudai exports ziliongezeka wakati wa Magufuli. Exports za mazao ya kilimo zilianguka kwa 50%, ukuaji wa utalii ulianguka toka 15% mpaka 3.6%.Wazungu hawakuacha kuja kutalii kipindi cha Magufuli, Wakati huo bishara ilikuwa nzuri tu kwani sisi tulikua moja wapo ya nchi chache ambazo hatukua na lock down...
Mh. Rais Samia wakati akirejea toka France na Belgium wakati akitoa salamu zake na asante kwa mapokezi pale uwanja wa Mwalimu Nyerere alisema kwamba wakati wa awamu ya tano mahusiano yetu na nchi za Ulaya yalilega sana ila kwa sasa amejitahidi kuyarejesha...
Inatakiwa kasi gani?Sio kwa kasi hii ya sasa.
Demokrasia ndo hii mtoto akipata mimba arudi shule na afuate masharti ya Corona tusubirie na hela za kuruhusu ushoga sasa.Ni uwongo mkubwa kudai kwamba wakati wa Magufuli, aliwahi kukataa mikopo su misaada. Huo ni uwongo mkubwa. Ukweli ni kwamba, watoaji wa misaada na mikopo wa nchi za Ulaya, America na vyombo vya kifadha vya kimataifa, kama WB, ndip waliokataa kutupatia, kwa sababu chini ya utawala wa Magufuli, Tanzania ilikuwa ya utawala wa kidikteta.
Sharti kubwa la mikopo na misaada toka mataifa yaliyoendelea, ni Serikali izingatie demokrasia, utawala wa sheria, uhuru wa maoni na uhuru wa vyombo vya habari. Wakati wa uongozi wa dikteta marehemu Magufuli, hivyo vyote vilitoweka kwa 100%.
alikukopa wwInashangaza magufuli alikopa na mahusiano bado akavuruga .yule jamaa kile kichwa kifanyiwe uchunguzi.