Rais Samia amesema tuwe na jamii yenye ujasiri wa kuhoji

Chawa mmoja alisikika akisema,

Hongera Kwa kufiwa Mh....!!!
 
Yale ya kupotea kwa kuhoji yamesha dhibitiwa🤔.Ama hivi sasa ni kutojibiwa na kuelekezwa kwa wazee wetu🤔
Serikali ya Rais samia haina mambo wala masuala ya kihuni huni na kishetani.ndio maana unaona watu wapo huru sana kuhoji na kukosoa kwa sababu uhuru upo wa kutosha kabisa.
 
Ni mnafiki kiwango cha lami...

Mwambie ivo yaani
 
Ni mnafiki kiwango cha lami...

Mwambie ivo yaani
Uwe na adabu na heshima kwa mh Rais wetu ,ambaye ametoa uhuru wa kutosha kwa watu kuzungumza watakavyo na kukosoa wawezavyo. Msitumie uhuru kwa kushusha heshima ya mtu au kuwadhalilisha wengine
 
-kwa nini wale jamaa walifunguliwa kesi,kusumbuliwa na kulazwa mung'anda kwa siku kadhaa?
-kwa nini mmoja alivuliwa ubalozi?
-hayo maoni yaliyochukuliwa lini?
-mrejesho ulitolewa lini?
-kwa nini leo hii watu wahimizwe maoni?
-what's cooking?
 
-kwa nini wale jamaa walifunguliwa kesi,kusumbuliwa na kulazwa mung'anda kwa siku kadhaa?
-kwa nini mmoja alivuliwa ubalozi?
-hayo maoni yaliyochukuliwa lini?
-mrejesho ulitolewa lini?
-kwa nini leo hii watu wahimizwe maoni?
-what's cooking?
Mapishi bila shaka yatakuwa ubwabwa na choda
 
-kwa nini wale jamaa walifunguliwa kesi,kusumbuliwa na kulazwa mung'anda kwa siku kadhaa?
-kwa nini mmoja alivuliwa ubalozi?
-hayo maoni yaliyochukuliwa lini?
-mrejesho ulitolewa lini?
-kwa nini leo hii watu wahimizwe maoni?
-what's cooking?
Walifunguliwa kesi kwa kuwa walikuwa na makosa wanayotakiwa kuyatolea majibu jambo ambalo ni la kawaida kabisa. Pili mtu kuvuliwa ubalozi siyo geni wala siyo la kwanza.maana aliyevuliwa ubalozi hakuwa wa kwanza na hatakuwa wa mwisho.huwezi ukawa unatoa maneno ya kihaini halafu unataka ubaki na hadhi ya ubalozi
 
Tunamheshimu sana Mama! Lakini kwa hili anatuingiza mjini.
 
Wanatakiwa wamuangalie
Wakina steve wanachkua hela kiulaini
Na hakuna kazi yyt wanayofanya
Lucas Ana stahili chochote kitu kwa kweli

Ov
Watakwambia wale wanauzika ni celebrities sasa huyu ndiyo kwanza anasaka mtaji, angehamishia nguvu zake Kwa kugonga inbox zao uenda ipo siku wangempumzisha Kwa kacheo fulani . Afikiliwe kijana hata kama mmemjua kupitia JF.
 
Nani alishawahi kuvuliwa ubalozi?
NB:Umejichagulia maswali ya kujibu.Hayo mengine unayaacha hovyo.Yang'atwe na mbu?
 
Vipi kuhusu hayo maneno yake!! Safari hii hayajakata kiu ya Watanzania na kuifariji mioyo yao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…