barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Ndio cha kufanya sasa, piga madili utunze familia yako, cha maingi usishikweCha msingi ni kwenda na mdundo tu, mafuta yakipanda na wewe ongeza kupiga dili eneo ulilopo. Hata kama hujaajiriwa angalia fursa za kupiga eneo lako piga tu maisha yaende.
Hawa jamaa ni takataka kweli, yaani unafikiria bandari tunazo lakini wanashusha mzigo wa mafuta unaenda na nchi jirani lakini kwetu bei juu.EWURA ndio regulator, lakini wamekalia kukusanya tozo tu pasipo kufanya kazi yoyote ya maana.
Kila ukinunua mafuta, umeme au maji kuna % inakwenda kwa wapuuzi hao ili wakalipane posho.
Kuna vitu tunashindwa kuelewa ndani ya bunge kumejaa makundi tofauti ,kuna watu wapo kwaajili ya kupendekeza mambo yao yasoge mbele, kuna watu wapo kwaajili ya posho , kuna watu wapo kwaajili ya uongozi n.kNchi hii hatutakaa tupate maendeleo chini ya tawala zinazofanya biashara
Unategemea nini kwa mpanga bei ya Mafuta ndiye mfanyabiashara ya mafuta.
Leo nimesikitika sana kuona dar es salaam mafuta 2400 Je mikoa ya Songwe, Katavi,Rukwa na Kigoma Bei itakuwaje?
Maajabu ni kuwa Zambia mafuta bei rahisi wakati mafuta yao yanapita hapa na wanatulipa kodi
Haya ni maajabu ya Dunia!.
Polepole mkuu...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mama anaupiga mwingi sana [emoji2211][emoji2211]
Nchi hii hatutakaa tupate maendeleo chini ya tawala zinazofanya biashara
Unategemea nini kwa mpanga bei ya Mafuta ndiye mfanyabiashara ya mafuta.
Leo nimesikitika sana kuona dar es salaam mafuta 2400 Je mikoa ya Songwe, Katavi,Rukwa na Kigoma Bei itakuwaje?
Maajabu ni kuwa Zambia mafuta bei rahisi wakati mafuta yao yanapita hapa na wanatulipa kodi
Haya ni maajabu ya Dunia!.
Halafu mtu anajinasibu eti yeye Ni kama Magufuli tusiwe na wasiwasi! Na sisi wananchi tunaitikia Kwa Chorus: "Mama ameanza vizuri na amerudisha Furaha"! Hivi kauli zingine huwa tunatafakari au zinatutoka tu kama udenda wa mtoto mchanga?Siku hizi mateja wameanza onekana pia maana yake madawa ya kulevya pia yako nje nje...
Hii nchi ni ngumu sana!!wewe bajeti ya maendeleo ni 20%halafu matumizi ya kusimamia hayo maendeleo iwe 80% hapo kuna nini? Ndicho kinachopelekea kuumiza wananchi tu.Mishahara haipandi ila matumizi yanaongezeka... Sasa kuishi ni kwa imani tu sio kutizama ka salary kalikodumaa
Genius!Cha msingi ni kwenda na mdundo tu, mafuta yakipanda na wewe ongeza kupiga dili eneo ulilopo. Hata kama hujaajiriwa angalia fursa za kupiga eneo lako piga tu maisha yaende.
Kabisa mkuu, me now nafanya dili lolote mbele yangu, mpaka bangi nafuata huko milimani morogoro, mbona now wanapoozeka wazee. Cha msingi tu kutengeneza connection.Ndio cha kufanya sasa, piga madili utunze familia yako, cha maingi usishikwe
Asante mkuu kama wewe umesema mimi ni nani nikupinge.Genius!
Which means unakumbuka mazuri ya MaguBei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400..
Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...
Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka..
Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa..Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel..
Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..
Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana .
Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa..
Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency..
Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Magu ni suala la muda tu atapewa heshima anayostahili.Which means unakumbuka mazuri ya Magu
Sasa Kikwete wakati prince mmiliki wa lake oil!Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400
Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...
Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka.
Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel..
Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..
Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana .
Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.
Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.
Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Lawama kwa mwigulu kiongeza kodi kwenye mafuta na kupunguza kodi ya kubeti na pombeBei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400
Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...
Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka.
Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel..
Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..
Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana .
Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.
Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.
Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400
Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...
Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka.
Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel..
Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..
Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana .
Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.
Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.
Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Mama ni muimba ngonjera ila uwezo wa kuongoza nchi ni sifuriBei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400
Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...
Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka.
Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel..
Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..
Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana .
Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.
Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.
Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Acha upuuzi wewe.Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400
Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...
Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka.
Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel..
Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..
Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana .
Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.
Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.
Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...