Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kweli kabisa MkuuCCM inaendeleza ubaguzi. Na Mbeya waendelee kuikata CCM hadi mwisho wa dahari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa MkuuCCM inaendeleza ubaguzi. Na Mbeya waendelee kuikata CCM hadi mwisho wa dahari
Magufuli ndio ameanzisha hizo kauli, na nyinyi wasukuma wenzie mkawa mnashupaa shingo kwa kusema eti, " NDEGE ZA MAGUFULI,nkHuyo Samia ni tajiri kiasi gani hadi awe anatoa tu mapesa mfukoni mwake?
Kama ni pesa yetu iliyotokana na kodi zetu msiseme kuwa rais katoa, semeni serikali imenunua. Samia sio serikali.
Sawa Msemaji wa Serikali.
Mkuu, wanachosha sana hawa watu yaani.Hii biashara ya chawa ni shida. Hela zetu walipakodi na nyingine ni za walipakodi wa kizungu,kichina lakini wanazimilikisha mifukoni mwa mtu ambaye hata mshahara wake sina uhakika kama unakatwa kodi.!disgusting!Huyo Samia ni tajiri kiasi gani hadi awe anatoa tu mapesa mfukoni mwake?
Kama ni pesa yetu iliyotokana na kodi zetu msiseme kuwa rais katoa, semeni serikali imenunua. Samia sio serikali.
Wajinga sana hao,badala ya kutupongeza sisi tuliotoa hela/kodi wao wanampongeza tuliemtuma/Rais.Kwa hiyo Samia amenunua kwa hela yake kwa sababu hatukuelewi unapotuambia kuwa "Samia amenunua mashine za Dialysis".
Bado mnafikiri watu ni wajinga tu hivyo mnaweza mkawachezea akili kama mpendavyo. Samia hana pesa ya kutununulia hizo mashine ni pesa zetu tunazo kamuliwa kwenye kodi. Acha ushamba bwana.
Hongera Sana Mama, Tunakuelewa sana===
Mtakumbuka kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ilikuokoa maisha ya watoto wa masikini alipunguza gharama za matibabu ya kuondoa uchafu kwenye damu ( dialysis ) hii ikiwa ni baada ya figo kushindwa kufanya kazi ya
Rais ndio Rais namba moja wa Tanzania unaelewa maana yake?Wajinga sana hao,badala ya kutupongeza sisi tuliotoa hela/kodi wao wanampongeza tuliemtuma/Rais.
Asilimia kubwa ya watz bado ni wajinga kupindukia.
SKwa hiyo Samia amenunua kwa hela yake kwa sababu hatukuelewi unapotuambia kuwa "Samia amenunua mashine za Dialysis".
Bado mnafikiri watu ni wajinga tu hivyo mnaweza mkawachezea akili kama mpendavyo. Samia hana pesa ya kutununulia hizo mashine ni pesa zetu tunazo kamuliwa kwenye kodi. Acha ushamba bwana.
Pitia hii mkuuRais ndio Rais namba moja wa Tanzania unaelewa maana yake?
Unaonaje ukiugua figo mjombae?Wajinga tu nyie,maisha magumu mtaani nyie mnatuletea mambo ya dialysis
Unamchonganisha huyo mungu wako na wananchi. Umelaaniwa kwasababu unamtegemea mwanadamuHongera Sana Mama, Tunakuelewa sana
Hela ni yetu sio ya rais. Period. Acha kukariri.S
Pitia hii mkuu
Hongera sana Rais mnyenyekevu, Tunakuombea sana,===
Mtakumbuka kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ilikuokoa maisha ya watoto wa masikini alipunguza gharama za matibabu ya kuondoa uchafu kwenye damu ( dialysis ) hii ikiwa ni baada ya figo kushindwa kufanya kazi ya kuondoa maji na taka mwili kwenye damu vizuri,
CHADEMA hii awamu mbaya sana kwenu,Hela ni yetu sio ya rais. Period. Acha kukariri.
Wewe ndio unamchonganisha,Miradi ni ambition za Rais elewaUnamchonganisha huyo mungu wako na wananchi. Umelaaniwa kwasababu unamtegemea mwanadamu
Kwani kapeleka Mbeya? Au sijasoma vizuriSawa Msemaji wa Serikali.
Elewa kama unavyotaka kuelewa wewe shida iko wapi?Ni hela/kodi zetu zimefanya hayo kupitia serikali,Samia hana huo uwezo! Ujinga peleka kwa wajinga labda mtafanana
Roho mbaya kwelikweliKodi kila kona acha atoe tu