Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Huyo Samia ni tajiri kiasi gani hadi awe anatoa tu mapesa mfukoni mwake?
Kama ni pesa yetu iliyotokana na kodi zetu msiseme kuwa rais katoa, semeni serikali imenunua. Samia sio serikali.
Ana mihela kedekede.