Rais ni taasisi huko kwingine lkn sio hapa ambapo rais anafanya atakavyo kama mtu binafsi ikiwemo hata kujenga kiwanja cha ndege kijijini kwake na mtu hasemi chochote.Mkuu uwe muelewa, Raisi ni Taasisi sio mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais ni taasisi huko kwingine lkn sio hapa ambapo rais anafanya atakavyo kama mtu binafsi ikiwemo hata kujenga kiwanja cha ndege kijijini kwake na mtu hasemi chochote.Mkuu uwe muelewa, Raisi ni Taasisi sio mtu
Usidanganywe na media za nje mkuu, Raisi nchi yoyote anaweza fanya chochote anachotaka .!Rais ni taasisi huko kwingine lkn sio hapa ambapo rais anafanya atakavyo kama mtu binafsi ikiwemo hata kujenga kiwanja cha ndege kijijini kwake na mtu hasemi chochote.
Chukua unachotaka,Hivi mtakosaa nini kusema "Serikali imetoa"; hii personalization ya public office ndio inawafanya kina Sabaya kusema nilitumwa na Magufuli
Uko sahihi kabisaUsidanganywe na media za nje mkuu, Raisi nchi yoyote anaweza fanya chochote anachotaka .!
Wewe ni mtaalum pia?Tujiandae kifa kwawingi shida sio vifaa shida wanaotihudumia
Mmezoea mambo ya kiafrika kwenu huku ambako marais ni wafalme.... kwa wenye akili zao, marais wana mipaka na nguvu zao. Trump kakaa miaka 4 na alishindwa kujenga huo ukuta ambao kila siku alikuwa anaupigia pambio.Usidanganywe na media za nje mkuu, Raisi nchi yoyote anaweza fanya chochote anachotaka .!
Mama tunakupenda sana watu wako===
Mtakumbuka kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ilikuokoa maisha ya watoto wa masikini alipunguza gharama za matibabu ya kuondoa uchafu kwenye damu (dialysis) hii ikiwa ni baada ya figo kushindwa kufanya kazi ya kuondoa maji na taka mwili kwenye damu vizuri
===
Rais Samia alipunguza bei ya dialysis kwa mara ya kwanza kutoka TZS 300,000 hadi kuwa chini ya TZS 100,000 sasa tayari huduma imeshafika kwenye hospitai za rufaa za mikoa sita ndani ya kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan
===
Mikoa hiyo iliyofikiwa na huduma hii ya dialysis ni Tanga, Mtwara, Mara, Arusha, Kagera na Kigoma kwa Zitto Kabwe,Tuendelee kufurahia matunda ya Rais Samia Suluhu Hassan huku tukimwombea na kufanya kazi kwa bidii.
View attachment 2006409
VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Mama tunakupenda sana watu wako===
Mtakumbuka kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ilikuokoa maisha ya watoto wa masikini alipunguza gharama za matibabu ya kuondoa uchafu kwenye damu (dialysis) hii ikiwa ni baada ya figo kushindwa kufanya kazi ya kuondoa maji na taka mwili kwenye damu vizuri
===
Rais Samia alipunguza bei ya dialysis kwa mara ya kwanza kutoka TZS 300,000 hadi kuwa chini ya TZS 100,000 sasa tayari huduma imeshafika kwenye hospitai za rufaa za mikoa sita ndani ya kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan
===
Mikoa hiyo iliyofikiwa na huduma hii ya dialysis ni Tanga, Mtwara, Mara, Arusha, Kagera na Kigoma kwa Zitto Kabwe,Tuendelee kufurahia matunda ya Rais Samia Suluhu Hassan huku tukimwombea na kufanya kazi kwa bidii.
View attachment 2006409
VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Sio kweli, unajua maana ya chochote anachotaka, labda Tanzania, Uganda, Rwanda, Equatorial Guinea, Congo Brazaville na Zimbabwe zimebaki nchi chache tu hata hivyo zenye kuendeshwa kíimla.Usidanganywe na media za nje mkuu, Raisi nchi yoyote anaweza fanya chochote anachotaka .!
Mkuu angalia Korea, China, Urusi, Syria, Brazil, Venezuela, Saudi Arabia, Japan, USA, Mexico,Indonesia, Iran,Sio kweli, unajua maana ya chochote anachotaka, labda Tanzania, Uganda, Rwanda, Equatorial Guinea, Congo Brazaville na Zimbabwe zimebaki nchi chache tu hata hivyo zenye kuendeshwa kíimla.
Mkuu ukuta ulijengwa sema haukumalizika.Mmezoea mambo ya kiafrika kwenu huku ambako marais ni wafalme.... kwa wenye akili zao, marais wana mipaka na nguvu zao. Trump kakaa miaka 4 na alishindwa kujenga huo ukuta ambao kila siku alikuwa anaupigia pambio.
Kwa kazi hizi huyu mama ajengewe Mnara pale Dodoma ili kumuenzi,Click to expand...
Ninachokataa ni hilo neno "Anachotaka" unalotumia hicho ni kitu ambacho hakipo na hakiwezekani kabisa katika Western Democracies ila ktk nchi za kiimla kama hii ya kwetu.Mkuu angalia Korea, China, Urusi, Syria, Brazil, Venezuela, Saudi Arabia, Japan, USA, Mexico,Indonesia, Iran,
Nchi zote hizo nimekutajia ni nchi kubwa, niambia katika hizo ni nchi gani ambayo Raisi hana nguvu ya kufanya kile anachotaka .??
Kumbuka asipofanya kwao atafanya kwa nchi nyingine kwa sababu ana nguvu.
Mkuu usiamini western media, ziko kwa ajili ya kukupa taarifa unayotaka kusikia
Unaangalia sana CNN ndio tatizo lakoNinachokataa ni hilo neno "Anachotaka" unalotumia hicho ni kitu ambacho hakipo na hakiwezekani kabisa katika Western Democracies ila ktk nchi za kiimla kama hii ya kwetu.
Na wewe unaangalia sana TBC, ndio tatizo lako.Unaangalia sana CNN ndio tatizo lako
Sema asilimia ngapi ilijengwa kwa hiyo miaka 4Mkuu ukuta ulijengwa sema haukumalizika.
Ni kweli mkuuNa wewe unaangalia sana TBC, ndio tatizo lako.