Rais Samia ametoa mashine za Dialysis kwenye Hospitali za Rufaa sita

Rais Samia ametoa mashine za Dialysis kwenye Hospitali za Rufaa sita

Naona umekosa jibu ukaamua uweke wiki ambayo hujasoma pia.

Marekani pesa haitumiki mpaka bunge lipitishe. Trump alifeli hapo akaishia kufanya maigizo na repair ambazo kila mwaka zipo. Hata Biden amepata tabu huu mwaka wake wa kwanza, hata comfortable majority kwenye senate.
 
===
Mtakumbuka kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ilikuokoa maisha ya watoto wa masikini alipunguza gharama za matibabu ya kuondoa uchafu kwenye damu (dialysis) hii ikiwa ni baada ya figo kushindwa kufanya kazi ya kuondoa maji na taka mwili kwenye damu vizuri

===
Rais Samia alipunguza bei ya dialysis kwa mara ya kwanza kutoka TZS 300,000 hadi kuwa chini ya TZS 100,000 sasa tayari huduma imeshafika kwenye hospitai za rufaa za mikoa sita ndani ya kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan

===
Mikoa hiyo iliyofikiwa na huduma hii ya dialysis ni Tanga, Mtwara, Mara, Arusha, Kagera na Kigoma kwa Zitto Kabwe,Tuendelee kufurahia matunda ya Rais Samia Suluhu Hassan huku tukimwombea na kufanya kazi kwa bidii.

View attachment 2006409

VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Ujinga tu. Imeandika
 
Naona umekosa jibu ukaamua uweke wiki ambayo hujasoma pia.

Marekani pesa haitumiki mpaka bunge lipitishe. Trump alifeli hapo akaishia kufanya maigizo na repair ambazo kila mwaka zipo. Hata Biden amepata tabu huu mwaka wake wa kwanza, hata comfortable majority kwenye senate.
Mkuu umesoma au unabwabwaja tu.?
 
Mkuu umesoma au unabwabwaja tu.?
Hakuna ukuta uliojengwa.... wacha kuleta maneno mengi. Labda hufuatilii siasa za US. Trump alijaribu kutumia ujanja kwenye bajeti lakini hakuna ukuta uliojengwa zaidi ya kufanya repair za kawaida.

Weka picha moja tu ya ukuta aliojenga Trump. For reference huu ni ukuta wa Israel na Palestine.

palestine-banner.png
 
Screen Shot 2021-11-13 at 10.32.03 AM.png


Ndio maana nimekuuliza umesoma au unabwabwaja, CNN inakudanganya.
Hakuna ukuta uliojengwa.... wacha kuleta maneno mengi. Labda hufuatilii siasa za US. Trump alijaribu kutumia ujanja kwenye bajeti lakini hakuna ukuta uliojengwa zaidi ya kufanya repair za kawaida.

Weka picha moja tu ya ukuta aliojenga Trump. For reference huu ni ukuta wa Israel na Palestine.

View attachment 2008702
 
Mkuu sio pesa zote ni kodi ya wananchi, kumbuka nyingine ni misaada ya wahisani na mikopo

Na serikali ina mihimili mitatu
Samia anasimama badala ya mhimili wa kwanza ( Raisi ) Ukisikia Samia ni sawa sawa na umesikia Raisi

Ndugai anasimama badala ya Bunge
Jaji mkuu anasimama badala ya Mahakama

Watu wanaposema Samia, wanamanisha Raisi kama mhimili ambao una nguvu kuliko mihimili mingine

Mkuu ni hesabu ndogo sana
Umejibu vizuri Sana hii,
 
Naona umekosa jibu ukaamua uweke wiki ambayo hujasoma pia.

Marekani pesa haitumiki mpaka bunge lipitishe. Trump alifeli hapo akaishia kufanya maigizo na repair ambazo kila mwaka zipo. Hata Biden amepata tabu huu mwaka wake wa kwanza, hata comfortable majority kwenye senate.
 
Wanaboa kinyama, kama wanafikiri wanamuuza wajue ndiyo wanamharibia kwa watu wanaojitambua. Hii ya kusema Rais Samia katoa wajue inanunuliwa na mataburalasa pekee.
 
Ni hela/kodi zetu zimefanya hayo kupitia serikali,Samia hana huo uwezo! Ujinga peleka kwa wajinga labda mtafanana
 
Na wewe usiwe referee wa mambo usiyoyajua,ni upunguani.

Soma hapa
 
===
Mtakumbuka kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ilikuokoa maisha ya watoto wa masikini alipunguza gharama za matibabu ya kuondoa uchafu kwenye damu (dialysis) hii ikiwa ni baada ya figo kushindwa kufanya kazi ya kuondoa maji na taka mwili kwenye damu vizuri

===
Rais Samia alipunguza bei ya dialysis kwa mara ya kwanza kutoka TZS 300,000 hadi kuwa chini ya TZS 100,000 sasa tayari huduma imeshafika kwenye hospitai za rufaa za mikoa sita ndani ya kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan

===
Mikoa hiyo iliyofikiwa na huduma hii ya dialysis ni Tanga, Mtwara, Mara, Arusha, Kagera na Kigoma kwa Zitto Kabwe,Tuendelee kufurahia matunda ya Rais Samia Suluhu Hassan huku tukimwombea na kufanya kazi kwa bidii.

View attachment 2006409

VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Hivi huu utamaduni wa kusema rais katoa hiki au kile umetoka wapi. Rais hatoi pesa yaje mfukoni kwa mambo ya nchi bora mkasema serikali imetoa hiki au kile maana ni kodi za wananchi zinazotoa hiyo pesa. Sikuwahi sikia kauli hizi enzi za Mwl au zilizofustia mwinyi na mkapa, hebu turudishe angalau ufahamu wa nchi inavyoendeshwa basi
 

Soma hapa
Hayo ni mawazo yake kwa utashi wake...msingi na muamuzi uwa ni katiba.

Lete kifungu cha katiba sio mawazo binafsi ya wajinga.
 
Na ile mashine anayotumia spika peke yake nyumbani kwake, anyang'anywe ipelekwe kwenye hospitali ya umma.
 
Mkuu sio pesa zote ni kodi ya wananchi, kumbuka nyingine ni misaada ya wahisani na mikopo

Na serikali ina mihimili mitatu
Samia anasimama badala ya mhimili wa kwanza ( Raisi ) Ukisikia Samia ni sawa sawa na umesikia Raisi

Ndugai anasimama badala ya Bunge
Jaji mkuu anasimama badala ya Mahakama

Watu wanaposema Samia, wanamanisha Raisi kama mhimili ambao una nguvu kuliko mihimili mingine

Mkuu ni hesabu ndogo sana
Kwa hiyo tukisema "Samia afukuza wamachinga barabarani" tutakuwa sawa pia,au sio?
Vipi tukisema "Samia atangaza mgao wa maji Dar?"
 
Back
Top Bottom