MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Naona umekosa jibu ukaamua uweke wiki ambayo hujasoma pia.
Marekani pesa haitumiki mpaka bunge lipitishe. Trump alifeli hapo akaishia kufanya maigizo na repair ambazo kila mwaka zipo. Hata Biden amepata tabu huu mwaka wake wa kwanza, hata comfortable majority kwenye senate.