Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Rushwa tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hela katoa Makonda, hizo ni drama tupuMama amejihakikishia kura zote za upande ule, maana wenzake kutoka mikoa mingine watakuwa wanashindana sasa kumsifia ili nao wapewe hizo LandRover Discovery
Kweli Siasa ni Sayansi 🙌
Kwenye rushwa hajamboHuyu Bibi huyu okay sawa kizimukazi
Uwe una nipitiaNianze madrasa sasa
nyerere day, kuna sheikh alipiga dua pale alisema chama kiendelee kubaki madarakani na vyama vingine vizidi kukisaidia chama hiki.Kwenye mahubiri kila ijumaa tujiandae
1.kusikia tudumishe amani yetu kuna wachache wanataka kutuvuruga..
2. Nani kama mama
3. Mitano tenaView attachment 3135085
Yeye nawe atakuwa alishapewa kisirisiri au yupo kwenye zamu.. kwahiyo alikuwa anapalilia jambo lake.. hawaropokagi bure hao watu.nyerere day, kuna sheikh alipiga dua pale alisema chama kiendelee kubaki madarakani na vyama vingine vizidi kukisaidia chama hiki.
Tutaona mengi hata ambayo hatukuona tangia uhuru ,Wakuu,
Nawaacha mtoe mapovu, mambo ndio kama haya, Sheikh amepewa land rover bana likamsadie kwenye kutoa huduma zake.... Hii si rushwa kabisa? Tusubiri 'zawadi' hizi ziendelee kutolewa kwa viongozi wengine wa dini.
Tunataka uchaguzi ufanyike kila mtu akiwa na fursa sawa ya kushindana, kwa namna hii mwenzangu na mimi atakuwa na nafasi ya kushindana na mtu kama huyu? TUNAFANYAJE KUMALIZA HAYA? Kwa kuendelea kuwa chawa na kulalamika?
Narusha swali kwenu Wakuu.
Kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda amekabidhi gari mpya chapa ya Land Rover Discovery yenye Thamani ya Milioni 100 kwa Sheikh wa Mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma ili kuweza kumsaidia kwenye shughuli zake za kidini Mkoani hapa.
Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Paul Makonda amekabidhi gari hilo muda mchache baada ya kumalizika kwa sala ya Ijumaa kwenye msikiti Mkuu wa Bondeni Jjjini Arusha leo Oktoba 25, 2024, akiwataja Viongozi wa dini kama msingi mkuu wa amani na utulivu unaoshuhudiwa kote nchini Tanzania.
Kwa Upande wake Sheikh Shaaban Bin Juma baada ya kukabidhiwa gari hilo, amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Upendo wake kwa Watanzania, akimuombea Kheri Rais Samia pamoja na wasaidizi wake katika kuwatumikia wananchi wa Tanzania.![]()
Hata Mimi nimehisi hivyoHiyo hela katoa Makonda, hizo ni drama tupu